BinSalum7
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,733
- 3,847
Hiyo ni hapa hapa bongo mkuu.Hiyo 22 unanua used from Japan au hapa bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni hapa hapa bongo mkuu.Hiyo 22 unanua used from Japan au hapa bongo
Zina shida gani hizi mkuu?HOWO? mkuu, hebu acha kumpa jamaa pressure za lazima
mara mia akachukue scania iliyotembea KM lak 5
Ila hizo ni mbinu tu za kutafuta unafuu wa gari, na njia hizo zinafanywa na watu wazoefu wa vyuma.Kuna mdau kaeleza kwenye huu uzi jinsi wanavyo nunua na kuzibadilisha.
Nenda Mwanza ukajenge nyumba nzuri weka wapangaji.Hiyo Scania achia matajiri wakubwaNimepata kama mil 100 baada ya kuvuna vanila huko Bukoba. Sasa nahitaji nijiingize kwenye biashara ya usafirishaji na wazo langu ni kununua scania kama kwenye picha.
Nimepanga kuanza na moja kutokana na kiasi nilicho nacho.
Naomba wenye uzoefu, kama biashara ikienda vizuri, kwa mwezi naweza ingiza kiasi gani?View attachment 1484199
durability , hazidumuZina shida gani hizi mkuu?
Hiyo bei inafanana na fuso used nje tani 4 , manake naona zina range dolla 5000-7000 Ukiweka na kodi nadhan unaangukia kwenye hiyo priceHiyo ni hapa hapa bongo mkuu.
Mkuu nilijua hizi gari ni za raia wa Rwanda. Maana naziona zinabeba makaa ya mawe.Sema NUNU katisha , mwaka 2013 gari 23 leo 2020 gari 256 ..hatari na nusu
Kumbe watu wanapiga pesa duuWastani ni mil 8 (ila itategemea na mizunguko yako pia,) ngoja wataalamu waje
mswahili wa hapa hapaMkuu nilijua hizi gari ni za raia wa Rwanda. Maana naziona zinabeba makaa ya mawe.
Jamaa atakuwa mpambanaji kweli kweli.mswahili wa hapa hapa
Wazo zuri sana, ila nakuongezea hapo anunue fuso zakubinua mchanga, kwa maeneo ya dom zinalipa sana sanaMimi nakushauri cheza na fuso na utengeneze kampuni usiendeshe hii biasha kienyeji fuso mfano dar~tanga~moshi, unaenda na mzigo unarudi na mzigo na inatembea haraka.
Zinapeleka wapi makaa ya maweMkuu nilijua hizi gari ni za raia wa Rwanda. Maana naziona zinabeba makaa ya mawe.
Sijajua zinakopoleka ila nazikna zikitoka mgodini kupakia makaa.Zinapeleka wapi makaa ya mawe
[emoji23][emoji23][emoji23]Thread za Bigboys hizi ..
Huwezi mkuta october man na mwenzio senator wa mtwizi wanatia pua.
hahahaha
Mkuu mbona unaji underrate, comment yako haiendani na jina lakoHuu uzi wa Madoni,wenzangu na mimi akina Yakhe,tuendelee kulike komments za Mabosi wetu.
Hahahahaaa, October man na Seneta Wa Mtwiz kujeni hukuThread za Bigboys hizi ..
Huwezi mkuta october man na mwenzio senator wa mtwizi wanatia pua.
hahahaha