Nataka kuigeuza Tsh. 2,000 itengeneze zaidi ya Tsh. Million 1 kila mwezi

Nataka kuigeuza Tsh. 2,000 itengeneze zaidi ya Tsh. Million 1 kila mwezi

Hapa kama unazungumzia duka au kaduka kadogo kajumla au siyo!?Kama ni hivyo MTAJI HITAJIKA ni kama shilingi ngapi? Fremu na vitu vingine usiweke kama sehemu ya mtaji! Zungumzia mtaji tu!
Uzuri wa hii biashara unaiweka popote hata ndani ndani huko kwa frem za elfu 50 kwa sababu wateja unawatafuta mwenyew sio wapita njia..store za watu wanaweka hadi majumbn,

Boda used yenye hali nzuri(injini) 800,000
c/lite 15 360,000
S/lager 15. 352,500
S/lite 15. 442,500
Kill ndogo 10. 245,000
Safari ndogo 10 275,000

Unawez usianze na hizi kama upo dar mzunguko ni mdogo ila ni muhimu kua nazo

Safari kubwa 5
Kill kubwa 5
Plisner 5
Serengeti lagar kb 5

Ma agent wakubwa wanapita kila baada ya siku 2 au 3 kusambaz mzigo inategemea na order za eneo lenu wauzaji wa jumla.

Ukiwa na milion 3 mpka 5 unaweza ukaanza kidogo kidogo

Kreti tupu na chupa zake ni elf 10
 
Tafuta mtaji mkubwa mkubwa ufungue duka la reja reja Lina faida nzuri sana
 
Mkuu mimi kwa jinsi ulivyojieleza hapo biashara inayokufaa ni kuuza phone accesories yaani makava ya simu,chaja,na simu za bei rahisi.
Kwa mfano kava la simu unaweza kununua elfu 2000 kariakoo wewe ukauza 4000 nje ya jiji kama mbagala,tegeta,gongolamboto na kwa vile umesema una uwezo wa kulipia kodi 200k utapata ndani ya stendi kabisa kwenye mkusanyiko wa watu wengi.
Pia ninachoipendea hii biashara kuna biashara nyingi unaweza kuziongezea ndani yake kama ya uwakala mpesa,watu kama madereva wataleta simu zao kuchaji watalipia huduma,pia unaweza kumuweka fundi simu ambaye kila kazi atakuwa analipia asilimia mlizokubaliana.
Ukishindwa hii anzisha biashara ya vipodozi pia itakulipa.
Sasa mkuu pembeni ya kodi, nikiweka mtaji kiasi gani ndio naweza pata kuanzia million 1 kila mwezi na unashauri nianze na accessories gani ambazo zinatoka zaidi kila siku?
 
Tafta sehem ya junction...andaa mishkaki saafi mitamu....usiweke milangi langi ile ..choma na kuku hawa wakisasa pembeni...na ndizi mzuzu .... utaenjoy show ....na pia hutahitaji mtaji wote huo ...ikibidi tengeneza na Yale masoseji ya kienyeji .... wengine twaita mabomu yachome vizur...wateja shaziiii
 
Ngoja nitafute namna hapa niitafune mbususu fulani mpaka iniheshimu.
Yaani tukubali blacks ndicho kipaji chetu. Acha tu tuendelee kunyonywa na jamaa huku tukijagamba kutafuta heshima kitandani.
Majuzi Kuna k moja niliila mpaka ika squirt anadai mmewe hajawahi fanya ivyo

Ngoja nitafute namna hapa niitafune mbususu fulani mpaka iniheshimu.
Yaani tukubali blacks ndicho kipaji chetu. Acha tu tuendelee kunyonywa na jamaa huku tukijagamba kutafuta heshima kitandani.
Majuzi Kuna k moja niliila mpaka ika squirt anadai mmewe hajawahi fanya ivyo.
Kama huna cha kusema Kaa kimya.
 
Million 1 au 2...Lazima ulaze faida ya mpaka 40000 kwa siku trust me biashara ya duka nimefanya Sana Hadi siku napata Ajira sikutamani kuacha maana now napata mtaji naweza kufungua Tena ila tatizo usimamizi... biashara kama hio inafaa uuze mwenyewe muhusika

Duka la aina gani ama la bidhaa zipi?
 
