Nataka kuachana na ualimu haraka. Nikimbilie wapi?

Kasome BSc Accounting or Finace then ukiwa college anza kufanya mitihani ya CPA, ukimaliza au kabla hujamaliza anzisha kampuni yako ya accounting & Tax services then work very hard na uwe mwaminifu
Akisoma CPA akiwa chuo itamlazimu kuanzia ATEC I mpaka aje kumaliza inawezekana na chuo chenyewe kikawa kimeisha na Bado asiipate hiyo CPA kwa sababu Hana msingi kwenye Uhasibu.

Bado hujamshauri
 
Bro alaf waalimu wa msingi nimefuatilia nimegundua Wana maisha mazuri kuliko sisi wa secondary, sijui mchawi wetu nani
Mchawi wenu ni kudharau kazi ndogo ndogo. Wale wanauza ubuyu shuleni na kufanya vishughuli vya hapa na pale ambavyo vinawaingizia kipato cha ziada. Nyie mnajiona wasomi siyo...hahahaaaaa
 
Bonge la ushauri, mm pia mwalimu mwenzako ila mm nafundisha chuo. Nlipanga kufanya kazi 5yrs tu niache ila sasa nina 15yrs, acha kazi uone ilibo ngumu kupata kazi. Saiz ajira zinatangazwa 10 wanaomba 10000. Jiulize why?
Kama unataka kuacha kazi basi weka vyeti kabatini, weka status kabatini ingia mtaani fanya yako. Baada ya miaka michache hutojutia maamuzi yako.
Unavyotaka kufsnya nisawa na kuoga kwenye mvua badala ya kuoga kwenye bomba la mvua.
 
Ahsante ndugu ntazingatia
 
Mishahara mikubwa?? Umeamua kutoa Siri ya waalimu walio apa kufa wakiwa wameificha....kila siku Wanalia kuudhihirishia una kua hawalipwi kumbe wanakunja fedha nzuri tu
 
Ahsante kaka haya ndo mawazo nnayo tafta, na Vipi nkirudi mwajiri akaniomba hyo bacherol ya ualimu ntajibu Nini?
 
Yani kama kwenye ualimu umeshaajiriwa ni bora upambane hukohuko huku ukianzisha miradi ya kukuingizia pesa na hiyo pesa ya kwenda kulipia chuoni. Maana utamaliza utateseka kwenye kutafuta ajira, na hata ukipata mambo yatakua vilevile tu.
Asee
 
acha dhihaka njoo field hapa Posta, njoo IFM ma-bos wa BOT wana

njoo field uncle , mjini mipango wenzio mtaji ni kitambaa , sponji na sabuni FOMA, jioni anafunga 50,000/-
wewe endelea na white collar job.
Kumbuka reliability ya chanzo cha kipato chako, je siku ukiumwa walau mwez mmoja utaendelea kukunja hiyo 50 kwa siku?
Hakikisha kazi unayofanya inakuungizia kipato wakat ukiwepo ww mwenyewe au usipokuwepo bado mzunguko utaendelea. Tofaut na hapo na hatari sana
 
Nyie motivation speakers huwa mnaongea tu.nani akupe elfu 5 kwa siku kwa kuosha magari tu?kwanza hayo magari 10 unayosema ya kuosha unayapata wapi kila siku?
Labda atayafuata magari barabarani umesahau kale kamchezo kwenye foleni magari yakisimama kwa red light Jamaa anakuja na kibrash na kisado cha maji anaanza kusafisha kioo cha mbele akimaliza anakuja kukinga mkono dirishani alipwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…