Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiboooooooooMimi ni mtu wa umbo la wastani,niliyebahatika kuishi na mwanamke kijumba na kufanikiwa kupata Watoto 2, Nimebahatika kujenga nae kibanda,na kuwa na kausafiri ka familia /.
kwa visa vya mama huyu,na kwa hiyari ya moyo wangu.
NAAMUA KUMWACHIA VITU VYOTE,NA NINAANZA UPYA,MKE MPYA NA KILA KITU UPYA.
NAANZA KWA KUKODI CHUMBA KIMOJA,KITANDA SINA,NITALALIA MKEKA KAMA ISHARA YA MWANZO MPYA.
KARIBUNI WACHUMBA WACHA MUNGU 28-32 YRS./
AM 40.
We unaweza kua ndugu yangu kabisa...ukenyenge ya shy auMimi nadhani utulize akili kwanza...safiri hata kwa week mbili...kama unafanya kazi omba likizo ya week 2, kafanye kutafakari kwa kina...katika kipindi hiki jiulize mambo mengi ikiwemo utakavyowasaidia watoto wako kukua katika misingi uliyotamani wakue.
1) Jiulize kwa nini ni sasa na si kabla hukuondoka?...
2) Je kama ulivumilia kipindi chote hicho, kwa nini umeshindwa sasa? ndo imefika kikomo, yaani huwezi tena? sababu ni zipi...maisha ni kupanga/kuchagua, kama ulizoea mfumo fulani wa maisha, jaribu kuubadilisha hata hapo kwako...mabadiliko yawe chanya,
3) Vitimbi vimezidi na kama vimezidi kwa nini?
4) Jiulize kwa kina namna utakavyoanza maisha upya, utakavyoweza kutatua changamoto utakavyokutana nazo katika hayo maisha...
5) Jiulize utakubali yatakayotokea? Lakini pia, ni vizuri hiyo nyumba na gari ukawarithisha watoto...andika wosia kabisa ili...na hata kadi ya gari weka jina la wanao.
Jaribu kumshirikisha mwenzako hata kama unaona itakuwa hasara, wakati mwingine hawa viumbe wanajifunza kwa vitendo na si kwa maneno...kula hasara hata mara 3. Uone kama atajifunza, ndo mwenzi wako uliyemchagua!!
Yeap..wilaya ya kishapu, tarafa ya negezi!! mwangaluka dada? Mwaghukwu!We unaweza kua ndugu yangu kabisa...ukenyenge ya shy au
Yeap..wilaya ya kishapu, tarafa ya negezi!! mwangaluka dada? Mwaghukwu!
Ha ha ha ha haya....Eminza nagomanile geteYeap..wilaya ya kishapu, tarafa ya negezi!! mwangaluka dada? Mwaghukwu!
***Huwa nawaonea huruma sana wanawake kwa mfano hapo kama jamaa Ana kazi take basi ni rahisi kwake kuwa na future nzuri kuliko huyo mke anayetaka kumuacha. 1. Nani huwa anaoa watalaka wanawake kwa sasa hata kama anakipato kizuri? Lakini
2. Wanaume waliowahi kuishi na mke ni rahisi kwao kupata mke na kuishi nae kama ana kazi yake ya kumingizia kipato.
Kazi kwenu mnaoachana kwa sasa!
unaishi mka gani mamba uje ukae kwangu tushee kodi nami ndo nimeanza maisha***
Una akili nyingi sana/ thank you!,Mali kitu gani?,endapo una elimu na mshahara wa uhakika./
Kayataka mwenyeweWanawake, why , why why?
Mnatufanyia hivi wanaume, angalia huyu mwenzangu ana 40 age, lakini anaanza maisha kama ana 16?
Anaangalia alipoangukia badala aangalie amejikwaa wapi akaanguka! Na ndo maana ndoa nyingi zikivunjika jamii nzima inamyooshea kidole mwanamke hawajui kama wanaume wengine ni makorokocho vyuma chakavuNa wengi wamekuwa wakikimbilia Tatizo bila kuangalia nini kimesababisha.,na Chanzo ni nn..?,anaanza kuhukumu.
Hiyo avatar yako tu nikiiona nachanganyikiwa..hahahahahahahaha
khaaa, hata wewe kumbe huenda tumetoka sehem moja. Shy sehem gani ndg yangu.We unaweza kua ndugu yangu kabisa...ukenyenge ya shy au
mi hata sitaki kujua sababu za huko njoo tulisongeshe, kuachana kunasaidia wengine tulio singo tupate wapenzi--kwa nini wengi huachana na wake zao?,tunao hata viongozi wakubwa na wenye nyadhfa serekalini na hata wafanya biashara wakubwa!.
....ask / je wanakosea?