Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Halafu?Tuhadithie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu?Tuhadithie
Nimekuwa mpole mpaka kesho.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sipati picha baada ya kufumwa ulikuwaje mpole.
mwambie huyo tena mie nimekula mke wa mtu mmoja tu na ela kubwa sana akiniomba ni buku mbili
Unamfanya nini mpaka anakuwa na kisirani? Anakugegeda Mara ngapi kwa week?
Itakua mwisho wa dunia kwake sio kwako! Na kama atakuwa mkweli ataleta mrejesho hapaKwani akiachika ndo itakuwa mwisho wa dunia?
Fcuk it.
Acha achepuke tu.
uchamshe jukwaa na huyo ajifunzeHalafu?
utarudia tu tehNimekuwa mpole mpaka kesho.
kama ushakaa na mmeo mwaka wa nane huu ...he is a goood husband..kamatiaa huyo huyoo ...usije anza chepukaa ukajilete a matatzo mengine ambayo hayakuwepooHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
kwa coment hii hapa nadiriki kusema tunapoteza muda kukushauri hapa wew hushauriki kamwe nenda katombe.she tu huko njeNimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Kwani akiachika ndo itakuwa mwisho wa dunia?
Fcuk it.
Acha achepuke tu.
Habari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
na wanajua kucheza na muda ukimuambia saa nne uwe hapa anakuja kweli saa nne tena kasoro sio kamiliUzuri wa wake za watu hata mizinga hawapigi.
Na ni watiifu kweli.
Kila sharti utalompa atalitii tu.
Hahahahaaaaaa.
Don't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
Neverutarudia tu teh
Njoo pm nikushauri vizuriHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
natamani nichepuke nawewe maana naona jamaa soon anatunukiwa hapaUzuri siogopi talaka, labda nachofia ni future ya Kids, sitaki wapate malezi ya single parent
duh kumbe hapa tunapoteza muda mtu tayari ameishaamua tu, songa mbele tu wala usiogopeUzuri siogopi talaka, labda nachofia ni future ya Kids, sitaki wapate malezi ya single parent
hayo ni maneno ya kujifariji na unaweza ukamsingizia mwenzio kitu ambacho hajafanya ilimradi utimize nia yako.Cha ajabu nini hapo Nyani, kwani wanaume hawachepuki