Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Ukishaachika ndo utajua alikuwa na thamani ipi kwako? We uliolewa ili usifiwe na mmeo? Na kama he is not caring iweje udumu nae miaka 8?Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Mumeo hasimamishi?
you see here you are talking,nakuja mpenzi kuna kitu nafanyaNi kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.
mwambie huyo tena mie nimekula mke wa mtu mmoja tu na ela kubwa sana akiniomba ni buku mbiliHakuna cha ajabu!
Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...
Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.
Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.
Mhhhhhh mama acha usijaribu kabisaaa!!! Shetani amekusimamia mkemee! Sio kitu kizuri...utashusha thamani yako kwa mume wako akijakugundua! Utakosa furaha daimaHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Hapa nimekuelewa. Pole kwa masahibu unayokutana nayo kwa mumeo. Yawezekana huyo uliyemzimia yupo kama mumeo. Yawezekana wapo wanaomtamani mumeo kwa kumuona yupo cool, kumbe we ndo waujua undani. Huyo ulomwelewa kwa mambo yake ya nje, mkewe ndo anajua undani wake. Watu wa aina hiyo hata kwetu wapo. Usitegeke. Kuliko ujute, tulia na mumeoNimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Usimsaliti mume wako...nafsi itakusutaSijawahi, naogopaa...ila nafsi haielewi.
Hataki kunipa talaka - JamiiForumsHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
mama K hapana achana na hayo mambo kabisaaaa, tena unasema hapo mtaani nakushauri kabisa usichepuke naye yaani mtaa mzima watajua mambo yenuHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Ha ha ha shetani ana nguvu kuliko break down 😛Hahahaaaa acha tu siku hizi nikimuona mkaka mtamu au pm ya mtu nasali Sala ya mama Maria yoote....
Duuu wanawake oneni huyu anawawakilisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sipati picha baada ya kufumwa ulikuwaje mpole.Don't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
Ukishaachika ndo utajua alikuwa na thamani ipi kwako? We uliolewa ili usifiwe na mmeo? Na kama he is not caring iweje udumu nae miaka 8?
TuhadithieDon't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
Siyo shetani ni nyege mshindo hizoHa ha ha shetani ana nguvu kuliko break down 😛