Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye pesa halali hawana shida, wenye pesa za wizi dhamira zinawasuta, wenye pesa za mazingaombwe kuna ibada wanazifanya huku wakiteseka.Never ever huwez kua napesa halaf usiwe na furaha. Haipo hio duniani kote. Na haitokaitokee.
Tatizo wewe unataka upate hela uwatambie watu, ndio kinachokutesa. Na kama utapambana upate hizo hela za mazingaombwe lazima zitakusumbua.Hizi fikra nimekaa nazo miaka na miaka nmejiona nazid kua fukara tu. Hazisaidii lolote.
Usiende mbali nimeishi Bukoba mwaka 2009-2013 ndizi nilikua nazipanda mwenyewe, viazi, mihogo, karanga, mapapai, pasheni, mahindi, maharage ya njano na Yale mekundu miwa,Maembe ila Leo hii mkuu🤣siwezi tena kulima nishakua wa mjini daslamaWazee wetu waliweza kuishi vizuri kwa kufuga,kulima n.k; kwa sababu chakula walikuwa wakipata shambani, iwe mahindi,mchicha n.k, pia nyama walikuwa wakipata kwenye mifugo yao.
Kizazi cha sasa hakitaki kulima wala kufuga, kikitegemea hiyo shilingi kumi anayoipata igeuke kuwa mahindi, mchicha n.k
Kwa mazingira hayo, kwa nini usiabudu hela pamoja na kuja na mada za namna hii?
Kila raheli katika kukupata huo ufalme wa Giza🙌Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji706][emoji706]Kuna jamaa alipewa masharti awe anagegedwa na beberu daily,beberu akawa anamoelekea moto jamaa mpaka akalalamika kuwa anaumia sana
Nliambiwa lazima nipelekwe na mtu.Nenda freemason posta ya zamani ukale kiapo
Mtu lpekee anayeteseka dunia hii ni FUKARA.Wenye pesa halali hawana shida, wenye pesa za wizi dhamira zinawasuta, wenye pesa za mazingaombwe kuna ibada wanazifanya huku wakiteseka.
Kama ipo konekshen nipasie. Haya mengine ni yanguTatizo lazima utakosea tuu,kama unaweza kumkosea Mungu,hata hayo majini utakiuja masharti yake tuu na huo ndio utakuwa mwisho wako kwa kuwa Majini hayana huruma kama Mungu alivyo na rehema ata ukimkosea anasamehe mara elfu
Never ever huwez kua napesa halaf usiwe na furaha. Haipo hio duniani kote. Na haitokaitokee.
CcNataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bora uwe fukara kuliko kuwa na utajiri wa mazingaombwe.Mtu lpekee anayeteseka dunia hii ni FUKARA.
AiseeTayari. Mimi sioni shida na kizur wife ashanipa baraka zote mana yeye naye kashachoka.
Usiende mbali nimeishi Bukoba mwaka 2009-2013 ndizi nilikua nazipanda mwenyewe, viazi, mihogo, karanga, mapapai, pasheni, mahindi, maharage ya njano na Yale mekundu miwa,Maembe ila Leo hii mkuu🤣siwezi tena kulima nishakua wa mjini daslama
Muulize mke wako, je yuko tayari yeye kutangulizwa kama ikitokea hivyo?Tayari. Mimi sioni shida na kizur wife ashanipa baraka zote mana yeye naye kashachoka.
Sheria zipo kibao, endelea kuchimbaNimekipata ila kina maruwe ruwe tu mkuu..
Yes mkuu na mwisho wa siku kuna vitu navimiss sana vitu vya asiliKwa hiyo leo hapo mjini unategemea hiyo shilingi mia unayoiangaikia kwa jasho kila siku, ndio igeuke kuwa viazi, mihogo, karanga, mapapai, pasheni, mahindi, maharage ya njano na Yale mekundu miwa,Maembe