Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Kila kitu huanza na nia
Halafu mchakato ndio huanza na kwenye mchakato kuna maumivu makali sana hapo unapaswa uvumilie. Halafu kitu kingine uwe risk taker nothing comes easy, kubali kupigika ili uje uheshimike. Mafanikio yapo kwenye kupambania kile unachokiamini. Usiwaze kupata mafanikio kwa njia za giza. Nia, nidhamu, jitihada.

Utafanikiwa la sivyo utaishia na msongo wa mawazo tu.
NIMEMALIZA
 
Kwani yeye roboti asife...maskin bwana.
Kwani Nani Amekwambia Ya Kwamba Roboti Hafi?Afe Binadamu aliyeliunda na kulitengeneza,,,Alafu Kilichoundwa Naye Huyo Binadamu Kisife??Hakuna Kinachodumu Milele Katika Maisha Yetu Ya Kila Siku,,Na Ndio Maana Hata Wewe Unahitaji Utajiri Feki Wa Punje Hata Kwa Mwaka 1,,Hata Ukibahatika Kupata As zaidi Ya Huo Mwaka Kuna Mwisho Tuu Iwe Giza Iwe Mwanga...Tulia Usipagawe Kiboya Hivyo Mtoto Wa Kiume Kaza,,Alafu Huyo Demu/Mke Wako Anakuingiza Chaka Unakuja Kuropoka Huku,,,Mwambie Na Yeye Atafute Kwa Namna Hiyo ili Muwe Familia Ya Kitajiri Ushuhudie Balaa.Tuliza Ndonga Hilo
 
Kwani Nani Amekwambia Ya Kwamba Roboti Hafi?Afe Binadamu aliyeliunda na kulitengeneza,,,Alafu Kilichoundwa Naye Huyo Binadamu Kisife??Hakuna Kinachodumu Milele Katika Maisha Yetu Ya Kila Siku,,Na Ndio Maana Hata Wewe Unahitaji Utajiri Feki Wa Punje Hata Kwa Mwaka 1,,Hata Ukibahatika Kupata As zaidi Ya Huo Mwaka Kuna Mwisho Tuu Iwe Giza Iwe Mwanga...Tulia Usipagawe Kiboya Hivyo Mtoto Wa Kiume Kaza,,Alafu Huyo Demu/Mke Wako Anakuingiza Chaka Unakuja Kuropoka Huku,,,Mwambie Na Yeye Atafute Kwa Namna Hiyo ili Muwe Familia Ya Kitajiri Ushuhudie Balaa.Tuliza Ndonga Hilo
Fukara mwenzangu naona umekuja kwa hasira. Tutafute hela. Najua ufukara unafanya.mtu unakua na hasira kila saa ..tutafute hera fukara mwenzangu usiwe na hasira kama mama mjaamzito.
 
Pesa za shetani sio za bure lazima utalipa tu
Hata umaskin malipo yake utalipa tu na ni utaishi kwa mateso makubwa na kuzaraulika kwa wingi sana utashindwa hata kumnunulia mwenza wako pedi mwishowe utakufa kwa aibu kubwa huku ukiwaachia mzigo mzito uliowaacha bila chochote mana hata jeneza lako ni litapatikana kwa shida
 
Kwa binadamu, wengi huwa tunatamani kile ambacho hatuna, ukilazimisha kukipata kwa njia zisizoeleweka huwa inakuwa ni mateso.

Wengi tukiwatazama usoni tunahisi wana furaha, ila katika mioyo yao wanaumia na wanateseka.

Ni bora kuwa huru kwa kula ugali na kachumbari

Ni tajiri yupi, akiwa mbali na macho ya watu huwa ana furaha?​
Never ever huwez kua napesa halaf usiwe na furaha. Haipo hio duniani kote. Na haitokaitokee.
 
Kuna vibao barabarani vinavyoonyesha jinsi ya kuwapata freemanson. Au nenda Kigoma kapate "ndago " ni rahisi tu, ni wewe tu.
 
K
Fukara mwenzangu naona umekuja kwa hasira. Tutafute hela. Najua ufukara unafanya.mtu unakua na hasira kila saa ..tutafute hera fukara mwenzangu usiwe na hasira kama mama mjaamzito.
Huo Ni Mtazamo,,,Fikra Na Maoni Yako,,Kamwe Siwezi Kukupangia Jinsi Unavyotaka Dogo,,Just We Wakes Up Brain Cells(Malumbano Ya/Kwa Hoja),,Wala Si Kashfa,,Nyodo,,Nyeuri,,Kejeli n.k.,,n.k,,Kama Wewe Umenielewa Kwa Upande Huo Wala Si Dhambi,,Wala Hakuna Sababu Ya Malumbano Humu,,Afya Ya Mifupa,,Damu na Nyama Ikawe Nawe...✊✊✊
 
Samahani mkuu "kufiranah" ni Kitendo gani kwani? [emoji848]Neno geni sana
Namanisha kua kila jambo lililoko mezani linaitaj suluhisho, hawa vijana wajinga kitu cha kwanza kinachokuja kwnye akili ni kuingilia kinyume na maumbile ..ni kwanini..kwanini mtu kwenye akili yake ikae kitu kimoja tu, kufirah.
 
Ndio maana mkuu shuleni tulifundishwa mambo makuu mawili 1.hesabu za kukopa
2.lakini pia mwalimu alituambia moja baki nayo kichwani unapohisi unaanza kukata jua akili ndo inaanza kuchangamka toka nje ya matrix


Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?

Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.

Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..

Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.

Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Enhe Ebu tueleze Bila hela Utakula maneno mkuu
Wazee wetu waliweza kuishi vizuri kwa kufuga,kulima n.k; kwa sababu chakula walikuwa wakipata shambani, iwe mahindi,mchicha n.k, pia nyama walikuwa wakipata kwenye mifugo yao.
Kizazi cha sasa hakitaki kulima wala kufuga, kikitegemea hiyo shilingi kumi anayoipata igeuke kuwa mahindi, mchicha n.k
Kwa mazingira hayo, kwa nini usiabudu hela pamoja na kuja na mada za namna hii?​
 
Back
Top Bottom