JItahidi sana kunywa asali utaichukia pombeHello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JItahidi sana kunywa asali utaichukia pombeHello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Asali ukinywa nyingi ni Sumu ya tumboJItahidi sana kunywa asali utaichukia pombe
Sasa mkuu jitahidi ujicontrol matumizi na uwe mtu wa kiasi.Tatizo langu mimi sihitaji na sina kampani ila nikianza kunywa na kunywa nyingi na nazimudu ila zinaniharibia utaratibu hata kama pesa ipo kwenye cm nitaitoa tu kesho naanza kujilani na kujilaumu sana sijawahi kuwa na hamu ya pombe na wala sinywi kila siku ila siku ya kunywa ni hasara tu
Hiyo dawa ni bei ngapi na wapatikana wapi mkuu?Mkuu pole nitafute mimi kwa wakati wa ko nikupe dawa ya kuacha kunywa pombe utaacha utake usitake.