Natafuta wana ambao ni Introverts

Natafuta wana ambao ni Introverts

Kuhusu hiyo aina ya watu kuna kitu kimoja nimekifahamu,
Mara nyingi hao watu wakikuzoea wanaongea balaaa na akiongezeka hata mtu hapo hapo ambae hana mazoea nae anapiga kimnya hapo hapo
Ni wagumu kuzoeana na kila mtu ndio maana wanaonekana wako wenyewe wenyewe na inafikia hatua baadhi ya watu kuwaona ni watu wapole kumbe hakuna watu manyoka kama hao wazee wa kulia wenzao timing wakugonge kwenye mshono
Kwel kabida
 
Karibu tuko humu,kwenye kuchat humu tuko mbele ila inapofika kuanza kuongea na watu wengine tusiowazoea inakuwa mtihani,ila najipenda na tabia yangu ya kupenda kujiamini na kujitegemea kwa kila kitu,huwa ninaamini naweza kufanikiwa kwa jitihada zangu mwenyewe na si kwa kutegemea nguvu ya ziada kutoka nje (nimefanikiwa sana kwa hili)....
 
Habari.......!
Kama kichwa kinavosomeka hapo juu, naandika ujumbe huu nikiwa chumbani kwangu peke yangu, mimi binafsi ni introvert na najikubali sana na hii personality yangu but hadi sasa sijapata rafiki au mtu wa karibu ambae ni introvert kam mimi coz nataka tuwe tunashare mambo fulan yanayousiana na hii personality.

0675173464 watssap
tupo hapa....familia
 
Na wao wako maghettoni kwaoo wamechill kivyaoo, na hawataki huo urafikiii
Pambanaaaa Broooh!!! Au nije mie nikuchachue, utakua Extrovert wa kushantaaa soon tyuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi lile suala let la kuka nikuoneshe machine
 
Habari.......!
Kama kichwa kinavosomeka hapo juu, naandika ujumbe huu nikiwa chumbani kwangu peke yangu, mimi binafsi ni introvert na najikubali sana na hii personality yangu but hadi sasa sijapata rafiki au mtu wa karibu ambae ni introvert kam mimi coz nataka tuwe tunashare mambo fulan yanayousiana na hii personality.

0675173464 watssap
Ndio wanakuita kondeboy soap..

Unauza soap?
 
Hahahaha zamani nilikuwaga mkimya mkimya ila nikaja kugundua nitakufa maskini aiseee.Uchumi wa Tanzania unataka utoke magetoni uweke uintrovert pembeni upige domo upate pesa.

Hivi hivi nyie maintrovert mtaishia kuajiliwa labda wachache wenu wenye extraodinary talents napo kwa bongo ngumu kutoboa labda ungekuwa mambele.

Sema naskia wengine wanaona kama sifa flani hivi kujiita introvert kutokana na stori za chini chini kwamba hawa jamaa wanakuwaga akili mingi et

Aisee kama na wewe unajifanyisha toka getoni utakufa maskini pimbi wewe ila kama hujifanyishi kama kashakaji flan hivi kapo humu basi Mungu akufanyie wepesi.

Sema hiyo personality mimi naona kama inachochea umaskini hivi
 
Hahahaha zamani nilikuwaga mkimya mkimya ila nikaja kugundua nitakufa maskini aiseee.Uchumi wa Tanzania unataka utoke magetoni uweke uintrovert pembeni upige domo upate pesa.

Hivi hivi nyie maintrovert mtaishia kuajiliwa labda wachache wenu wenye extraodinary talents napo kwa bongo ngumu kutoboa labda ungekuwa mambele.

Sema naskia wengine wanaona kama sifa flani hivi kujiita introvert kutokana na stori za chini chini kwamba hawa jamaa wanakuwaga akili mingi et

Aisee kama na wewe unajifanyisha toka getoni utakufa maskini pimbi wewe ila kama hujifanyishi kama kashakaji flan hivi kapo humu basi Mungu akufanyie wepesi.

Sema hiyo personality mimi naona kama inachochea umaskini hivi
Unachochea umaskin kivip kaka
 
Kuhusu hiyo aina ya watu kuna kitu kimoja nimekifahamu,
Mara nyingi hao watu wakikuzoea wanaongea balaaa na akiongezeka hata mtu hapo hapo ambae hana mazoea nae anapiga kimnya hapo hapo
Ni wagumu kuzoeana na kila mtu ndio maana wanaonekana wako wenyewe wenyewe na inafikia hatua baadhi ya watu kuwaona ni watu wapole kumbe hakuna watu manyoka kama hao wazee wa kulia wenzao timing wakugonge kwenye mshono
oyaaa kwa hiyo na mimi ni introvert, rafiki zangu wachache wanavyonijua sivyo nzengo inavyonijua
 
Habari.......!
Kama kichwa kinavosomeka hapo juu, naandika ujumbe huu nikiwa chumbani kwangu peke yangu, mimi binafsi ni introvert na najikubali sana na hii personality yangu but hadi sasa sijapata rafiki au mtu wa karibu ambae ni introvert kam mimi coz nataka tuwe tunashare mambo fulan yanayousiana na hii personality.

0675173464 watssap
Dah kevoo nlipoteza namba yako......
 
Back
Top Bottom