Aisee mi pia nazitafuta lkn kwa kazi ingine mm yyt kati ya hizo plz zikipatka nijuze mkuu mi nahitaji kama 5 tu zinanitosha
Aisee mi pia nazitafuta lkn kwa kazi ingine mm yyt kati ya hizo plz zikipatka nijuze mkuu mi nahitaji kama 5 tu zinanitosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinapatikana offer yako ngapi?Kwa wale wasiojua masanturi ni nini, Santuri ni kama CD kubwa nyeusi zilikuwa zinatumika kucheza miziki ya zamani. Wengine huyaita masahani, players au gramophone records. Kama unayafahamu au unajua mahali yalipo naomba unitafute kwa PM. .
Kama unazo hizo santuri utaniuzia karibu PM, sharti ziwe katika ubora unaoweza kutumika. Zisiwe zimevunjika, kumegeka au zimekwaruzika juu ya uso wake kwa kuwa sitaweza kupiga nyimbo zake. .
View attachment 1388894
View attachment 1388895
View attachment 1388896
View attachment 1388897
Kwa wale wasiojua masanturi ni nini, Santuri ni kama CD kubwa nyeusi zilikuwa zinatumika kucheza miziki ya zamani. Wengine huyaita masahani, players au gramophone records. Kama unayafahamu au unajua mahali yalipo naomba unitafute kwa PM. .
Kama unazo hizo santuri utaniuzia karibu PM, sharti ziwe katika ubora unaoweza kutumika. Zisiwe zimevunjika, kumegeka au zimekwaruzika juu ya uso wake kwa kuwa sitaweza kupiga nyimbo zake. .
View attachment 1388894
View attachment 1388895
View attachment 1388896
View attachment 1388897
Kwa wale wasiojua masanturi ni nini, Santuri ni kama CD kubwa nyeusi zilikuwa zinatumika kucheza miziki ya zamani. Wengine huyaita masahani, players au gramophone records. Kama unayafahamu au unajua mahali yalipo naomba unitafute kwa PM. .
Kama unazo hizo santuri utaniuzia karibu PM, sharti ziwe katika ubora unaoweza kutumika. Zisiwe zimevunjika, kumegeka au zimekwaruzika juu ya uso wake kwa kuwa sitaweza kupiga nyimbo zake. .
View attachment 1388894
View attachment 1388895
View attachment 1388896
View attachment 1388897
Ninazo hizi,nitajie Bei ili nishawishike kukutafutia na nyingineKwa wale wasiojua masanturi ni nini, Santuri ni kama CD kubwa nyeusi zilikuwa zinatumika kucheza miziki ya zamani. Wengine huyaita masahani, players au gramophone records. Kama unayafahamu au unajua mahali yalipo naomba unitafute kwa PM. .
Kama unazo hizo santuri utaniuzia karibu PM, sharti ziwe katika ubora unaoweza kutumika. Zisiwe zimevunjika, kumegeka au zimekwaruzika juu ya uso wake kwa kuwa sitaweza kupiga nyimbo zake. .
View attachment 1388894
View attachment 1388895
View attachment 1388896
View attachment 1388897
Ninazo hizi,nitajie Bei ili nishawishike kukutafutia na nyingine
Utaniuzia kiasi gani mkuu nazihitajiNinazo hizi,nitajie Bei ili nishawishike kukutafutia na nyingine
Baba yangu alikuwa DJ kwenye miaka ya 80. Kilikuwa kifaa chake cha kazi.. Kuna zile santuri ndogo zilikuwa zinaingia wimbo mmoja kila upande na zile kubwa zilikuwa zinaingia nyimbo tatu kila upande.Unazifahamu player or Gramophone?????????????
Hizo zote unazozungumzia ni players, zile kuba wengine wanaziita album kipindi hicho, hizo ndogo ni 45 rpm ndo zilipigwa sana miaka ya 80sBaba yangu alikuwa DJ kwenye miaka ya 80. Kilikuwa kifaa chake cha kazi.. Kuna zile santuri ndogo zilikuwa zinaingia wimbo mmoja kila upande na zile kubwa zilikuwa zinaingia nyimbo tatu kila upande.