Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mimi ni mtu wa umbo la wastani, niliyebahatika kuishi na mwanamke kijumba na kufanikiwa kupata watoto 2, nimebahatika kujenga nae kibanda na kuwa na kausafiri ka familia.
Kwa visa vya mama huyu na kwa hiyari ya moyo wangu naamua kumwachia vitu vyote na ninaanza upya, mke mpya na kila kitu upya. Naanza kwa kukodi chumba kimoja, kitanda sina, nitalalia mkeka kama ishara ya mwanzo mpya.
Karibuni wachumba wacha Mungu,umri kuanzia 28-32 yrs/Am 40.
Kwa visa vya mama huyu na kwa hiyari ya moyo wangu naamua kumwachia vitu vyote na ninaanza upya, mke mpya na kila kitu upya. Naanza kwa kukodi chumba kimoja, kitanda sina, nitalalia mkeka kama ishara ya mwanzo mpya.
Karibuni wachumba wacha Mungu,umri kuanzia 28-32 yrs/Am 40.