matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
😁😁, Sijawahi kufika huko, Mwisho wangu ni Sirari tu kutoka nchini. Wale jamaa wanaonekana ni wasikivu, wataelewa tu.Watakuona chizi wenzio hawaamini dini wew wapelekee mambo ya biashara na pesa tu dini baki nayo kwenu africa 😂
Nilitaka kusema kama hivi!Watakuona chizi wenzio hawaamini dini wew wapelekee mambo ya biashara na pesa tu dini baki nayo kwenu africa 😂
Ana hoja, AsikilizweWakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.
Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.
Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.
Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Inaonekana ililetwa na kikundi cha jamaa wachache tu. Waliwaacha wenzao karibu asilimia 90 bila kujua kitu.Unatafuta mbinu ya kutoka Afrika tuu haiwezekani uwarudishie dini waliyokuletea wao...
Umelewa?Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.
Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.
Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.
Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Hapana mkuu, situmii vileo. Wafalme hatakiwi kutumia vileo kwa mujibu wa torati. Mkristo wa kweli ni mfalme chini ya mfalme wa wafalme Yesu Kristo.Umelewa?
😁😁. Nitake radhi bro.Naskia kuna aina mpya ya BANGI, inaitwa BANGI Pori.. nawasi wasi na mtoa Mada huwenda amepiga "puff" mbili au tatu mapema siku ya leo.
Hivi wewe jamaa una matatizo gani? au ndio ukikosa cha kuandika unajiandikia tu ili mradi uwe umeanzisha Thd?Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.
Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.
Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.
Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Hivi wewe jamaa una matatizo gani? au ndio ukikosa cha kuandika unajiandikia tu ili mradi uwe umeanzisha Thd?
Huo utafiti wako umeufanya lini kua kwenye hizo nchi za Uarabuni na china kua wakristo wanaingia misikitini na kuswali kwa usalama wao?
Usalama upi? Dubai yapo Makanisa na wanaabudu,Misri yapo makanisa,Kuwait,Qatar,Oman,Lebanon,Iraq,Syria....huko kote yapo Makanisa na wakristo wanaabudu kwa amani tu,
Umekaa hapo chini ya mti na Bodaboda wenzako mnadanganyana kua nchi za waarabu au china ukiwa mkristo inakua hakuna usalama kwako? huu ujinga na uzushi utawatoka lini?
Maarifa unayotumia kucomment ni maarifa yenye mipaka ya ushabiki wa kidini.Hivi wewe jamaa una matatizo gani? au ndio ukikosa cha kuandika unajiandikia tu ili mradi uwe umeanzisha Thd?
Huo utafiti wako umeufanya lini kua kwenye hizo nchi za Uarabuni na china kua wakristo wanaingia misikitini na kuswali kwa usalama wao?
Usalama upi? Dubai yapo Makanisa na wanaabudu,Misri yapo makanisa,Kuwait,Qatar,Oman,Lebanon,Iraq,Syria....huko kote yapo Makanisa na wakristo wanaabudu kwa amani tu,
Umekaa hapo chini ya mti na Bodaboda wenzako mnadanganyana kua nchi za waarabu au china ukiwa mkristo inakua hakuna usalama kwako? huu ujinga na uzushi utawatoka lini?
Andaa andiko mradi utapata shavu maana wazungu wameshazichoka dini zaoWakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.
Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.
Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.
Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Lengo kuu la thd yako ilikua ni hiyo part uliyosema wakristo wanaingia misikitini kusali kwa usalama wao,sasa usifikiri wote ni punguani kama wewe,tembea ujionee usijifungie tu sehemu moja,watu wanaabudu kwa uhuru kabisa.Maarifa unayotumia kucomment ni maarifa yenye mipaka ya ushabiki wa kidini.
Mawazo unaomba jf huo umishonari ni wa ki jf?Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.
Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.
Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.
Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Nawe umejaa udini sana na bibi faiza huenda ni ndgLengo kuu la thd yako ilikua ni hiyo part uliyosema wakristo wanaingia misikitini kusali kwa usalama wao,sasa usifikiri wote ni punguani kama wewe,tembea ujionee usijifungie tu sehemu moja,watu wanaabudu kwa uhuru kabisa.