Hiyo acha iende lete muke mupyaYupo kwao mkuu huwa naongea nae ila simuulizi habari ya kurudi kupitia simu ya mama yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo acha iende lete muke mupyaYupo kwao mkuu huwa naongea nae ila simuulizi habari ya kurudi kupitia simu ya mama yake
Mifumo yenu dume hiyo ndomana wanawakimbia ,anandugu kama ulivo wewe pia bank.anatamani awe na akaunt yake ,jiulize ukifa wewe familia ataendesha naniMkuu tunaishi kwa malengo mfn kujenga na kuboresha nyumba, kununua asset na kula vizuri pamoja na mipango mingi. Kama ni hela anapeleka wapi na vyote anapata?
Kwan christina shusho kazaa watoto wangapi?Mwanamke aliyeamua kuolewa akuzalie watoto watatu afu akurupuke tu awaache sio RAHISI
Kweli mkuu kama yupo humu aje inbox vigezo niHiyo acha iende lete muke mupya
Sijaona mahala kanyimwa kufungua bank akaunt.Mifumo yenu dume hiyo ndomana wanawakimbia ,anandugu kama ulivo wewe pia bank.anatamani awe na akaunt yake ,jiulize ukifa wewe familia ataendesha nani
Suala la kufa ni mtu yeyote anatangulia jamii nyingi sasa wanaaminishana mme huanza kufa ndio maana baadhi ya wanawake huwanyamazisha waume zao mileleMifumo yenu dume hiyo ndomana wanawakimbia ,anandugu kama ulivo wewe pia bank.anatamani awe na akaunt yake ,jiulize ukifa wewe familia ataendesha nani
Umesema kwa upande wako, yeye naye anazo sababu za msingi kutoroka.Wana jamvi,
Kama bado hujawahi kukutana na changamoto ya familia unaweza kudhani watu humu wanaleta stori za kusadikika!
Mimi na mke wangu tumeishi naye kwa miaka nane sasa na kwa kipindi hicho chote nimejitahidi kuwa mwaminifu na kuhudumia familia vizuri.
Sasa vituko vya huyu mwanamke anagawa vitu vya ndani kama mafuta, mchele, maharage na hata mkaa. Vitu vinaisha kabla ya muda hata sehemu ninapofanya manunuzi huwa wanashangaa, husema huenda nina nyumba ndogo ila mimi ni mwaminifu kwa huyu mwanamke.
Kituko kikubwa alichokifanya ni kutoroka nyumbani akiwaacha watoto hivi sasa kamaliza miezi yapata mitatu taratibu mawazo ya kuoa mwanamke mwingine yanakuja ili kusaidiana maisha. Isitoshe mwanamke huyo hana elimu kubwa na hana ajira japo mimi ni payee sijawahi kumdharau kwa hali yake zaidi ya kumrekebisha pale anapokesea.
Sasa nimeona hali imekuwa climax na ninataka kuachana nae na watoto nitalea mwenyewe. Ushauri wenu wakuu 🤔
Pesa ndogo ndogo labda za kujihudumia yeye nguo zake mambo yao ya mwezi n.k..Mkuu tunaishi kwa malengo mfn kujenga na kuboresha nyumba, kununua asset na kula vizuri pamoja na mipango mingi. Kama ni hela anapeleka wapi na vyote anapata?
Nachowaza inakuaje mzazi aone mtoto wake ambaye ameolewa anakaa kwao miezi 3 na hawamuulizi chochote .au ni mpango wao pia ?Unstangaza kumuacha wakati yeye pia anatangaza kakuacha, huu mwezi wa tatu
Naunga mkono hoja. Hasa baba yake nimegundua sio mtu mzuri, huenda anataka tuachane amsaidie mwanae kugawana mali. Bush lawyer wanachekesha sanaNdio maana huwa tunaambiwa tuangalie sana nasabu ya mwanandoa lengo ni kujua tabia za familia yao
Ukiona familia inamtetea mwanandoa bila sababu za msingi ujue hapo kuna tatizo,familia makini haiwezi kulea huo ujinga
Marehemu mkwe wangu alikuwa hataki ujinga kabisa,,binti akienda kwake bila taarifa maalum ujue lazima atarudishwa
Nilipo mwacha mke wangu pamoja na kutoa talaka kwa maandishi lkn bado alinipigia na kuniuliza baba "umetoa talaka kwa hiari yako mwenyewe" nikamjibu ndiyo ndio akaridhika
Lakini hawa wazazi wanao sema kwani mwanangu kwenu umeua mpaka uogope kurudi hawa wabaya sana
angefungua na nini hana biashara hana zaidi ,ya aamke asbuhi afagie nyumba ,aioshe mumewe asije rudi dharula ili akitaka kukanda amkande ,Dunia imegeuka tujiongeze wanaume muda mwingine turuhusu hawawatu wafanye biashara tusiwaze sana juu ya kugongewaSijaona mahala kanyimwa kufungua bank akaunt.
Aahah hivi kuna mzazi anaweza kuruhusu binti yake ambaye kaolewa arudi kwao anakaa miezi 3 hawamuulizi kulikoni mbona umerudi? Au ni wazazi wa siku hizi?Weka nguo zake kwenye zubeda/shangazi kaja... Mtumie kwenye bus huko huko kwao
Kabeba kabakiza sketi mbili na underwear mojaWeka nguo zake kwenye zubeda/shangazi kaja... Mtumie kwenye bus huko huko kwao
Hata mimi naona ni hivyo.. maana sio kirahisi hivi miezi 3 nje na mbali na familia halafu wazazi wasikuhoji ahahah wanasubiri aingie kwenye mfumo wamkomoe...Ukioa mwanamke halafu kwao kuna wanao muunga mkono umekwisha,hizi ni zile familia ambazo kila kukicha,kila mnalofanya anatoa taarifa kwao,na ndio maana unao alipoamua kurudi kwao wamempokea....
Watoto wote wapo shule? Au kaenda nao?Kabeba kabakiza sketi mbili na underwear moja
Kuna aina ya wanawake hata biashara hawawezi. Sasa kama anauza vitu vya ndani ataweza fanya biashara anunue hata unga wa ngano?angefungua na nini hana biashara hana zaidi ,ya aamke asbuhi afagie nyumba ,aioshe mumewe asije rudi dharula ili akitaka kukanda amkande ,Dunia imegeuka tujiongeze wanaume muda mwingine turuhusu hawawatu wafanye biashara tusiwaze sana juu ya kugongewa