Nataka kuanza maisha upya baada ya kukosea kuoa

Nataka kuanza maisha upya baada ya kukosea kuoa

hapa napata kipimo kizuri,who will suit me because I had start life from 'o'
which lady is ready to starts from 'o'./!?.
 
Mimi ni mtu wa umbo la wastani,niliyebahatika kuishi na mwanamke kijumba na kufanikiwa kupata Watoto 2, Nimebahatika kujenga nae kibanda,na kuwa na kausafiri ka familia /.
kwa visa vya mama huyu,na kwa hiyari ya moyo wangu.
NAAMUA KUMWACHIA VITU VYOTE,NA NINAANZA UPYA,MKE MPYA NA KILA KITU UPYA.
NAANZA KWA KUKODI CHUMBA KIMOJA,KITANDA SINA,NITALALIA MKEKA KAMA ISHARA YA MWANZO MPYA.
KARIBUNI WACHUMBA WACHA MUNGU 28-32 YRS./
AM 40.
Mwanamme kamili hawezi kimbia familia yake, migondano ni ya kawaida katika familia. samehe na sahau yaliyopita, rudi kwa familia yako. Uzinzi hautakusaidia kitu maishani zaidi ya kukuacha na maradhi yasiyo na tiba.
 
hapa napata kipimo kizuri,who will suit me because I had start life from 'o'
which lady is ready to starts from 'o'./!?.
Mimi nadhani utulize akili kwanza...safiri hata kwa week mbili...kama unafanya kazi omba likizo ya week 2, kafanye kutafakari kwa kina...katika kipindi hiki jiulize mambo mengi ikiwemo utakavyowasaidia watoto wako kukua katika misingi uliyotamani wakue.
1) Jiulize kwa nini ni sasa na si kabla hukuondoka?...
2) Je kama ulivumilia kipindi chote hicho, kwa nini umeshindwa sasa? ndo imefika kikomo, yaani huwezi tena? sababu ni zipi...maisha ni kupanga/kuchagua, kama ulizoea mfumo fulani wa maisha, jaribu kuubadilisha hata hapo kwako...mabadiliko yawe chanya,
3) Vitimbi vimezidi na kama vimezidi kwa nini?
4) Jiulize kwa kina namna utakavyoanza maisha upya, utakavyoweza kutatua changamoto utakavyokutana nazo katika hayo maisha...
5) Jiulize utakubali yatakayotokea? Lakini pia, ni vizuri hiyo nyumba na gari ukawarithisha watoto...andika wosia kabisa ili...na hata kadi ya gari weka jina la wanao.

Jaribu kumshirikisha mwenzako hata kama unaona itakuwa hasara, wakati mwingine hawa viumbe wanajifunza kwa vitendo na si kwa maneno...kula hasara hata mara 3. Uone kama atajifunza, ndo mwenzi wako uliyemchagua!!
 
--kwa nini wengi huachana na wake zao?,tunao hata viongozi wakubwa na wenye nyadhfa serekalini na hata wafanya biashara wakubwa!.
....ask / je wanakosea?
 
Kwa hiyo maelezo yako yote unazunguka zunguka tu, si ungesema unatafuta mchumba tu kuliko kuandika maelezo mengi yasiyo na tija
 
Kama umekosa uvumilivu wa kumvumilia mama wa watoto wako, vipi uyo mpya? unaweza mpata mpya akakusumbua zaid ya yule. Kama kosa linasameheka, ungemsamehe tu, muendelee kuleana maana na uzee nao ushaanza.
 
***
nitonye wewe ni nabii au ?/ hivyo vyote jumlisha na / kichwa ngumu/ahambiliki /
I have to start again....and god is great..../
mnyakyusa huyu hovyo kabisa...
Toka mwanzo alikuwa hivyo? Hata kabila zingine unaweza mkuta wa hivyo
 
--kwa nini wengi huachana na wake zao?,tunao hata viongozi wakubwa na wenye nyadhfa serekalini na hata wafanya biashara wakubwa!.
....ask / je wanakosea?
Ooh I see!! basi ungeleta mlinganyo...Two cases with similarities tudadavue naimani ndo utakuwa mweleko mzuri wa kupata concrete conclusion.
 
Kitanda usicholalia hujui kunguni wake

Mwanamke mshirikina ni mtihani sana!

Jus move on with ur life....!!!

Hakuna mkamilifu Ila mapungufu yasizidi jamani

Nyumba kila siku uwanja wa vita

Bora uendoke kuliko kuanza kuleteana maradhi
 
Back
Top Bottom