Kwani Nani Amekwambia Ya Kwamba Roboti Hafi?Afe Binadamu aliyeliunda na kulitengeneza,,,Alafu Kilichoundwa Naye Huyo Binadamu Kisife??Hakuna Kinachodumu Milele Katika Maisha Yetu Ya Kila Siku,,Na Ndio Maana Hata Wewe Unahitaji Utajiri Feki Wa Punje Hata Kwa Mwaka 1,,Hata Ukibahatika Kupata As zaidi Ya Huo Mwaka Kuna Mwisho Tuu Iwe Giza Iwe Mwanga...Tulia Usipagawe Kiboya Hivyo Mtoto Wa Kiume Kaza,,Alafu Huyo Demu/Mke Wako Anakuingiza Chaka Unakuja Kuropoka Huku,,,Mwambie Na Yeye Atafute Kwa Namna Hiyo ili Muwe Familia Ya Kitajiri Ushuhudie Balaa.Tuliza Ndonga HiloKwani yeye roboti asife...maskin bwana.
Fukara mwenzangu naona umekuja kwa hasira. Tutafute hela. Najua ufukara unafanya.mtu unakua na hasira kila saa ..tutafute hera fukara mwenzangu usiwe na hasira kama mama mjaamzito.Kwani Nani Amekwambia Ya Kwamba Roboti Hafi?Afe Binadamu aliyeliunda na kulitengeneza,,,Alafu Kilichoundwa Naye Huyo Binadamu Kisife??Hakuna Kinachodumu Milele Katika Maisha Yetu Ya Kila Siku,,Na Ndio Maana Hata Wewe Unahitaji Utajiri Feki Wa Punje Hata Kwa Mwaka 1,,Hata Ukibahatika Kupata As zaidi Ya Huo Mwaka Kuna Mwisho Tuu Iwe Giza Iwe Mwanga...Tulia Usipagawe Kiboya Hivyo Mtoto Wa Kiume Kaza,,Alafu Huyo Demu/Mke Wako Anakuingiza Chaka Unakuja Kuropoka Huku,,,Mwambie Na Yeye Atafute Kwa Namna Hiyo ili Muwe Familia Ya Kitajiri Ushuhudie Balaa.Tuliza Ndonga Hilo
[emoji23]Enhe Ebu tueleze Bila hela Utakula maneno mkuu
Hata umaskin malipo yake utalipa tu na ni utaishi kwa mateso makubwa na kuzaraulika kwa wingi sana utashindwa hata kumnunulia mwenza wako pedi mwishowe utakufa kwa aibu kubwa huku ukiwaachia mzigo mzito uliowaacha bila chochote mana hata jeneza lako ni litapatikana kwa shidaPesa za shetani sio za bure lazima utalipa tu
Never.Kidding
Never ever huwez kua napesa halaf usiwe na furaha. Haipo hio duniani kote. Na haitokaitokee.Kuna watu wana pesa ila hawana furaha nazo,kuwa makini
Never ever huwez kua napesa halaf usiwe na furaha. Haipo hio duniani kote. Na haitokaitokee.Kwa binadamu, wengi huwa tunatamani kile ambacho hatuna, ukilazimisha kukipata kwa njia zisizoeleweka huwa inakuwa ni mateso.
Wengi tukiwatazama usoni tunahisi wana furaha, ila katika mioyo yao wanaumia na wanateseka.
Ni bora kuwa huru kwa kula ugali na kachumbari
Ni tajiri yupi, akiwa mbali na macho ya watu huwa ana furaha?
Sijajua kwanin wabongo wengi vijana asilimia kubwa hua wanawaza kufiranah tu. Hua najiuliza sana. Kila kitu lazima atoe koment ya kufiranahUtayaweza masharti dogo ukiambiwa kila usiku wa manane uwe unapigwa pumbu utakubali?
Sawa.Kama una wazazi wote na upo tayari kuwatoa tayari ushatoboa
[emoji706] usilete utani kwenye vitu siriaz.Namshuru mama samia kwa kukuwazisha hivo sema..kazi iendelee
Huo Ni Mtazamo,,,Fikra Na Maoni Yako,,Kamwe Siwezi Kukupangia Jinsi Unavyotaka Dogo,,Just We Wakes Up Brain Cells(Malumbano Ya/Kwa Hoja),,Wala Si Kashfa,,Nyodo,,Nyeuri,,Kejeli n.k.,,n.k,,Kama Wewe Umenielewa Kwa Upande Huo Wala Si Dhambi,,Wala Hakuna Sababu Ya Malumbano Humu,,Afya Ya Mifupa,,Damu na Nyama Ikawe Nawe...✊✊✊Fukara mwenzangu naona umekuja kwa hasira. Tutafute hela. Najua ufukara unafanya.mtu unakua na hasira kila saa ..tutafute hera fukara mwenzangu usiwe na hasira kama mama mjaamzito.
[emoji706] sina muda kupoteza nahao matapeli.Kuna vibao barabarani vinavyoonyesha jinsi ya kuwapata freemanson. Au nenda Kigoma kapate "ndago " ni rahisi tu, ni wewe tu.
Samahani mkuu "kufiranah" ni Kitendo gani kwani? 🤔Neno geni sanaSijajua kwanin wabongo wengi vijana asilimia kubwa hua wanawaza kufiranah tu. Hua najiuliza sana. Kila kitu lazima atoe koment ya kufiranah
Namanisha kua kila jambo lililoko mezani linaitaj suluhisho, hawa vijana wajinga kitu cha kwanza kinachokuja kwnye akili ni kuingilia kinyume na maumbile ..ni kwanini..kwanini mtu kwenye akili yake ikae kitu kimoja tu, kufirah.Samahani mkuu "kufiranah" ni Kitendo gani kwani? [emoji848]Neno geni sana
Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme wa giza, nataka kumsujudia shetani mana katika vitabu vimeandikwa ukimsujudia atakupa mali nyingi sana na utajiri mkubwa wa dunia hii.
Nataka kua kama chief godlove ama tajiri bilionea Lugumi ama diamond platnumz anaesema kua dola laki mbili ya kununua gari ya tesla ni hela ndogo sana..
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za kuwavalisha wakiwa marehemu za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa, inasaidia nini kwa mfu. Leteni konekshen tujitose, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe.
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Enhe Ebu tueleze Bila hela Utakula maneno mkuu