Nataka kuachana na unywaji wa pombe, lakini sijui naanzia wapi

Sasa mkuu jitahidi ujicontrol matumizi na uwe mtu wa kiasi.
Ukitoka home weka mfukoni fixed amount. Kama ni hela ya bia4 na nyama nusu kilo basi inatosha.

Sio lazima ukinywa mpaka ulewe. Kivumbi hutokea pale utakapolewa ndo chanzo cha kufuja hela hadi zilizopo kwenye simu.

Pombe sio lazima kiongozi tujitahidi tuachane nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…