Natafuta wana ambao ni Introverts

Natafuta wana ambao ni Introverts

Habari.......!
Kama kichwa kinavosomeka hapo juu, naandika ujumbe huu nikiwa chumbani kwangu peke yangu, mimi binafsi ni introvert na najikubali sana na hii personality yangu but hadi sasa sijapata rafiki au mtu wa karibu ambae ni introvert kam mimi coz nataka tuwe tunashare mambo fulan yanayousiana na hii personality.

0675173464 watssap
Huyu ni mimi kabisa, ila hapo kwenye kutafuta marafiki sidhani kama ni sahihi. Rafiki hatafutwi, urafiki unajengwa na mazingira yanayokukutanisha na huyo rafiki. Binafsi nenjoy maisha yangu, sioni kama napungukiwa kitu kuwa mwenyewe muda mwingi ila nnachoona kwako ni kama una upweke so huenda siyo introvert ila una shida sehemu.
 
Huyu ni mimi kabisa, ila hapo kwenye kutafuta marafiki sidhani kama ni sahihi. Rafiki hatafutwi, urafiki unajengwa na mazingira yanayokukutanisha na huyo rafiki. Binafsi nenjoy maisha yangu, sioni kama napungukiwa kitu kuwa mwenyewe muda mwingi ila nnachoona kwako ni kama una upweke so huenda siyo introvert ila una shida sehemu.
Shida iko wap
 
Nilivokuwa introvert akili nyingi naona uvivu mpaka kutyp kiufupi sijawahi kua na rafiki wa kindaki ndaki katika maisha yangu
 
Habari.......!
Kama kichwa kinavosomeka hapo juu, naandika ujumbe huu nikiwa chumbani kwangu peke yangu, mimi binafsi ni introvert na najikubali sana na hii personality yangu but hadi sasa sijapata rafiki au mtu wa karibu ambae ni introvert kam mimi coz nataka tuwe tunashare mambo fulan yanayousiana na hii personality.

0675173464 watssap
Introvents don't share feelings🤔😪
 
Habari.......!
Kama kichwa kinavosomeka hapo juu, naandika ujumbe huu nikiwa chumbani kwangu peke yangu, mimi binafsi ni introvert na najikubali sana na hii personality yangu but hadi sasa sijapata rafiki au mtu wa karibu ambae ni introvert kam mimi coz nataka tuwe tunashare mambo fulan yanayousiana na hii personality.

0675173464 watssap
Introvents don't share feelings🤔😪
 
Introverts ni miongoni mwa watu adimu sana duniani unaweza kuwakuta wengi kwenye nchi za watu wenye IQ kubwa kama japan na korea na nchi za ulaya uko kiufupi ni watu wenye akili balaa
 
Back
Top Bottom