Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

Kuna mdau kaeleza kwenye huu uzi jinsi wanavyo nunua na kuzibadilisha.
Ila hizo ni mbinu tu za kutafuta unafuu wa gari, na njia hizo zinafanywa na watu wazoefu wa vyuma.

Ila kama wewe ndio unaanza ni bora kununua Fuso Tandam original ya Japan na sio ya kuongezewa Moshi au Arusha.
 
Nimepata kama mil 100 baada ya kuvuna vanila huko Bukoba. Sasa nahitaji nijiingize kwenye biashara ya usafirishaji na wazo langu ni kununua scania kama kwenye picha.

Nimepanga kuanza na moja kutokana na kiasi nilicho nacho.

Naomba wenye uzoefu, kama biashara ikienda vizuri, kwa mwezi naweza ingiza kiasi gani?View attachment 1484199
Nenda Mwanza ukajenge nyumba nzuri weka wapangaji.Hiyo Scania achia matajiri wakubwa
 
Kwa huduma ya Kufwatilia Gari na Mafuta tuwasiliane inbox hutajuta na utapunguza gharama kwa kiasi kijubwa sana.
IMG-20200616-WA0013~2.jpeg
Screenshot_20200615-125455_Wialon~2.jpeg
Screenshot_20200610-111424_Wialon~2.jpeg
 
Back
Top Bottom