Nataka kuanza maisha upya baada ya kukosea kuoa

Nadhani mkuu hukuoa hiyo inaitwa " sogea tukae" kama huna kifungo cha ndoa oa mwingine tu maisha yenyewe mafupi haya.
 
kibooooooooo
 
Huwa nawaonea huruma sana wanawake kwa mfano hapo kama jamaa Ana kazi take basi ni rahisi kwake kuwa na future nzuri kuliko huyo mke anayetaka kumuacha. 1. Nani huwa anaoa watalaka wanawake kwa sasa hata kama anakipato kizuri? Lakini
2. Wanaume waliowahi kuishi na mke ni rahisi kwao kupata mke na kuishi nae kama ana kazi yake ya kumingizia kipato.

Kazi kwenu mnaoachana kwa sasa!
 
We unaweza kua ndugu yangu kabisa...ukenyenge ya shy au
 
Umesema unatafuta nini? Mke mpya? Kama uko serious, pole!
 
***
Una akili nyingi sana/ thank you!,Mali kitu gani?,endapo una elimu na mshahara wa uhakika./
 
..ulikuwa bonge la f.a.l.a!.hata akiba binafsi huna hadi ukalalie mkeka?
..anyway life begins at 40,kid!
 
Na wengi wamekuwa wakikimbilia Tatizo bila kuangalia nini kimesababisha.,na Chanzo ni nn..?,anaanza kuhukumu.
Anaangalia alipoangukia badala aangalie amejikwaa wapi akaanguka! Na ndo maana ndoa nyingi zikivunjika jamii nzima inamyooshea kidole mwanamke hawajui kama wanaume wengine ni makorokocho vyuma chakavu
 
inawezekana hata hao watoto wawili sio wako
 
--kwa nini wengi huachana na wake zao?,tunao hata viongozi wakubwa na wenye nyadhfa serekalini na hata wafanya biashara wakubwa!.
....ask / je wanakosea?
mi hata sitaki kujua sababu za huko njoo tulisongeshe, kuachana kunasaidia wengine tulio singo tupate wapenzi
 
Wewe unasema umeshafunga naye ndoa kwa sisi wakristo ukifunga ndoa kutengana hakuna mpaka kifo kitakapo kutenganisha ndipo unakuwa huru kuoa mwanamke mwingine sasa wewe unasema ni mkristo mlokole unampenda Yesu hapa ninapata wasiwasi maandiko yanasema samehe saba mara sabini huyo ni mkeo tu kwa kuwa mmekula kiapo mbele ya kanisa na Mungu anashuhudia Mimi huwa nawaambia ndugu kwamba kosea maisha ila usikosee kuoa maana ndoa ni mara moja kinachotenganisha ndoa ni mmoja wapo anapofariki ndipo unapokuwa huru kuoa mwingine sasa wewe kwa imani yako utaoa mwingine na kimaandiko wewe utazini tu na mwanamke huyu uliyefunga ndoa mara ya pili mkeo ni yule wa kwanza ambaye mbingu inamtambua!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…