Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani lakini nje ya maada huyo kwenye avatar ni wewe??Habari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Teh,!Samahani lakini nje ya maada huyo kwenye avatar ni wewe??
We mbona Umeolewa ukiwa na miaka 16Kasome atleast uwe na diploma ufike miaka 24 ndoa si yakukimbilia
Nimeulza 2 mkuuTeh,!
Sawa!Nimeulza 2 mkuu
Futa thread. Nitafute pm. Mwezi ujao ndoaHabari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..
Nitumie pic PM nikuone ukiwa huna make upHabari zenu,. mimi naishi Dar es salaam ,kama nilivyoandika hapo juu natafuta mwanaume wa kunioa,nina miaka 21,elimu yangu ni certificate sijaajiriwa bado .atakaye kuwa interested tunaweza kuwasiliana zaidi pm..