Nataka kuachana na mwanamke

Nataka kuachana na mwanamke

Twende

pamoja, kivipi?
Je mkeo ana matumizi mabaya ya pesa? Ungesimamia matumizi ya pesa kama mwanaume. Kama mkeo hatumii vibaya pesa yake, makosa ni yako kwa kutokaa chini na kufikiria kuwa kwanini biashara zako zinafeli? Unalalamika as if mwanamke kaleta gundu wakati sio kweli, vyakula vimepanda bei, Kuna inflation ya kutisha, ulibidi ufanye mpango uanzishe biashara nyingine.

Ndo maana nikasema wewe ni tatizo, unamsingizia mwanamke.
 
Huyo jamaa anadhani wote waliooa wanalipwa tsh ngapi?
Hapo tatizo ni planning ndio mbovu....mwisho wa siku lawama zinaenda kwa mke wake. Kuyakimbia majukumu ni kusogeza tabu mbele ili ije ikukabili kisawasawa.
Anataka kuwa kama mimi huko ndani nadhani kugumu, imefika wakati ata wazazi wake wanamlaumu kuwa hawatumii pesa, hana kila kitu 🤔🤔
 
Maisha ni magumu.

Pesa haijawahi kutosha.

Aache kuendekeza ikiwezekana hata kama ni kushindia uji washindie.

Ukiendekeza mwanamke utabaki nyuma milele.

Hawanaga huruma na pesa zako 😂
Ili uweze kuishi na mwanamke vizuri zingatia haya
1..daima wewe ndo uwe na kipato kikubwa
2..hakikisha linapokuja swala la kudinyana Somalia ukucha mpaka kuhamka asubuhi anakusalimia shikamoo Baba
3..uwe na kauli moja ndani hapana au ndio
4..akikukosea mkalishe chini kama mtoto,na ikiwezekana achezee mbata achana na wazungu eti haki sawa mwanaume daima yupo juu ya mwanamke hakuna cha haki sawa.
5..akitaka kwenda kwa ndugu zake aombe ruhusa sio anajiamuria
Mimi hii mbinu kanipa babu yangu mwenye wake 4 na watoto 27,mpaka sasa hakuna mwanamke aliyeachana naye toka aingie kwenye ndoa nao wote.
Baba ana wanawake 3 na watoto 15
Wote heshima debe kudadekiii
 
WAJINGA NDIYO WANAOLIWA
JAMAA KIBUNDA KIMETOWEKA
KESHO UNASIKIA KAFA KWA PRESSURE
AIBU-1 (1).jpg
 
Bajeti anapanga mke, maana akianza kumpangia gharama za chakula, kuhudumia mtoto na yeye mwenyewe, jamaa anabakia na pesa ya kuangalia mechi za epl tu vibanda umiza ni shabiki wa arsenal 😳😳😳
Shida sio Mwanake, tatizo liko kwake!

Anapangiwa bajeti asiyo imudu!? tena familia bado ndogo sana, yan mtoto 1. na pengine hajaanza shule!

Mwamba amefeli pakubwa! Ukishakuwa baba, kuna mambo yakupasa kufanya maamuzi magumu, eg, kupunguza bajeti isiyo na tija, kuwekeza katika maendeleo.

Azungumze kwa upole na mke wake juu ya mipango ya maendeleo na waone namna watakavyo ifanikisha, akimshirikisha kwa pamoja wataona matumizi yapi yanafaa yapi hayafai.
 
Ndugu yangu pole sana
Lkn pia HONGERA kwa kupata mke na kukuzaria mtoto

NDOA ni mjumuiko wa mambo mengi sana
Kuna mabo kadhaa nitakuwa ambapo naimani utapata MUONGOZO wa ndoa
awalo ya yote ningependa kujua upo katika NDOA ya IMANO gani UKIRISTO au UISLAM
 
Ili uweze kuishi na mwanamke vizuri zingatia haya
1..daima wewe ndo uwe na kipato kikubwa
2..hakikisha linapokuja swala la kudinyana Somalia ukucha mpaka kuhamka asubuhi anakusalimia shikamoo Baba
3..uwe na kauli moja ndani hapana au ndio
4..akikukosea mkalishe chini kama mtoto,na ikiwezekana achezee mbata achana na wazungu eti haki sawa mwanaume daima yupo juu ya mwanamke hakuna cha haki sawa.
5..akitaka kwenda kwa ndugu zake aombe ruhusa sio anajiamuria
Mimi hii mbinu kanipa babu yangu mwenye wake 4 na watoto 27,mpaka sasa hakuna mwanamke aliyeachana naye toka aingie kwenye ndoa nao wote.
Baba ana wanawake 3 na watoto 15
Wote heshima debe kudadekiii
Kwahiyo aendelee tu na noma yake ?🤔🤔
 
