Nataka kuigeuza Tsh. 2,000 itengeneze zaidi ya Tsh. Million 1 kila mwezi

Nataka kuigeuza Tsh. 2,000 itengeneze zaidi ya Tsh. Million 1 kila mwezi

Uza accessories zihusuzo simu kama earphones, Chaja n.k
Chukua bei ya jumla Sh. 2,500 wewe uza kwa kutupa kabisa Sh. 4,500.

Weka vijiwe 4. Kila kijiwe kwa siku uza bidhaa 5 ambayo total ni bidhaa 20 na faida ni 40,000. Tayari kwa mwezi ni 1.2m. Hata ukiwalipa wafanyakazi kila mmoja laki na nusu utatumia 450,000 kwa watatu maana kijiwe cha nne unasimamia na show mwenyewe. Hapo utabaki na 750,000. Fanya biashara kwa mwaka mmoja tu anza kuagiza mzigo China.
Big up ndugu umetisha sana
 
Uza accessories zihusuzo simu kama earphones, Chaja n.k
Chukua bei ya jumla Sh. 2,500 wewe uza kwa kutupa kabisa Sh. 4,500.

Weka vijiwe 4. Kila kijiwe kwa siku uza bidhaa 5 ambayo total ni bidhaa 20 na faida ni 40,000. Tayari kwa mwezi ni 1.2m. Hata ukiwalipa wafanyakazi kila mmoja laki na nusu utatumia 450,000 kwa watatu maana kijiwe cha nne unasimamia na show mwenyewe. Hapo utabaki na 750,000. Fanya biashara kwa mwaka mmoja tu anza kuagiza mzigo China.
Mkuu kama una uzoefu niambie ni accessories gani zinazotoka zaidi?
Pia na simu gani zinazonunuliwa zaidi na watu wa kawaida
 
Jaribu pia kufikiria biashara ya Biashara ya kuuza Mkaa

Ukipata eneo zuri ukaweka banda lako la mkaa,kwa target yako ya kupata faida ya Tsh.40,000/= kwa siku,kupitia biashara hii pesa hiyo inapatikana

Biashara ambayo uhitaji wake ni mkubwa sana hasa kwa watu wengi wenye maisha ya kati na ni hitaji la lazima

Mkaa huo utakuwa unauza kwa gunia zima,Debe,pamoja na kipimo cha chini kabisa cha Tsh.1000=

Ni biashara ambayo watu wengi wanaidharau sana,ila ni moja kati mambo ambayo watu wanayoifanya hupata faida kubwa zaidi,ukipata eneo zuri faida yake ni zaidi ya milioni moja kwa mwezi

Pia ukizingatia kwasasa bei ya Mkaa imechangamka sana huku mtaani
Vibali kipindi cha Magu vilisumbua sana kutokana na ile sheria ya mazingira na kusafirisha bidhaa za misitu. Sasa hivi mambo yakoje?
 
Vibali kipindi cha Magu vilisumbua sana kutokana na ile sheria ya mazingira na kusafirisha bidhaa za misitu. Sasa hivi mambo yakoje?
Kwasasa kila kitu kipo sawa Mzee wangu......wengine mitaji haijakaa vyema tu ila ni bonge la business
 
Uzuri wa hii biashara unaiweka popote hata ndani ndani huko kwa frem za elfu 50 kwa sababu wateja unawatafuta mwenyew sio wapita njia..store za watu wanaweka hadi majumbn,

Boda used yenye hali nzuri(injini) 800,000
c/lite 15 360,000
S/lager 15. 352,500
S/lite 15. 442,500
Kill ndogo 10. 245,000
Safari ndogo 10 275,000

Unawez usianze na hizi kama upo dar mzunguko ni mdogo ila ni muhimu kua nazo

Safari kubwa 5
Kill kubwa 5
Plisner 5
Serengeti lagar kb 5

Ma agent wakubwa wanapita kila baada ya siku 2 au 3 kusambaz mzigo inategemea na order za eneo lenu wauzaji wa jumla.

Ukiwa na milion 3 mpka 5 unaweza ukaanza kidogo kidogo

Kreti tupu na chupa zake ni elf 10
Hebu sasa nisaidie kwenye vinywaji baridi yaani soda, maji, majuisi juisi, hizo energies na kadhalika; mtaji unaweza kuwa vipi, nidadavulie tafadhali.
 
