David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Kwanini unataka kuacha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kila glasi tano za maji moja iwe ya maziwa fresh. Hakikisha kila wakati umekunywa maji na maziwa hayo ambayo ni kama glasi 2-3 kwa siku. Fanya kwa siku 30 halafu uniambie nikupe nini kingine cha kufanya.Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Nenda kwa mganga uonane na mlozi.Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Mawasiano yako Mkuu kwa faida ya wengiMkuu pole nitafute mimi kwa wakati wa ko nikupe dawa ya kuacha kunywa pombe utaacha utake usitake.
Mkuu Tate maamuzi unakuwa umeshachukua wakati mwingine unamaliza hata miezi mitatu ujagusa lakini sijui shetani gani anakupitia unajikuta unakunywa tenaKila kitu ni maamuzi tu. Amua mwenyewe sasa kuacha hiyo pombe! Na utaacha mara moja. Maana hakuna atakaye kunywesha kwa nguvu.
Mkuu tufahamishane hiyo dawa maana mimi katika starehe nisiyoipenda ni pombe lakini nitakaa wiki,wiki mbili au mwezi inatokea siku nakunywa najilani kweli kweli kuwa sitoludia lakini wapi mpaka nikafikia kujisemea moyoni au hii kwangu ni dhambi ya kurithi?Dunia hata sio mbaya walimwengu ndo wabaya .ipo dawa ya kienyeji unakunywa siku 3 maji ya mizizi siku ya nne anakuaruhusu kalewe yaan pombe zinakuwa na radha ya mikojo ya choo cha stendi .ila wanaojua wanataka hadi hela wako tayari jamii ife sio wakose hela
Very simple usinunue pombeHello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Nyie ndio wale mnakunywa pombe kama mnakimbizwa. Pombe inatakiwa unakunywa taratibu-aste astePombe ni kitu cha kipumbavu sana...ninasema hivyo kutokana na experience yangu ya kunywa Pombe za aina mbali mbali for fucken 30 years.....niliamua kuacha bila kushauriwa baada ya kuzidiwa na pombe nikiwa kitandani na kuzima hivyo kukimbizwa hospitali...
Nilipata aibu sana..I will never forget mpaka naingia kaburini..
Mungu nisaidie..
Hatua ya kwanza ni kuanza kupunguza kiwango cha unywaji kwanza....Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Haina urith ni upuuz ni addiction tu ukinywa pombe inatoa hormone inaitwa dopamine inakupa furaha .Sasa ukiacha Pata furaha kwenye familia .watoto.umoja na waumini wa dini yako.mapenzi unajikuta pombe ni suluhisho zuri.Mkuu tufahamishane hiyo dawa maana mimi katika starehe nisiyoipenda ni pombe lakini nitakaa wiki,wiki mbili au mwezi inatokea siku nakunywa najilani kweli kweli kuwa sitoludia lakini wapi mpaka nikafikia kujisemea moyoni au hii kwangu ni dhambi ya kurithi?
Tafuta mtu akuweke maziwa ya nguruwe kwenye pombe........Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Upe muda wakati itakaa yenyeweHello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Nakunywa hizi za kawaida tu mfano konyagi na bia.huwa sometimes nakunywa na washkaji au mwenyeweIngependeza ukaweka full detail ya matumiz yako ya pombe mfano pombe gani unatumia, kwa siku unakunywa kiasi gani, mahali, unapendelea kunywa peke yako au na marafiki ukifunguka zaidi naamin watu watapata pa kuanzia na utaweza kushauriwa na kusaidiwa