Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Kuna siku nilienda Kwa mganga kutafuta huo utajiri katika harakati zetu za hapa na pale mganga si akanipa dawa nikaichimbie katikati ya kaburi nikavizia Giza liingie nikafanye jambo langu nikiamini usiku hakutakuwa na watu na sitaonekana ikafika saa mbili nikaingia katikati ya makaburi nikamsikia mtu akisema kojoa haraka nimechoka kuinama nilitetemeka Ile kugeuka naona jamaa anakula mzigo juu ya kaburi nilikupuka wale watu nikasikia wanapiga kelele wanakimbia wanajua me mzimu🤣🤣🤣
 
Mkuu nimekutumia pm. Naomba tuwasiliane huko kama kuna uwezekano. Mimi kwa sasa sishindwi lolote. Hata utajir wa punje nikipewa mwaka mmoja nachukua kabisa.
 
Matapeli tu hao.
 

Ndio mkuu. Haya makalio.nimekaa nayo.miaka na miaka hayajanisaidia lolote zaid ya kuniletea umaskin tu mkuu. Kama ntayatumia kupata utajiri kwanini yasitumike..sio makalio tu, hata kujitoa maisha niko tayari. Utajir wa punje .
😄 🤣 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…