Natafuta Santuri (CD kubwa za zamani aina ya Gramophone)

Natafuta Santuri (CD kubwa za zamani aina ya Gramophone)

Machine yake inaitwa gramophone ndugu, unaiona hapo kwenye picha? Mie natafuta hizo santuri. Machine zake ziko nyingi sana na katika pita pita zangu nimezikuta sana mkoani Kilimanjaro shida kubwa ni kupata pin zake. Pin zake zinawahi kuchoka. Unaweza piga nyimbo moja tu pin ikafeli huo ndo mtihani mkubwa. Ila kuna wadau wanazisakanya Kenya. Kwa yeyote anayetaka pin unaweza mcheki huyu mzee wa Kimakonde yuko gerezani k/koo anazo 0713 848682 (anajulikana kwa jina maarufu BONGE).

View attachment 1846132
Hapa kilimanjaro nitazipata sehemu gani ?
 
Kwenye gheto LA babu hayo madude yalikuwa mengi sana cjui ,kama bado zipo a see ngoja nikaangalie
Utanicheki kwa number yangu sa simu na nitakulipa ila kabla sijazinunua unatakiwa unijulishe ili nijue kama unazo hizo ninazohitaji
 
Title names

IMG_20171015_085455.jpg


IMG_20171015_085944.jpg


IMG_20171015_090150.jpg


IMG_20171015_091453.jpg


IMG_20171015_091548.jpg


IMG_20171015_091635.jpg


IMG_20171016_092630.jpg


IMG_20171016_092650.jpg


IMG_20171016_093055.jpg


IMG_20171016_093135.jpg
 
Habari.

Nanunua masanturi kama unayo naomba uniuzie, na kwa wasiojua santuri ni CD kubwa za kizamani. Nanyonya mziki kwenye hizo santuri nabadilisha kwenye mfumo wa digitali kama unazo nitafurahi kama utaniuzia kwa shilling elfu 5 kila moja nipigie kwa number 0714829688.

Nashukuru na Mungu akubariki.
Mkuu Sijakuelewa, unataka Santuri for kama collectors item ili usitunze kama kumbukumbu au unachotaka ni ili miziki ya kizamani ili uipate ?

Sababu kama ni miziki ya zamani kwanini usitafute miziki ya zamani direct ?, jaribu kutembelea watu kama RTD/TBC nadhani watakuwa na maktaba kubwa sana.
 
Mkuu Sijakuelewa, unataka Santuri for kama collectors item ili usitunze kama kumbukumbu au unachotaka ni ili miziki ya kizamani ili uipate ?

Sababu kama ni miziki ya zamani kwanini usitafute miziki ya zamani direct ?, jaribu kutembelea watu kama RTD/TBC nadhani watakuwa na maktaba kubwa sana.
Inakuaje
Miziki ya zamani ni ngumu sana kuipata hata TBC. Mwaka 2013 nilikuwa nimekutana na Dj Eli na wadau walikuwa wa radio Tanzania kujaribu kuzitunza hizi santuri. Kweli wanazo nyingi radio Tanzania lakin ni asilimia chache sana. .

Hizi santuri zilikuwa nyingi recorded mitaani huko na nyimbo nyingi za kilugha haziko kabisa TBC. Studio nyingi za mitaani na nyimbo zinapotea huko. Santuri ikivunjika ujue basi hata nyimbo imepotea. Kuna nyimbo za wasanii wachanga wengi zimepotea sana na hazipo tena. .

Santuri nazotafuta mimi ni kuanzia mwaka 1930 mpaka 1969, hizi ni santuri za miaka ya mbali sana. Na nyingi zimepotea sana. Ukizipata nitafuraji tkifanya biashara. .
 
31st October 2021
Niko hapa bado nahitaji santuri kwa wenye nazo fursa iko wazi. Asanteni sana. .
 
Santur ninazo unataka ngapi
Zipo had zile ndogo
Zile ndogo huitwa player hizo hapana
Nataka santuri kama unazo please nitumie picha watsapp 0714829688 nizihakiki
Nitazichukua zote kama ziko well preserved
 
Player ninayo pia sindano yake nliagiza Nairobi ndiyo naisubir
Sindano zinapatikana sana huko Kenya. Sema sasa hata bongo kuna baadhi ya watu wanakuwaga nazo. Mie nilikuwa nanunua kariakoo gerezani kwa jamaa mmoja anaitwa Big
 
Zile ndogo huitwa player hizo hapana
Nataka santuri kama unazo please nitumie picha watsapp 0714829688 nizihakiki
Nitazichukua zote kama ziko well preserved
Sina za kiarabu zipo za ulaya
 
Back
Top Bottom