Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Ukishaachika ndo utajua alikuwa na thamani ipi kwako? We uliolewa ili usifiwe na mmeo? Na kama he is not caring iweje udumu nae miaka 8?
 
Ni kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.
you see here you are talking,nakuja mpenzi kuna kitu nafanya
 
Hakuna cha ajabu!

Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...

Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.

Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.
mwambie huyo tena mie nimekula mke wa mtu mmoja tu na ela kubwa sana akiniomba ni buku mbili
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Mhhhhhh mama acha usijaribu kabisaaa!!! Shetani amekusimamia mkemee! Sio kitu kizuri...utashusha thamani yako kwa mume wako akijakugundua! Utakosa furaha daima
 
Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Hapa nimekuelewa. Pole kwa masahibu unayokutana nayo kwa mumeo. Yawezekana huyo uliyemzimia yupo kama mumeo. Yawezekana wapo wanaomtamani mumeo kwa kumuona yupo cool, kumbe we ndo waujua undani. Huyo ulomwelewa kwa mambo yake ya nje, mkewe ndo anajua undani wake. Watu wa aina hiyo hata kwetu wapo. Usitegeke. Kuliko ujute, tulia na mumeo
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Hataki kunipa talaka - JamiiForums

Kabla ya kurejea kwenye hoja, naomba nikukumbushe.
Bilashaka ulisha mchoka mumeo...tehteehh
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
mama K hapana achana na hayo mambo kabisaaaa, tena unasema hapo mtaani nakushauri kabisa usichepuke naye yaani mtaa mzima watajua mambo yenu
 
Back
Top Bottom