Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Never ever huwez kua napesa halaf usiwe na furaha. Haipo hio duniani kote. Na haitokaitokee.
Wenye pesa halali hawana shida, wenye pesa za wizi dhamira zinawasuta, wenye pesa za mazingaombwe kuna ibada wanazifanya huku wakiteseka.
 
Tatizo lazima utakosea tuu,kama unaweza kumkosea Mungu,hata hayo majini utakiuja masharti yake tuu na huo ndio utakuwa mwisho wako kwa kuwa Majini hayana huruma kama Mungu alivyo na rehema ata ukimkosea anasamehe mara elfu
 
Wazee wetu waliweza kuishi vizuri kwa kufuga,kulima n.k; kwa sababu chakula walikuwa wakipata shambani, iwe mahindi,mchicha n.k, pia nyama walikuwa wakipata kwenye mifugo yao.
Kizazi cha sasa hakitaki kulima wala kufuga, kikitegemea hiyo shilingi kumi anayoipata igeuke kuwa mahindi, mchicha n.k
Kwa mazingira hayo, kwa nini usiabudu hela pamoja na kuja na mada za namna hii?​
Usiende mbali nimeishi Bukoba mwaka 2009-2013 ndizi nilikua nazipanda mwenyewe, viazi, mihogo, karanga, mapapai, pasheni, mahindi, maharage ya njano na Yale mekundu miwa,Maembe ila Leo hii mkuu🤣siwezi tena kulima nishakua wa mjini daslama
 
Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?

Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.

Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..

Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.

Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kila raheli katika kukupata huo ufalme wa Giza🙌
 
Tatizo lazima utakosea tuu,kama unaweza kumkosea Mungu,hata hayo majini utakiuja masharti yake tuu na huo ndio utakuwa mwisho wako kwa kuwa Majini hayana huruma kama Mungu alivyo na rehema ata ukimkosea anasamehe mara elfu
Kama ipo konekshen nipasie. Haya mengine ni yangu
 
Never ever huwez kua napesa halaf usiwe na furaha. Haipo hio duniani kote. Na haitokaitokee.​
Wakati nilipokuwa kijana kwenye harakati, nikakutana na mzee mmoja; akaniambia kijana mbona unaonekana wewe uko vizuri sana, unaonaje tukufanyie mambo ili uwe mfanya biashara mkubwa.

Nikauliza ki vipi?

Akasema, kuna ngozi ya mnyama itachanwa na itaandikwa maneno ya kiarabu, na itafanyiwa ibada, na itashonewa ndani ya mwili wangu.
Sharti; usile kitimoto, usinywe pombe, usitembee na wanawake, na kila mwisho wa mwezi kuna ibada ya kuchinja mnyama itatakiwa ifanyike, huku siku hiyo ukiwa umevaa vazi jeupe.

Nikauliza, nisipofuata hayo masharti itakuwaje? akasema, siwezi kukwambia itatokea nini, ila kama uko tayari tufanye kazi.

Nikatafakari; nini maana ya kuwa na hela na vitu vizuri kutokuvitumia? Je huyu mzee akifa nikiwa tayari kwenye maagano, itakuwaje?
Nikamwambia sitaweza.

Kwa mazingira haya, kwa wewe mwenye tamaa ungeingia na mwisho wa siku ungekuwa mtumwa wa dunia.​
 
Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?

Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.

Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..

Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.

Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Cc
Pdidy
 
Usiende mbali nimeishi Bukoba mwaka 2009-2013 ndizi nilikua nazipanda mwenyewe, viazi, mihogo, karanga, mapapai, pasheni, mahindi, maharage ya njano na Yale mekundu miwa,Maembe ila Leo hii mkuu🤣siwezi tena kulima nishakua wa mjini daslama
Kwa hiyo leo hapo mjini unategemea hiyo shilingi mia unayoiangaikia kwa jasho kila siku, ndio igeuke kuwa viazi, mihogo, karanga, mapapai, pasheni, mahindi, maharage ya njano na Yale mekundu miwa,Maembe​
 
Tayari. Mimi sioni shida na kizur wife ashanipa baraka zote mana yeye naye kashachoka.
Muulize mke wako, je yuko tayari yeye kutangulizwa kama ikitokea hivyo?

Ni sawa na kusema; kichwa chako unakiuza kwa shilingi milioni 500. Je uko tayari kukiuza hicho kichwa chako?​
 
Back
Top Bottom