Tatizo langu mimi sihitaji na sina kampani ila nikianza kunywa na kunywa nyingi na nazimudu ila zinaniharibia utaratibu hata kama pesa ipo kwenye cm nitaitoa tu kesho naanza kujilani na kujilaumu sana sijawahi kuwa na hamu ya pombe na wala sinywi kila siku ila siku ya kunywa ni hasara tu