Machine yake inaitwa gramophone ndugu, unaiona hapo kwenye picha? Mie natafuta hizo santuri. Machine zake ziko nyingi sana na katika pita pita zangu nimezikuta sana mkoani Kilimanjaro shida kubwa ni kupata pin zake. Pin zake zinawahi kuchoka. Unaweza piga nyimbo moja tu pin ikafeli huo ndo mtihani mkubwa. Ila kuna wadau wanazisakanya Kenya. Kwa yeyote anayetaka pin unaweza mcheki huyu mzee wa Kimakonde yuko gerezani k/koo anazo 0713 848682 (anajulikana kwa jina maarufu BONGE).
View attachment 1846132