Mxxxxxxxiieewww ili nigundue nini mie!! Si una watoto na wajukuu kabisa tuliza mshipaaaπ!!Hivi dushe lisiposimama mwanaume unaweza kuwa na sauti nyumbani? Ukiona wanandoa na mwanamke ndiyo mwenye sauti, jua dushe kwisheney! Mimi nimekutaarifu kuwa mwaka 2005 Kikwete alipoingia madarakani ndipo mara ya mwisho dushe langu kuwika. Au unataka ku prove
Kuna wakati unanishangaza. Nani amekuomba K! Mimi sishajichokea. Nishatuliza mshipa kekueMxxxxxxxiieewww ili nigundue nini mie!! Si una watoto na wajukuu kabisa tuliza mshipaaaπ!!
Samahani naomba kufahamu una muda gani tangu umeanza kuishi London, Uk.Natafuta restaurant ya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu moja moja.
Ahsanteni saaana.
Nakazia.Id ni mpya sana.
Ndani ya masaa 20 imefungua nyuzi 2
1. Anatafutwa mchumba London
2. Restaurant London
Hii id ni kwa jambo mahsusi
Njoo kwangu ila vikuku cheni kiunoni na kipini puani uwe navyo 92 sina mambo mengiThe Icebreaker hanipendi[emoji25][emoji25]
Ngoja nitafute mwingine...ntafutie basiii
Kekundu kekundu ............... Kekundu. kekund kekunduuu. Ohhh wajinga ndio waliwao wajingandio waliwaooooooooo.Nakazia.
Labda awapate mazumbukuku. Wengi tumemstukia kitambo tunamchora tu. Yaan upo Uk ushindwe ku google kweli migahawa ya ki Afrika utegemee jf?.
Cc jamaa wa Uswiss mzee wa chaiKekundu kekundu ............... Kekundu. kekund kekunduuu. Ohhh wajinga ndio waliwao wajingandio waliwaooooooooo.
Ha ha haHuyu wala hanifukuzii mieee
Kwa jinsi anavyopenda sketi nshamtupa hukoππ
Nimeishatupwa tayari ππHa ha ha
Tatizo ukishindwa unaanza kuringa,ooo nina mke Nina watoto...watu wanasoma wanapotezeaNimeishatupwa tayari ππ
πππ Humu JF hutakiwi kueleweka, kuna mda inabidi niwe nimeoa, kuna mda inabidi niwe single, kuna mda inabidi niwe mchepukaji, kuna mda inabidi niwe mwanafunzi, kuna mda inabidi niwe mtu wa totoz, kuna mda nakuwa baba mchungaji, kuna mda nakuwa kula na kulala bure, kuna mda nakuwa matawi.. Basi zafrani hutakiwi kujulikana humu π π πTatizo ukishindwa unaanza kuringa,ooo nina mke Nina watoto...watu wanasoma wanapotezea
Ha ha haπππ Humu JF hutakiwi kueleweka, kuna mda inabidi niwe nimeoa, kuna mda inabidi niwe single, kuna mda inabidi niwe mchepukaji, kuna mda inabidi niwe mwanafunzi, kuna mda inabidi niwe mtu wa totoz, kuna mda nakuwa baba mchungaji, kuna mda nakuwa kula na kulala bure, kuna mda nakuwa matawi.. Basi zafrani hutakiwi kujulikana humu π π π
Yupo reading carvesharm anapika na kuderiver chakula cha kiswahili ikiwemo vitumbua chapati vyote unavyo hitaji a nakupikiaNatafuta restaurant ya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu moja moja.
Ahsanteni saaana.
Umesema Reading?? Jamani mimi niko London?? Nipe nambari yake kama anapika vya mtu mmoja mmoja niweke order kumbwa. ππYupo reading carvesharm anapika na kuderiver chakula cha kiswahili ikiwemo vitumbua chapati vyote unavyo hitaji a nakupikia
Ahsante saana kwa kweliYupo reading carvesharm anapika na kuderiver chakula cha kiswahili ikiwemo vitumbua chapati vyote unavyo hitaji a nakupikia
Unasema kweli π³πVipi Kuna shida ya maji huko London? Bongo hatujaoga siku mbili.
Unajuwa kupika kwani ??Karibu hapa kwangu Shaftesbury Avenue ule mpaka ushibe.
Zanzibar2014
Huku hatuna shida ya maji, tuko sawa.Vipi Kuna shida ya maji huko London? Bongo hatujaoga siku mbili.