Bia jumla
Tuanze na vinywaji pendwa

Serengeti lager ndogo unanunua 23500 unauza 25000
Serengeti lite unanunua 29500 unauza 31000
Hizi zina faida ya 1500 kwa kreti.

Castle lite unanunua 24000 unauza 25000
Kilimanjaro unanunua 24400 unauza 25500
Safari unanunua 27500 unauza 28500
Hizi tbl faida ya kreti ni 1000

Soda
Pepsi jumla unauziwa kreti kuanzia 30..11300 wew unauza 12000 hizi faida 700
Coca kreti jumla kwanzia 50 unauziwa 11200 unauza 12000 faida 800

Maji
Hill lita moja unauziwa 2400 unauza 2700
Na mengineyo faida inarange 300

Masoko tafuta maduka na vipub vidogo vidogo vinavyokuzunguka hvyo ndio vinavyouza kwa sasa fanya delivery hata kwa kreti 2 utawateka..ukipata vipub 10 uhakika kuuza kreti 20+ per day ni uhakikaa.
Nyongeza nunua lipikipiki lakusambazia used

Mtaji ukikua weka pombe kali pia
Hii ndio nafanya.....anayefanya pia tushirikiane mawazo ya kuboresha kipato.....pia mleta uzi ukihitaj abc juu ya hii karb
 
Bia jumla
Tuanze na vinywaji pendwa

Serengeti lager ndogo unanunua 23500 unauza 25000
Serengeti lite unanunua 29500 unauza 31000
Hizi zina faida ya 1500 kwa kreti.

Castle lite unanunua 24000 unauza 25000
Kilimanjaro unanunua 24400 unauza 25500
Safari unanunua 27500 unauza 28500
Hizi tbl faida ya kreti ni 1000

Soda
Pepsi jumla unauziwa kreti kuanzia 30..11300 wew unauza 12000 hizi faida 700
Coca kreti jumla kwanzia 50 unauziwa 11200 unauza 12000 faida 800

Maji
Hill lita moja unauziwa 2400 unauza 2700
Na mengineyo faida inarange 300

Masoko tafuta maduka na vipub vidogo vidogo vinavyokuzunguka hvyo ndio vinavyouza kwa sasa fanya delivery hata kwa kreti 2 utawateka..ukipata vipub 10 uhakika kuuza kreti 20+ per day ni uhakikaa.
Nyongeza nunua lipikipiki lakusambazia used

Mtaji ukikua weka pombe kali pia
wazo bora kabisa kushinda yaliyotangulia hapo juu.

mtaji wake tu
 
Nimewaza kutafuta biashara nitayopata faida sh 2000 kwa kila item. Nimepiga hesabu nitatengeneza million na zaidi kwa mwezi.

Hesabu ipo hivi, niweze kuuza bidhaa 500 ndani ya mwezi, nipate shilingi 2,000 faida kwa kila bidhaa. Kwa siku niuze bidhaa 20 na kila bidhaa niuze kwa faida ya Tsh 2000.

Location maeneo yaliyochangamka haswa kwenye junctions kama Mbagala, Mbezi Kimara, Tegeta, Gongolamboto.

Goli liwe kati ya laki 2 hadi laki 2.5. Sasa hapa naumiza kichwa ni bidhaaa ipi naweza zungusha ikakubaliana na hesabu zangu.

Naomba tupeane mawazo wadau ni bidhaa ipi yoyote naweza iuza inayozunguka fasta na ina faida ya buku 2 kwa kila item.
SUBIRI LIGI ZIANZE MWEZI WA NANE UKABET UNAWEZA INGIZA HIYO MILIONI 1 KWA SIKU..
 
Uza accessories zihusuzo simu kama earphones, Chaja n.k
Chukua bei ya jumla Sh. 2,500 wewe uza kwa kutupa kabisa Sh. 4,500.

Weka vijiwe 4. Kila kijiwe kwa siku uza bidhaa 5 ambayo total ni bidhaa 20 na faida ni 40,000. Tayari kwa mwezi ni 1.2m. Hata ukiwalipa wafanyakazi kila mmoja laki na nusu utatumia 450,000 kwa watatu maana kijiwe cha nne unasimamia na show mwenyewe. Hapo utabaki na 750,000. Fanya biashara kwa mwaka mmoja tu anza kuagiza mzigo China.
 
Back
Top Bottom