National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
π€π€π€π€ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€π€π€π€ππ
πππ Shangazi nimeisha chelewa , maana hadi mzabzab nae katuma requestKila lenye kheri katika hilo mjomba wangu!!π
Helloowww Auntie Sophy βππ!!
ππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈπ€π€π€π€
Nakufata shangazi huniachi peke yangu hapa ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈ
Wee endelea tuu mie nilipigwa kibuti mapema tuu. Alafu imagine ananikataa mie kumbe alikuwa ana date na single father π€£π€£π€£π€£πππ Shangazi nimeisha chelewa , maana hadi mzabzab nae katuma request
πππ Mie kanipiga na pin PM basi tushakosa mkuu wangu.. tuwe wapole wapo wenye bahati zao.. sie wengine pangu pakavu, ukiwa hauna watoto wanawake hawakutilii maanani , unafikiri kwanini wanawapenda waume za watu π³π³Wee endelea tuu mie nilipigwa kibuti mapema tuu. Alafu imagine ananikataa mie kumbe alikuwa ana date na single father π€£π€£π€£π€£
Hapa ndipo unapojua wanawake wanapenda kishare de liboloπ€£π€£π€£π€£
Toto zenyewe hazitutaki, totoz zikikuona huna familia huna mke, zinajua bado mwanfunzi πππ siku hizi totoz zinapenda wababa wenye familia zao wanakuwa na uhakika wa kuhudumiwaPole sana mjomba ila totoz mbona zipo nyingi tu hujaamua tu mjomba!
Toto zenyewe hazitutaki, totoz zikikuona huna familia huna mke, zinajua bado mwanfunzi πππ siku hizi totoz zinapenda wababa wenye familia zao wanakuwa na uhakika wa kuhudumiwa
Ndio nawewe uanzishe familia nae ili totoz kibao zikugande sasa mjomba fanya hivo!Toto zenyewe hazitutaki, totoz zikikuona huna familia huna mke, zinajua bado mwanfunzi πππ siku hizi totoz zinapenda wababa wenye familia zao wanakuwa na uhakika wa kuhudumiwa
Mie Naenda kanisani mjomba!πΆπΌββοΈNakufata shangazi huniachi peke yangu hapa ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Sasa mie sina pesa acha nikuwe mpole shangazi yangu. Maana hela ndio kila kitu π¬π¬π¬ bila hela hata utelezi upatiNdio nawewe uanzishe familia nae ili totoz kibao zikugande sasa mjomba fanya hivo!
Na mie nakuja huko huko nabeba hata mkoba ππMie Naenda kanisani mjomba!πΆπΌββοΈ
Point muhimu sana hiyo mkuu, umejipigia point 3 muhimu kamandaKumbe mrembo upo single[emoji7][emoji7][emoji7]
Utelezi hahahaaa... nimeona leo kule mmedamkia na mambo za Morning glory tu mjomba utelezi haujawahi kuwaacha salama kabisa!! Hii siku sijui kama itaisha salama lazima atelezwe mtu walai!Sasa mie sina pesa acha nikuwe mpole shangazi yangu. Maana hela ndio kila kitu π¬π¬π¬ bila hela hata utelezi upati
Ntakupa ubebe baibo mjomba!Na mie nakuja huko huko nabeba hata mkoba ππ
acha siku ndefu sana hii, hata pa kutelezea hapaonekanani tunabaki kung'aa ng'aa macho tu πππ wa kutuonea huruma hawapoUtelezi hahahaaa... nimeona leo kule mmedamkia na mambo za Morning glory tu mjomba utelezi haujawahi kuwaacha salama kabisa!! Hii siku sijui kama itaisha salama lazima atelezwe mtu walai!
Weee pesa haziongei mjomba!! Ila wenye nazo mnaonekana tu mjomba!
Saidia basi πππππ
Hata hiyo yatosha Shangazi.. wacha nivae ka suti ka mchongoo hapa ππNtakupa ubebe baibo mjomba!