Nataka kukaa mbali na mtoto

Nataka kukaa mbali na mtoto

Maskini wala usikae nae mbali,pengine ni vile ulivyokua unampenda amejisikia faraja sana,sio watu wengi wanaweza kuonyesha upendo kwa mtoto au ,watu huhisi kulipa ada na kununua nguo imetosha kumbe kuna zaidi especially kwa hao watoto!
Wewe endelea tu kuwa nae usimtenge gafla atapata sonono,siku zinavyozidi kwenda i hope atakuja kuelewa tu kuwa hauko na baba yake so yeye mwenyewe atajitenga!
Sawa asante nitalifnyia kazi
 
Unajua najiuliza kwa mfano umefanikiwa kumtenga huyo mtoto afu siku za mbele imetokea umerudiana na babake,imagine mtoto atakuchukuliaje? Endelea kukaa nae karibu maana bado ni mtoto mpaka pale atakapobaini mwenyewe atachagua,usimletee sononeko[emoji144]
 
Natumain wazima kama kichwa Cha habari kinavojieleza.

Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini nilikuta tayari anamtoto wa miaka 5 mwenzangu hakuwai Kuishi na mzazi mwenzio na mtoto analelewa Kwa bibi yake, baada ya kunitambulisha yule mtoto kiukweli nilikuwa nampenda sana na mtoto alikuwa Yuko karibu sana na Mimi ni mpole anaadabu sana.

Baada ya muda nikahama mkoa x ila mtoto Kila akiwa na babaake anasema msalimie mama na simu anaomba anipigie niongee nae now nimetengana na baba Kwa sabbu tulizoshindwa kuzitatua na mtoto sahiz anamiaka 8 lakini nikirudi haipiti siku lazima Aje kunisalimia na ananiita mama lakin sioni tatizo najua ni upendo tu.

Kubwa kuliko Wana mahafali madrasa akaja kunipa taarifa na kilasiku huwa anakuja kunikumbusha nisisahau kwenda kutokana na ubusy na kwakuwa ni mtoto Kuna details hakunipa yaani muda wa sherehe na mahitaji mengine nikaamua kumpigia simu babaake kumuuliza aniambie muda Cha ajabu baba Hana taarifa na hakupewa na mtoto na huwa wanaonana sana.

Nimejisikia vibaya nahisi huu ukaribu Sasa utaleta tafrani nataka nikae mbali na huyu mtoto bila kumuonyesha kuwa sipo kbisa na babaake
namnagan nimuweke mbali na isimuathiri huyu mtoto?

Na kma sio uamuz mzuri mnaweza kunisahihisha
Mtoto wako na mtoto wa yule ni mtoto wa wote. Show love kwa mtoto, hana hatia na hana analojua. Unaweza ukawa faraja , daraja na njia kwake katika naisha. Mambo yako na ex wako weka pembeni, ukiina ex wako analeta ukuda wa mazoea na mtoto unaweza tumia busara na hekima kuwaweka wote pembeni
 
Natumain wazima kama kichwa Cha habari kinavojieleza.

Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini nilikuta tayari anamtoto wa miaka 5 mwenzangu hakuwai Kuishi na mzazi mwenzio na mtoto analelewa Kwa bibi yake, baada ya kunitambulisha yule mtoto kiukweli nilikuwa nampenda sana na mtoto alikuwa Yuko karibu sana na Mimi ni mpole anaadabu sana.

Baada ya muda nikahama mkoa x ila mtoto Kila akiwa na babaake anasema msalimie mama na simu anaomba anipigie niongee nae now nimetengana na baba Kwa sabbu tulizoshindwa kuzitatua na mtoto sahiz anamiaka 8 lakini nikirudi haipiti siku lazima Aje kunisalimia na ananiita mama lakin sioni tatizo najua ni upendo tu.

Kubwa kuliko Wana mahafali madrasa akaja kunipa taarifa na kilasiku huwa anakuja kunikumbusha nisisahau kwenda kutokana na ubusy na kwakuwa ni mtoto Kuna details hakunipa yaani muda wa sherehe na mahitaji mengine nikaamua kumpigia simu babaake kumuuliza aniambie muda Cha ajabu baba Hana taarifa na hakupewa na mtoto na huwa wanaonana sana.

Nimejisikia vibaya nahisi huu ukaribu Sasa utaleta tafrani nataka nikae mbali na huyu mtoto bila kumuonyesha kuwa sipo kbisa na babaake
namnagan nimuweke mbali na isimuathiri huyu mtoto?

Na kma sio uamuz mzuri mnaweza kunisahihisha
Jamani mamaaaa kumbe mmeachana na baba na hautaki kuniambia?
 
Unajua najiuliza kwa mfano umefanikiwa kumtenga huyo mtoto afu siku za mbele imetokea umerudiana na babake,imagine mtoto atakuchukuliaje? endelea kukaa nae karibu maana bado ni mtoto mpaka pale atakapobaini mwenyewe atachagua,usimletee sononeko[emoji144]
Sawa lakini nahis mzaziwake hajajiskia vizuri kutokuwa na taarifa za muhimu kama hizo alafu kwangu anakuja daily mama Kuna hiki na hiki
 
Dogo kakukubali maza. Ishi nae fresh tu. Mzazi akubaki asikubali wewe usijitenge.
 
Mtoto wako na mtoto wa yule ni mtoto wa wote. Show love kwa mtoto, hana hatia na hana analojua. Unaweza ukawa faraja , daraja na njia kwake katika naisha. Mambo yako na ex wako weka pembeni, ukiina ex wako analeta ukuda wa mazoea na mtoto unaweza tumia busara na hekima kuwaweka wote pembeni
Sawa nimeelewa kaka
 
Subiri akipata pesa utamtafuta ukae karibu yake
 
Back
Top Bottom