Nataka kujiunga na Upadre ila kuna ufafanuzi ambao sijaupata

Wewe unatafuta ajira si utumishi wa Mungu.
 
Wewe unatafuta ajira si utumishi wa Mungu.
Hayo ni mawazo yako Mkuu. Kanisani hakuna ajira mzee, kama shida yangu ni ajira gharama zitazotumika kwanini nisifanye mtaji wa kujiari mwenyewe? Badala ya kuwenda masomoni karibia miaka 14.

Sisukumwi na changamoto yoyote Mkuu.
 
Usije kuwa umeutamani kisa baba paroko anaendesha ndinga Kali na anaishi kwenye bangalow upadri siyo ajira ni utume na unatakiwa kuacha yote ya Dunia kama hujakulia kwenye mazingira ya useminari hautauweza umeshaonja Raha za Dunia vya kutosha ukimuona mtu kavaa Ile kanzu anaongoza misa usimchukulie poa
 
Walimjuaje?
 
Nani kakwambia watu hutubu dhambi na kuacha kabisa? Wanapewa makanisa na matokeo yake wanakula kondoo wao. Na wengine hujianzishia makanisa yao wenyewe. Unakuta yeye ndi mchungaji, askofu na wakati mwingime hujiita nabii. Mahubiri yao ni umbea tu kanisani. Mf. Huyu mwanasiasa, unasema aliacha dhambi huyu?
 
KUNARAFIKI YANGU ALIKUWA ANATAKIWA APEWE UPADRE WIKI IJAYO NIKASHANGAA NAPISHANA NAYE MJINI JUMAMOSI KWENDA SIMUONI SIJUI NINI KILIMKUTA NA ALIKUWA SHEMASI



POPOTE ALIPI MUNGU AWE NAYE NI MIAKA MINNE SASA ILA
HUYU



TISS ISAAC AMANI ATOLEWW U ASKOFU ANACHOMA WATU NA WENZAKE KWA SERIKALI

ET HACHEKAGI CHEKAGI KUBWE JASUSI NDANI YA BARAZA LA MAASKOFU NA BALAA WAMEMPA UKUU ARUSHA DA VATICAN INAFAIL WAPI SUJUI
 
Kumbe siyo lazima nipitie seminary ambazo ni kwa ajili ya kuwaanda vijana kuwa mapdre wa kanisa Katoliki? Nimepata mwanga sasa.
 
Hana hata hiyo 0
 
S
Ukiuliza swali la tatu, utakuwa umeukosa automatically.Kumbuka Wana filosofia ya juu sana usizani unaenda kuongea na watu wa kawaida.Wale jamaa ni kama CIA
 
Huingii bila vetting. upadre sio tu kulipa ada
huyu kwa kuwa na mahusiano ya kingono wanaita kuzini na kujaliiwa kupata mtoto tayari keshapoteza sifa ya njee ya kuwa padri. Fanya jitihada za kulea mtoto na sio kondoo wa Bwana. Rafiki yangu mmoja alikua anasoma seminari ndogo akatia mimba binti kule kijijini kwao wakafanya Siri. Wiki moja kabla ya kupata ushemashi ikajulikana, jamaa alitimuliwa bila huruma na Sasa Yuko mtaani bosi kampuni fulani ya serikali na Ana watoto Tisa sasa na maisha yanaendelea
 
Mkuu ushakula mbususu hadi ukapata mtoto ndio unataka kua padre? Mbususu za masista zitakua salama kweli?
 
Mzee ata mm rafiki hivyo hivyo na wiki moja kabla wewe ilikuwa mkoa gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…