Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Tayari. Mimi sioni shida na kizur wife ashanipa baraka zote mana yeye naye kashachoka.
Wife wako sio ndugu yako...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari. Mimi sioni shida na kizur wife ashanipa baraka zote mana yeye naye kashachoka.
Mkuu nimekutumia pm. Naomba tuwasiliane huko kama kuna uwezekano. Mimi kwa sasa sishindwi lolote. Hata utajir wa punje nikipewa mwaka mmoja nachukua kabisa.Yupo mkafiri mkoa x ukitimiza mashart anakupa mkopo wa milioni 40 Kama mtaji au zaidi kutokana na biashara unayotaka kuanzisha. Wengi huchukua 50 ili wanunua mafuso au makoster na mabasi waanze kuvuna pesa mapema.
Ila mzee, sahau nyumba ndogo, sahau mchepuko au Malaya, wewe Ni mkeo tu halafu mtunze atunzike asiugue Wala kufa mapema.
Sharti la pili ndio gumu na ndio linalowafanya wengi kushindwa.
Duh...jamaa anafanya masihara na sisi tunataka utajiri aise.
Kabisa mkuu..hata mwaka mmoja ni sawa tu.Pole sana mkuu!
Najua unachopitia ni kigumu sana!
Umri unaenda mkeo /ndugu wanakudharau maisha hayaeleweki unajitoa mhanga Kwa lusifa Ili ufanikiwe faster na utoweke faster pia!!
Pole mkuu Bora ata ungenibless mimi ten nipate kula
Sawa, nishawaandaa. Mimi siangalii nyuma kwa sasa mkuu. Aise sjui kama naeleweka nikisema nimechoka kua maskin. Tusaidizane mkuuWife wako sio ndugu yako...
Nani sasa...Ana mali yoyote aliyonunua kwa dola laki mbili?
Matapeli tu hao.Kuna siku nilienda Kwa mganga kutafuta huo utajiri katika harakati zetu za hapa na pale mganga si akanipa dawa nikaichimbie katikati ya kaburi nikavizia Giza liingie nikafanye jambo langu nikiamini usiku hakutakuwa na watu na sitaonekana ikafika saa mbili nikaingia katikati ya makaburi nikamsikia mtu akisema kojoa haraka nimechoka kuinama nilitetemeka Ile kugeuka naona jamaa anakula mzigo juu ya kaburi nilikupuka wale watu nikasikia wanapiga kelele wanakimbia wanajua me mzimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pesa ndio kila.kitu kwenye maisha. Hakuna kingine.Imebidi ni-scrow juu kuona jina lako, nilivyoona pesakilakitu nikapata jibu!!
Namanisha mkuu. Utajir wa punje wa tuseme mwaka 1 wengine wanaweza kulia , ila mimi nitafurahia sana.Kutoka ndani ya moyo wako haumaanishi.
Nimeshaamua mkuu. Sirudi nyuma.kabisaBe careful what you wish for
Haya mkuu.Watafute chawa wake wakuunganishe naye.
Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
[emoji24haha![]()
😄 🤣 😂Ndio mkuu. Haya makalio.nimekaa nayo.miaka na miaka hayajanisaidia lolote zaid ya kuniletea umaskin tu mkuu. Kama ntayatumia kupata utajiri kwanini yasitumike..sio makalio tu, hata kujitoa maisha niko tayari. Utajir wa punje .