Nataka kuanzisha umissionari wa kupeleka Ukristo kutoka Afrika kwenda Ulaya na Marekani, naombeni mawazo

Nataka kuanzisha umissionari wa kupeleka Ukristo kutoka Afrika kwenda Ulaya na Marekani, naombeni mawazo

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.

Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.

Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.

Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
 
Watakuona chizi wenzio hawaamini dini wew wapelekee mambo ya biashara na pesa tu dini baki nayo kwenu africa 😂
😁😁, Sijawahi kufika huko, Mwisho wangu ni Sirari tu kutoka nchini. Wale jamaa wanaonekana ni wasikivu, wataelewa tu.

Makanisa yangu ulaya na US sitaki mtu mweusi. Kama sio mzungu au mtu mweupe wewe uko nje ya mission yangu, watafute wakina Mwapsa watakusaidia, mimi nataka white people tu.
 
Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.

Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.

Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.

Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Ana hoja, Asikilizwe
 
Unatafuta mbinu ya kutoka Afrika tuu haiwezekani uwarudishie dini waliyokuletea wao...
Inaonekana ililetwa na kikundi cha jamaa wachache tu. Waliwaacha wenzao karibu asilimia 90 bila kujua kitu.

Pia wengi waliokuja walikuwa ni mamafia wa kidini, kulainisha njia kwa mabeberu wachache wakina Carl Peters waje wapige madili huku.

Afrika mkuu ni sehemu bora kabisa mwanadamu anapaswa kuishi. Siwezi kupakimbia. Huko kama sio kuwapelekea Injili basi kwenda kutalii tu.
 
Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.

Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.

Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.

Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Umelewa?
 
Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.

Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.

Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.

Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Hivi wewe jamaa una matatizo gani? au ndio ukikosa cha kuandika unajiandikia tu ili mradi uwe umeanzisha Thd?
Huo utafiti wako umeufanya lini kua kwenye hizo nchi za Uarabuni na china kua wakristo wanaingia misikitini na kuswali kwa usalama wao?

Usalama upi? Dubai yapo Makanisa na wanaabudu,Misri yapo makanisa,Kuwait,Qatar,Oman,Lebanon,Iraq,Syria....huko kote yapo Makanisa na wakristo wanaabudu kwa amani tu,

Umekaa hapo chini ya mti na Bodaboda wenzako mnadanganyana kua nchi za waarabu au china ukiwa mkristo inakua hakuna usalama kwako? huu ujinga na uzushi utawatoka lini?
 
Hivi wewe jamaa una matatizo gani? au ndio ukikosa cha kuandika unajiandikia tu ili mradi uwe umeanzisha Thd?
Huo utafiti wako umeufanya lini kua kwenye hizo nchi za Uarabuni na china kua wakristo wanaingia misikitini na kuswali kwa usalama wao?

Usalama upi? Dubai yapo Makanisa na wanaabudu,Misri yapo makanisa,Kuwait,Qatar,Oman,Lebanon,Iraq,Syria....huko kote yapo Makanisa na wakristo wanaabudu kwa amani tu,

Umekaa hapo chini ya mti na Bodaboda wenzako mnadanganyana kua nchi za waarabu au china ukiwa mkristo inakua hakuna usalama kwako? huu ujinga na uzushi utawatoka lini?
images (13).jpeg
images (13).jpeg
 
Hivi wewe jamaa una matatizo gani? au ndio ukikosa cha kuandika unajiandikia tu ili mradi uwe umeanzisha Thd?
Huo utafiti wako umeufanya lini kua kwenye hizo nchi za Uarabuni na china kua wakristo wanaingia misikitini na kuswali kwa usalama wao?

Usalama upi? Dubai yapo Makanisa na wanaabudu,Misri yapo makanisa,Kuwait,Qatar,Oman,Lebanon,Iraq,Syria....huko kote yapo Makanisa na wakristo wanaabudu kwa amani tu,

Umekaa hapo chini ya mti na Bodaboda wenzako mnadanganyana kua nchi za waarabu au china ukiwa mkristo inakua hakuna usalama kwako? huu ujinga na uzushi utawatoka lini?
Maarifa unayotumia kucomment ni maarifa yenye mipaka ya ushabiki wa kidini.
 
... utapiga sana zaka na sadaka in USD/EU. Yale mahubiri yetu ya kufanikiwa kiuchumi sijui kama yatabamba. All the best.
 
Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.

Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.

Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.

Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Andaa andiko mradi utapata shavu maana wazungu wameshazichoka dini zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maarifa unayotumia kucomment ni maarifa yenye mipaka ya ushabiki wa kidini.
Lengo kuu la thd yako ilikua ni hiyo part uliyosema wakristo wanaingia misikitini kusali kwa usalama wao,sasa usifikiri wote ni punguani kama wewe,tembea ujionee usijifungie tu sehemu moja,watu wanaabudu kwa uhuru kabisa.
 
Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.

Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.

Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.

Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Mawazo unaomba jf huo umishonari ni wa ki jf?

Kama wewe mkristo omba mawazo kwa Kristo acha ujinga
 
Lengo kuu la thd yako ilikua ni hiyo part uliyosema wakristo wanaingia misikitini kusali kwa usalama wao,sasa usifikiri wote ni punguani kama wewe,tembea ujionee usijifungie tu sehemu moja,watu wanaabudu kwa uhuru kabisa.
Nawe umejaa udini sana na bibi faiza huenda ni ndg
 
Back
Top Bottom