Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huachi pombe kwa kuwa huna majukumu na kama unayo siyo kipaumbele chako.Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
mi nisaidiwe kuacha pepsi. pombe nashukuru sina hamu nazoHello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Ndiyo,Hivi huwa mnarudi?
Sawa mkuu thanksNdiyo,
myself miaka ya 2000 mwanzoni I was a drunker,
Nikahamishwa kikazi kutoka mkoa kuja dsm.
Plan yangu ya kwanza ni kuacha pombe ili nifanye maendeleo.
Nilifanikiwa, japo maendeleo siyo makubwa.
Ukiamua kufanya kitu uwe na target, na kuomba Mungu pia
Pombe ukishaizoea huwa inaingia kwenye damu na inakuwa addiction. Ukitaka kuacha punguza idadi ya vilevi kama ilikuwa bia 5 kwa siku anza mbili mbiliha unapita kavu kavu. Badae unakuja moja moja hadi unazoea. Katika hicho kipindi jiweke mbali kidogo na marafiki zako mnaokunywaga wote, kuwa busy sana na kazi zako au tafuta kitu cha kupoteza mda kama games, fanya sana mazoezi mwili uchoke na ulale, pendelea vyakula vya kupunguza hangover Kama kachumbari n.k. njia nyingine watu wanatumia maziwa ya punda ukiyanywa na ukapiga pombe unasikia kichefuchefu kwahyo huwez tena Endelea.Hello JF
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia abc za namna ya kuacha unywaji wa pombe anisaidie tafadhali maana kila nikijaribu nakaa siku mbili narudia...
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa ni upuuzi mfano mimi shughuli zangu ni za kusafilisafili sasa nikiwa nyumbani hata mwezi mmoja, miwili nk sinywi pombe tena kwenye mabar naingia kama kawaida na nawahi zangu kuludi nyumbaniHaina urith ni upuuz ni addiction tu ukinywa pombe inatoa hormone inaitwa dopamine inakupa furaha .Sasa ukiacha Pata furaha kwenye familia .watoto.umoja na waumini wa dini yako.mapenzi unajikuta pombe ni suluhisho zuri.
Ndo maana walevi wengi pia hawana ndoa nzuri.wanahistoria mbovu utoton . Wametokea kwenye umaskini.watoto wa kambo etc
Amekutoa kiunoni kwake na hizo hizo pombe,,Khasara Zipo tuu na sio lazima ziletwe na unywaji wa pombeSinywi pombe sababu namuona mzee wangu ni mtumiaji na inamtia hasara tu
Pombe haukumalizii pesa sema kampani yako ndiyo inayokumalizia pesa.Zinanimalizia pesa tu..