Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Acheni acheni kejeri kama hizi vinginevyo uwe na ushahidi wahayo mnayomzushiya.
Na uombe kweli iwe kama unavyodhani vinginevyo unafanya dhambi mbaya sana.

Ushahidi upo wa wazi, tatizo ni wapi pa kupeleka huo ushahidi. Iko siku ushahidi utawekwa hadharani.
 
Jamaa anafaa sana juma nipe namba zake nishapotezaga niliibiwa ile simu
 
sasa wewe hemaphrodite

kwa sasa si kuna uhuru, HAO WATU WATAJE AKINA NANI WALIHUSIKA, NA MAJINA YAO!!

HATA LISSU ASEME WALIOTAKA KUMUU, KUBWA LA MAADUI SI KAISHA KUFA??

WEKENI WAZI KILA KITU SASA

BWABWA WE
Hizi ndio takataka za sukuma gang.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…