Yohana Daniel
Member
- Mar 18, 2018
- 63
- 33
Big up ndugu umetisha sanaUza accessories zihusuzo simu kama earphones, Chaja n.k
Chukua bei ya jumla Sh. 2,500 wewe uza kwa kutupa kabisa Sh. 4,500.
Weka vijiwe 4. Kila kijiwe kwa siku uza bidhaa 5 ambayo total ni bidhaa 20 na faida ni 40,000. Tayari kwa mwezi ni 1.2m. Hata ukiwalipa wafanyakazi kila mmoja laki na nusu utatumia 450,000 kwa watatu maana kijiwe cha nne unasimamia na show mwenyewe. Hapo utabaki na 750,000. Fanya biashara kwa mwaka mmoja tu anza kuagiza mzigo China.
Mkuu kama una uzoefu niambie ni accessories gani zinazotoka zaidi?Uza accessories zihusuzo simu kama earphones, Chaja n.k
Chukua bei ya jumla Sh. 2,500 wewe uza kwa kutupa kabisa Sh. 4,500.
Weka vijiwe 4. Kila kijiwe kwa siku uza bidhaa 5 ambayo total ni bidhaa 20 na faida ni 40,000. Tayari kwa mwezi ni 1.2m. Hata ukiwalipa wafanyakazi kila mmoja laki na nusu utatumia 450,000 kwa watatu maana kijiwe cha nne unasimamia na show mwenyewe. Hapo utabaki na 750,000. Fanya biashara kwa mwaka mmoja tu anza kuagiza mzigo China.
Vibali kipindi cha Magu vilisumbua sana kutokana na ile sheria ya mazingira na kusafirisha bidhaa za misitu. Sasa hivi mambo yakoje?Jaribu pia kufikiria biashara ya Biashara ya kuuza Mkaa
Ukipata eneo zuri ukaweka banda lako la mkaa,kwa target yako ya kupata faida ya Tsh.40,000/= kwa siku,kupitia biashara hii pesa hiyo inapatikana
Biashara ambayo uhitaji wake ni mkubwa sana hasa kwa watu wengi wenye maisha ya kati na ni hitaji la lazima
Mkaa huo utakuwa unauza kwa gunia zima,Debe,pamoja na kipimo cha chini kabisa cha Tsh.1000=
Ni biashara ambayo watu wengi wanaidharau sana,ila ni moja kati mambo ambayo watu wanayoifanya hupata faida kubwa zaidi,ukipata eneo zuri faida yake ni zaidi ya milioni moja kwa mwezi
Pia ukizingatia kwasasa bei ya Mkaa imechangamka sana huku mtaani
Kwasasa kila kitu kipo sawa Mzee wangu......wengine mitaji haijakaa vyema tu ila ni bonge la businessVibali kipindi cha Magu vilisumbua sana kutokana na ile sheria ya mazingira na kusafirisha bidhaa za misitu. Sasa hivi mambo yakoje?
Msimbaz b
Hebu sasa nisaidie kwenye vinywaji baridi yaani soda, maji, majuisi juisi, hizo energies na kadhalika; mtaji unaweza kuwa vipi, nidadavulie tafadhali.Uzuri wa hii biashara unaiweka popote hata ndani ndani huko kwa frem za elfu 50 kwa sababu wateja unawatafuta mwenyew sio wapita njia..store za watu wanaweka hadi majumbn,
Boda used yenye hali nzuri(injini) 800,000
c/lite 15 360,000
S/lager 15. 352,500
S/lite 15. 442,500
Kill ndogo 10. 245,000
Safari ndogo 10 275,000
Unawez usianze na hizi kama upo dar mzunguko ni mdogo ila ni muhimu kua nazo
Safari kubwa 5
Kill kubwa 5
Plisner 5
Serengeti lagar kb 5
Ma agent wakubwa wanapita kila baada ya siku 2 au 3 kusambaz mzigo inategemea na order za eneo lenu wauzaji wa jumla.