Aliogopa ya kufa kufaana (kikristo)
Ndugu yangu pole sana
Lkn pia HONGERA kwa kupata mke na kukuzaria mtoto

NDOA ni mjumuiko wa mambo mengi sana
Kuna mabo kadhaa nitakuwa ambapo naimani utapata MUONGOZO wa ndoa
awalo ya yote ningependa kujua upo katika NDOA ya IMANO gani UKIRISTO au UISLAM
Akafunga ya serikalini (Kusajiri) siyo kidini.
 
Pole mkuu,kama unaona kumhusisha wife mambo hayaendi go on your own....mie kinachonisaidia yeye ndo mtumishi so budgeting ya kipato chake anaifanya kwa uhuru huku mimi niikipambana kivyangu.
Sijaelewa kwa hiyo jamaa awe anaenda kufanya mahemezi ya ndani na huduma zote mwenyewe?
 
Ni muda mwingine tena.

Anaomba ushauri huyu rafiki yangu mwanzoni alinishauri sana nioe tufanane ila nikamwambia mimi sina kazi na siwezi mtunza mke, leo yamemkuta....

"Ni miaka minne sasa tangu ampate shemeji/wifi yenu ila kiukweli, mambo aliyofanya alipokuwa single ni makubwa na mengi kuliko hivi sasa (ata mimi ni shahidi), kwann hebu msikilize...

"Ndani ya miaka kumi niliyoishi kama single nimeweza kujenga nyumba , kuanzisha biashara ya duka na yote nilikuwa pekee yangu tena nikiwa jobless nikipambana na ujasiriamali pekee.

Nikasema kwa kupata hivyo vichache hebu nivute jiko la mkeka ukizingatia serikali nayo ilinivuta karibu nikawa mtumishi official,

Aisee ikawa kosa kubwa maana hadi leo tuna mtoto mmoja mwanamke ni mama wa nyumbani, mshahara above 900,000, biashara za duka zimelala mtoto bado ana miaka 2.

Naona ninapoelekea nitapakaa rangi upepo yaani baada ya kuoa nimeona kama vile kuna mzigo umeniangukia yaani sifurukuti rafiki yangu".😳😳

"Je kuna uwezekano nikarudi single maana miaka inasonga sioni moja wala mbili mbele, mshahara hautoshi kabisa kulea familia yaani unaisha kwa matumizi ya nyumbani tu

msaada tutani maana nilivyokuwa single nili-enjoy ila huku ngoja tuwaachie wazoefu (sauti ya upole), ....😪😪😪"

Kwa mawazo yangu mafupi nawaza huwenda kuna pahala alikosea ila isiwe taabu siyo vibaya tukamshauri sipendi kuficha changamoto na mimi kujifanya mwl...

Karibuni
Wewe acha uongo shs 900,000/= wewe, mkeo na mtoto mdogo hazitoshi! Acha hizo. Unga kilo 10 sh.20,000/= unawatosha mwezi, mchele kilo 15 sh 35,000/= unawatosha mwezi, sukari kilo 2 sh 6,000/= zinatosha mwezi, nyama kilo 8 kwa mwezi sh 64,000/= zinawatosha mwezi, mpaka hapa vitu muhimu bado unazo pesa nyingi sana za mboga. Sema wewe ni mtu wa viti virefu na totoz, vinginevyo humu tumo wengi tunaojua matumizi ya familia kubwa zaidi ya yako, tupe ukweli wako acha kujikweza.
 
Wewe acha uongo shs 900,000/= wewe, mkeo na mtoto mdogo hazitoshi! Acha hizo. Unga kilo 10 sh.20,000/= unawatosha mwezi, mchele kilo 15 sh 35,000/= unawatosha mwezi, sukari kilo 2 sh 6,000/= zinatosha mwezi, nyama kilo 8 kwa mwezi sh 64,000/= zinawatosha mwezi, mpaka hapa vitu muhimu bado unazo pesa nyingi sana za mboga. Sema wewe ni mtu wa viti virefu na totoz, vinginevyo humu tumo wengi tunaojua matumizi ya familia kubwa zaidi ya yako, tupe ukweli wako acha kujikweza.
mke ndiye mpanga bajeti...
 
Back
Top Bottom