miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Yani hata ujajipa muda wa wewe mwenyewe unaoa tena kiruuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We umeshaachana nao wangapiAcha mwanamke aitwe mwanamke tu, kuoa ni kubahatisha sana wengi wa wadada siyo wazuri katika kuishi maisha ya ndoa au ya wawili. Mara nyingi huprentend ukiwa bado hujaamua kuishi nao.
Nakushauri achana naye acha kutesa moyo wako.
Shida itakuwa kwa mwanaume sio bureYani hata ujajipa muda wa wewe mwenyewe unaoa tena kiruuu
Kwa kweliShida itakuwa kwa mwanaume sio bure
Afu tatizo linaweza kuwa liko kwake ya anahisi mwanamke ndo anakosea!!Kilichokufanya umkimbie huyo mkeo ni nn hasa..?
Hahahah '' miss Natafuta" bwana ... Simtapata vingne tena ,, ila nmecheka kwa sautimaisha ule na nani uje utulaze wenzio kwenye mkeka?
Keshazoea kulala uchi ndio shida inapokuja hapo!!Yani hata ujajipa muda wa wewe mwenyewe unaoa tena kiruuu
Ha ha ha ha mbona anaweza endelea tu au mpaka mdudu uingie shimoni?Keshazoea kulala uchi ndio shida inapokuja hapo!!
Amezowea kuguswaguswa na tako laini kwenye dushe nyakati za usiku!Ha ha ha ha mbona anaweza endelea tu au mpaka mdudu uingie shimoni?
Dah hatariAmezowea kuguswaguswa na tako laini kwenye dushe nyakati za usiku!
You see...!!Dah hatari
Jamaa ahitaji kushauriwa, tayari amesha fanya maamuzi ya kiumeni.Mkuu.. Kakufanyia visa gani? Weka hapa maswahibu aliyokufanyia huenda tukakushauri ukapara utatuzi...
Kuna mengine hayasameheki aiseeee....[emoji16] [emoji16] [emoji16]Msamehe mkeo!!! Msamaha ni maua mkuu!!
Huu ndio ushauri bora kabisa, hasa kwa sisi ambao yalisha tukuta aiseeeeAcha mwanamke aitwe mwanamke tu, kuoa ni kubahatisha sana wengi wa wadada siyo wazuri katika kuishi maisha ya ndoa au ya wawili. Mara nyingi huprentend ukiwa bado hujaamua kuishi nao.
Nakushauri achana naye acha kutesa moyo wako.
Na wengi wamekuwa wakikimbilia Tatizo bila kuangalia nini kimesababisha.,na Chanzo ni nn..?,anaanza kuhukumu.Afu tatizo linaweza kuwa liko kwake ya anahisi mwanamke ndo anakosea!!