Ukiwa na milion 3 mpka 5 unaweza ukaanza kidogo kidogo
Kreti tupu na chupa zake ni elf 10
Elewa kuwa ametolea mfano , basi jiongeze kupitia huo mfanoDuka moja lina uza mayai, pembeni kuna mashati alafu kuna mpesa nawaza tu linavyooneka [emoji28][emoji28][emoji28]
πππ πππππππ ππππ πππππππππ π ππππππ π ππππUngetaka ya 1000 au 1500 ningekupaa ushaurii
Hapa mtaji sh ngapi?Bia jumla
Tuanze na vinywaji pendwa
Serengeti lager ndogo unanunua 23500 unauza 25000
Serengeti lite unanunua 29500 unauza 31000
Hizi zina faida ya 1500 kwa kreti.
Castle lite unanunua 24000 unauza 25000
Kilimanjaro unanunua 24400 unauza 25500
Safari unanunua 27500 unauza 28500
Hizi tbl faida ya kreti ni 1000
Soda
Pepsi jumla unauziwa kreti kuanzia 30..11300 wew unauza 12000 hizi faida 700
Coca kreti jumla kwanzia 50 unauziwa 11200 unauza 12000 faida 800
Maji
Hill lita moja unauziwa 2400 unauza 2700
Na mengineyo faida inarange 300
Masoko tafuta maduka na vipub vidogo vidogo vinavyokuzunguka hvyo ndio vinavyouza kwa sasa fanya delivery hata kwa kreti 2 utawateka..ukipata vipub 10 uhakika kuuza kreti 20+ per day ni uhakikaa.
Nyongeza nunua lipikipiki lakusambazia used
Mtaji ukikua weka pombe kali pia
oo sawaUzuri wa hii biashara unaiweka popote hata ndani ndani huko kwa frem za elfu 50 kwa sababu wateja unawatafuta mwenyew sio wapita njia..store za watu wanaweka hadi majumbn,
Boda used yenye hali nzuri(injini) 800,000
c/lite 15 360,000
S/lager 15. 352,500
S/lite 15. 442,500
Kill ndogo 10. 245,000
Safari ndogo 10 275,000
Unawez usianze na hizi kama upo dar mzunguko ni mdogo ila ni muhimu kua nazo
Safari kubwa 5
Kill kubwa 5
Plisner 5
Serengeti lagar kb 5
Ma agent wakubwa wanapita kila baada ya siku 2 au 3 kusambaz mzigo inategemea na order za eneo lenu wauzaji wa jumla.
Ukiwa na milion 3 mpka 5 unaweza ukaanza kidogo kidogo
Kreti tupu na chupa zake ni elf 10
Kuna jamaa aliwahi kuwa na hii biashara enzi hizo alikuwa kapangisha kwenye frame za nyumbani kwetu, uhakika wa kuuza crate zaidi ya 30 alikuwa nao maana alijikuta anakuwa supplier wa bar nyingi ule mtaa.Bia jumla
Tuanze na vinywaji pendwa
Serengeti lager ndogo unanunua 23500 unauza 25000
Serengeti lite unanunua 29500 unauza 31000
Hizi zina faida ya 1500 kwa kreti.
Castle lite unanunua 24000 unauza 25000
Kilimanjaro unanunua 24400 unauza 25500
Safari unanunua 27500 unauza 28500
Hizi tbl faida ya kreti ni 1000
Soda
Pepsi jumla unauziwa kreti kuanzia 30..11300 wew unauza 12000 hizi faida 700
Coca kreti jumla kwanzia 50 unauziwa 11200 unauza 12000 faida 800
Maji
Hill lita moja unauziwa 2400 unauza 2700
Na mengineyo faida inarange 300
Masoko tafuta maduka na vipub vidogo vidogo vinavyokuzunguka hvyo ndio vinavyouza kwa sasa fanya delivery hata kwa kreti 2 utawateka..ukipata vipub 10 uhakika kuuza kreti 20+ per day ni uhakikaa.
Nyongeza nunua lipikipiki lakusambazia used
Mtaji ukikua weka pombe kali pia
Kila nikiifikiria biashara ya nguo kisha nikifikiria jinsi nilivyo mvivu wa kununua nguo, huwa sina amsha nayo kabisa.Hyo faida inapatikana kwa uharaka kwenye nguo,kama mashati ya mtumba ulivyoelezwa huko juu au kuuza kadeti na jeans tu ukitarget pazuri unatoboa