Tafuta ka Plot hapo Mbagala Rangi Tatu, hata hapo stand tu ulime matikiti nasikia yanalipa sana kwa hesabu za mezani.
 
Mawazo mazuri sana,mwenye kutilia maanani,ataleta ushuhuda siku za mbeleni.
 
Bia jumla
Tuanze na vinywaji pendwa

Serengeti lager ndogo unanunua 23500 unauza 25000
Serengeti lite unanunua 29500 unauza 31000
Hizi zina faida ya 1500 kwa kreti.

Castle lite unanunua 24000 unauza 25000
Kilimanjaro unanunua 24400 unauza 25500
Safari unanunua 27500 unauza 28500
Hizi tbl faida ya kreti ni 1000

Soda
Pepsi jumla unauziwa kreti kuanzia 30..11300 wew unauza 12000 hizi faida 700
Coca kreti jumla kwanzia 50 unauziwa 11200 unauza 12000 faida 800

Maji
Hill lita moja unauziwa 2400 unauza 2700
Na mengineyo faida inarange 300

Masoko tafuta maduka na vipub vidogo vidogo vinavyokuzunguka hvyo ndio vinavyouza kwa sasa fanya delivery hata kwa kreti 2 utawateka..ukipata vipub 10 uhakika kuuza kreti 20+ per day ni uhakikaa.
Nyongeza nunua lipikipiki lakusambazia used

Mtaji ukikua weka pombe kali pia
Hapa mtaji sh ngapi?
 
Oo
Uzuri wa hii biashara unaiweka popote hata ndani ndani huko kwa frem za elfu 50 kwa sababu wateja unawatafuta mwenyew sio wapita njia..store za watu wanaweka hadi majumbn,

Boda used yenye hali nzuri(injini) 800,000
c/lite 15 360,000
S/lager 15. 352,500
S/lite 15. 442,500
Kill ndogo 10. 245,000
Safari ndogo 10 275,000

Unawez usianze na hizi kama upo dar mzunguko ni mdogo ila ni muhimu kua nazo

Safari kubwa 5
Kill kubwa 5
Plisner 5
Serengeti lagar kb 5

Ma agent wakubwa wanapita kila baada ya siku 2 au 3 kusambaz mzigo inategemea na order za eneo lenu wauzaji wa jumla.

Ukiwa na milion 3 mpka 5 unaweza ukaanza kidogo kidogo

Kreti tupu na chupa zake ni elf 10
oo sawa
 
Bia jumla
Tuanze na vinywaji pendwa

Serengeti lager ndogo unanunua 23500 unauza 25000
Serengeti lite unanunua 29500 unauza 31000
Hizi zina faida ya 1500 kwa kreti.

Castle lite unanunua 24000 unauza 25000
Kilimanjaro unanunua 24400 unauza 25500
Safari unanunua 27500 unauza 28500
Hizi tbl faida ya kreti ni 1000

Soda
Pepsi jumla unauziwa kreti kuanzia 30..11300 wew unauza 12000 hizi faida 700
Coca kreti jumla kwanzia 50 unauziwa 11200 unauza 12000 faida 800

Maji
Hill lita moja unauziwa 2400 unauza 2700
Na mengineyo faida inarange 300

Masoko tafuta maduka na vipub vidogo vidogo vinavyokuzunguka hvyo ndio vinavyouza kwa sasa fanya delivery hata kwa kreti 2 utawateka..ukipata vipub 10 uhakika kuuza kreti 20+ per day ni uhakikaa.
Nyongeza nunua lipikipiki lakusambazia used

Mtaji ukikua weka pombe kali pia
Kuna jamaa aliwahi kuwa na hii biashara enzi hizo alikuwa kapangisha kwenye frame za nyumbani kwetu, uhakika wa kuuza crate zaidi ya 30 alikuwa nao maana alijikuta anakuwa supplier wa bar nyingi ule mtaa.

Yeye hakutumia pikipiki, alichonga matoroli yale manne (ya chuma) akawa na madogo wa kupeleka mizigo.
 
Hyo faida inapatikana kwa uharaka kwenye nguo,kama mashati ya mtumba ulivyoelezwa huko juu au kuuza kadeti na jeans tu ukitarget pazuri unatoboa
Kila nikiifikiria biashara ya nguo kisha nikifikiria jinsi nilivyo mvivu wa kununua nguo, huwa sina amsha nayo kabisa.

Ila kwakua inatajwa sana na watu, inaonekana kuwa na faida.
 
Back
Top Bottom