The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe nae huenda ndio wale wale tu,ungekua huna double standard ungeona hilo la udini kwa mleta thd na sio kwangu.Nawe umejaa udini sana na bibi faiza huenda ni ndg
Asante kwa maoni.Mawazo unaomba jf huo umishonari ni wa ki jf?
Kama wewe mkristo omba mawazo kwa Kristo acha ujinga
Uelewa tu. Hujui uarabuni kote kumejaa wakristo wa siri. Cryptochristians.Wewe nae huenda ndio wale wale tu,ungekua huna double standard ungeona hilo la udini kwa mleta thd na sio kwangu.
Ukipanga nchi kwa viwango vya uovu. Ulaya na us hawakosi top tatu.We jamaa unachekesha sana. Unachukua soda kutoka Mlandizi unapeleka kuziuza Dar. Unachukua Ndizi kutoka mahakama ya Ndizi unapeleka Kagera. Unachukua Sangara kutoka Dar unapeleka kuuza Mwanza. Nakutakia Kila la kheri mkuu
Wewe wito wako ni pesa, kiri hili kwanza😂😂Asante kwa maoni.
Musa mtu wa Mungu alipewa mawazo na Yethro mpagani. Na Mungu akamwambia afuate huo ushauri wa myu asiyemuisrael.
Mkuu jf inawatu wenye hekima sana. Mimi siwapuuzi hata wakinipuuza.
Ndio maana nakwambia tembea uone na uache mambo ya kusikia,hivi nchi itakua na Jengo la Kanisa halafu kuwe na wakristo wa siri? ina ingia akilini hii kweli? na kwanini iwe kwa siri? kwa kuogopa nini?Uelewa tu. Hujui uarabuni kote kumejaa wakristo wa siri. Cryptochristians.
Ila nakushukuru kwa michango.
hapeleki dini bali wokovu ulio katika Kristo Yesu Bwana.Watakuona chizi wenzio hawaamini dini wew wapelekee mambo ya biashara na pesa tu dini baki nayo kwenu africa [emoji23]
Yesu ndo nani?hapeleki dini bali wokovu ulio katika Kristo Yesu Bwana.
Yesu ni Bwana na Mwokozi
Oesa maana yake nini mkuu. Nipe madini hapo kwanza.Wewe wito wako ni oesa, kiri hili kwanza😂😂
Yesu ni KristoYesu ndo nani?
Umeongea ukweli mkuu, mwambie huyo muongo na limbukeni.Hivi wewe jamaa una matatizo gani? au ndio ukikosa cha kuandika unajiandikia tu ili mradi uwe umeanzisha Thd?
Huo utafiti wako umeufanya lini kua kwenye hizo nchi za Uarabuni na china kua wakristo wanaingia misikitini na kuswali kwa usalama wao?
Usalama upi? Dubai yapo Makanisa na wanaabudu,Misri yapo makanisa,Kuwait,Qatar,Oman,Lebanon,Iraq,Syria....huko kote yapo Makanisa na wakristo wanaabudu kwa amani tu,
Umekaa hapo chini ya mti na Bodaboda wenzako mnadanganyana kua nchi za waarabu au china ukiwa mkristo inakua hakuna usalama kwako? huu ujinga na uzushi utawatoka lini?
🤣🤣Waliwaacha wenzao karibu asilimia 90 bila kujua kitu.
Mtumishi unafungu lake.hapeleki dini bali wokovu ulio katika Kristo Yesu Bwana.
Yesu ni Bwana na Mwokozi
Utakuwa na kiongozi gani wa dini ili kiwathibitshia huyo ndo aliyetumwa na MUNGU, au utawatumia hawahawa wakwetu??Wakuu nimegundua Ulaya na Marekani kuna upagani mwingi sana.
Wala hakuna ukristo kule ni zuga tu.
Sina wasiwasi na uarabuni na china, Maana huko kwa utafiti wangu kuna wakristo kificho wengi sana ila wanaingia misikitini na kuswali kwa ajili tu ya usalama wao.
Nimefikilia hawa wazungu kabla hawajapotea niwapelekee umishonari, niwe na kikosi kazi cha waafrika wachapakazi, Masponsor ni sadaka za waafrika Matajiri na masikini.
Naombeni mawazo jinsi ya kuwapata hawa jamaa kirahisi huko makwao na kwenye mitandao. Kwa sasa ninayo app inayoweza kutengeneza autosubtitles kwa karibu lugha za wazungu wote.
Mkuu wazungu wengi sana ni wajinga wa mambo ya Mungu. Nashangaa sana kwa nini huwa hawatuiti tuwafundishe huko ulaya, na sisi tunaviherehere kuwaita huku wakati wako shallow.
Kiongozi ni Mungu tu ambaye alimpa Yesu mamlaka yote Mbinguni na duniani. Mimi nitakuwa partner wa Yesu kuwaarika hawa jamaa waache ujinga wa kuabudu akili, teknolojia na ujinga mwingi waliojitungia na umewafanya wazungu kuwa viumbe dhaifu na hopeless kabisa. Lazima tuwasaidie hawa jamaa mkuu.Utakuwa na kiongozi gani wa dini ili kiwathibitshia huyo ndo aliyetumwa na MUNGU, au utawatumia hawahawa wakwetu??