Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunu ni ya JK hao wengine ni Geresha.sheli za Ridhiwan zinaitwaje
Ahsante.
Kama ninakodisha kwako wewe sasa Danpol kutoa viazi huko west kuleta dar.
Nakulipa ndo hiyo 1.2m mpaka 1.5m.
Na ile mizigo ya kuokota njiani inaingia kwenye hesabu yangu au yako?
Na nikikodisha hiyo gari nakulipia dar nikishashusa mzigo wangu au?
Nakodisha, ila kwa sasa zimebanwa na kazi za kupeleka mahindi Musoma.Hizo fuso tandam unakodisha? If yes Moshi Dar sh ngapi? Na makubaliano yakoje?
Sahihi kabisa ,labda Riz1 awe na hisa.ila mmiliki ni huyo njemba uliemtaja.Lake Oil ni ya Awadhi sio Ridhiwan.
Lake Oil ni mali ya Ally Awadhi , mtoto wa mmiliki wa Azania , Ridhiwan hahusiki hata kidogo, overland Carries ni mali ya ndugu wa Ally, wote watoto wa mmiliki wa Azania groupLake Oil na Big Bon.(Yupo Behind the scene).
Sawa ndio watu wanavyojua hata Mali za Bakhresa wanasema zote ni zake lakini Behind the scene wenyewe wanajua mali zao!!Lake Oil ni mali ya Ally Awadhi , mtoto wa mmiliki wa Azania , Ridhiwan hahusiki hata kidogo, overland Carries ni mali ya ndugu wa Ally, wote watoto wa mmiliki wa Azania group
Hii naweza kataa naweza kubaliUnayekodisha gari mizigo ya kuokota hakuhusuuu posho ya deree na kidogo anapelekewa tajiri kama deree anajielewa
Kwani hamna ndugu au watoto wa ndugu zako ambao wana uwezo wa kutembea na gari au kuendesha gari?Kweli,Ila ni kukomaa tu lakini madereva ni pasua kichwa.anakwambia kapata tani tano kumbe ana tani saba.
Mimi najua sana hii michezo.mzee wangu alikua na maroli tisa lakini sahivi kabaki na mawili tu.
Ila yote kwa yote ukikomaa na hii biashara inakutoa,kikubwa ni kuomba mungu tu.
Lake Oil ni mali ya Ally Awadhi , mtoto wa mmiliki wa Azania , Ridhiwan hahusiki hata kidogo, overland Carries ni mali ya ndugu wa Ally, wote watoto wa mmiliki wa Azania group
Uko sawa kabisa mkuu.ndugu au jamaa yako anakua utingo.Kwani hamna ndugu au watoto wa ndugu zako ambao wana uwezo wa kutembea na gari au kuendesha gari?
Maana ndugu anaweza kuwa na aibu kidogo na hata kama akiiba bas ataiba kidogo.
Hii naweza kataa naweza kubali
1.Siku ya kwanza mizigo ya njiani aliyekodi gari alilipa yeye wale madalali wa mizigo njiani na pesa tulimlipa yeye.
Na kuna siku akalalamika kwamba angekuwa na tandam angepiga sana pesa.
Maana yake ni kuwa ile pesa ni yake.
2.Hii siku tulimlipa Tanboy japo mkodishaji alikuwa anahakikisha mizigo ikishushwa.
Sasa scenarios hizo 2 zikanichanganya.
Na ni gari za mama mmoja aliyekodi na mizigo yake ni midogo mno midogo mno kiasi kwamba gari linajazwa na mizigo ya njiani (kwa kuwa mie nimepanda mara nyingi gari yake huwa ananiambia mapema tu "jumanne nitakuwa na gari fuso hapo nitapita mapema sana mizigo yako niachie mdogo wangu nipate hela ya sabuni"
Siku moja nilikuwa na mzigo mkubwa mno lile gari nililijaza mie nduyo nikaona ujinga sasa kwa nini na mie nisijipange kimtaji na nikakodi gari.
Hapana, kwa upande wa service fuso ni balaa, weka mbali na watotoUpande wa services Fuso inakuwa chini kidogo, ukilinganisha na Kipisi, japokuwa Scania kipisi ukiifunga unasahau kabsa kuifungua tena hata ukichanganya na spare ambazo sio OG kabsa
Kwani imezama ikiwa Tanga ?No Dear, alisema alilinua kwa 15m i think kisha akalifufua hadi kufikia 83m, kwahio siku ile ndio ilikua trip yake ya kwanza tangu kulifufua na kwamba dereva alishalalamika kuwa kulikua na hitilafu..... sasa kufufua gari kwa mazingira ya kibongo bongo na huna ujuzi wa spare parts, utapewa spare yoyote ile. Ilitakiwa asiende umbali mrefu na ile gari at least ingepiga masafa ya Dar hata Chalinze ili kukagua uwezo wa kuhimili kashkash. Karibu Lunch
Kwani hamna ndugu au watoto wa ndugu zako ambao wana uwezo wa kutembea na gari au kuendesha gari?
Maana ndugu anaweza kuwa na aibu kidogo na hata kama akiiba bas ataiba kidogo.
Kumiliki sania ni issue ndogo. Kazi ni kupata dereva mtulivu na anaeielewa gari. Pili ni nani na wapi pa kutengeneza gani lako na tatu unaifanyaje hiyo biashara. Ziko aina 4 za mfumo wa biashara ya malori hapa Tz.
1. Unaoperate kama kampuni, yaani unatafuta mzigo wewe, unantuma tu dereva na unampa mileji yake. Pesa zote unalipwa wewe tajiri.
2. Unasafirisha mizigo yako ya biashara zako. Hii ni kama una hardware etc.
3. Unakaa kushoto...unatembea na gari. Unapatana kila kitu wewe na kszi ya dereva ni kuendesha tu.
4. Hesabu. Unamkabidhi gari dereva, mnakubaliana route na unampa mtaji wa mafuta. Dereva anakuletea hesabu kwa mzunguko wa kwenda na kurudi. Wewe unabaki na matengenezo makubwa, service na tairi. Humlipi posho.
Kila moja ina faida na hadara zake.
Nimeifanya hiyo kwa miaka zaidi ya 30 sasa.
Ushauri.
Unapotaka kununua gari la biashara angalia bei za vipuri na upatikanaji wa mafundi wazuri eneo lako. Usikimbilie magari ya kisasa au ya nyuma sana au lenye milleage nyingi sana.
Scania ni chaguo zuri. Ushauri baki kwenye 124
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo naona zinashushwa nondooo kaliiiHuu uzi wa Madoni,wenzangu na mimi akina Yakhe,tuendelee kulike komments za Mabosi wetu.
Mkuu na kama unataka R tafuta R420 hizi spear zake ziko kila mahali lakini hizi R 450 sijui R 440 spear ya hizi zinakua mtihani ndio matoleo yameanza kuingia kwa sasaNimepata kama mil 100 baada ya kuvuna vanila huko Bukoba. Sasa nahitaji nijiingize kwenye biashara ya usafirishaji na wazo langu ni kununua scania kama kwenye picha.
Nimepanga kuanza na moja kutokana na kiasi nilicho nacho.
Naomba wenye uzoefu, kama biashara ikienda vizuri, kwa mwezi naweza ingiza kiasi gani?View attachment 1484199