Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

Siku hizi teknolojia imeendelea unafatilia kila kitu ukiwa chumbani kwako.
Kweli,Ila ni kukomaa tu lakini madereva ni pasua kichwa.anakwambia kapata tani tano kumbe ana tani saba.
Mimi najua sana hii michezo.mzee wangu alikua na maroli tisa lakini sahivi kabaki na mawili tu.
Ila yote kwa yote ukikomaa na hii biashara inakutoa,kikubwa ni kuomba mungu tu.
 
Hizo fuso tandam unakodisha? If yes Moshi Dar sh ngapi? Na makubaliano yakoje?
Kuna aina mbili za biashara

mosi unaweza safirisha bidhaa zako mwenyewe, mbili bidhaa za watu wengine

mfano , gari inatoka dsm kwenda mikoan huko ikifika huko wakati wa kurudi unanunua bidhaa kule unaleta huku kuja kuuza (mazao ya chakula asilimia kubwa) mfano huko moshi, unapeleka mzigo wakati wa kurudi unaenda west kule unapakia viazi (wanaviita viaz vya west Kilimanjaro) kuleta dsm

gharama za usafiri kuleta huo mzigo kutoka kule hadi hapo sokoni mabibo ni around 1.2mil hadi 1.5 mil (sina uhakika sana) hiyo unaiingiza hivyo hivyo kwenye hesabu lako la gari (gari yako ila unalipa), lakn pia kwenye viaz kuna faida kati ya lak 5 hadi 1.5 mil inategemea na soko lilivyo so unapiga Huku na Huku(hela ya usafiri umepata+faida ya mzigo uliyoleta) viaz vya west havikaagi hapo sokon, fasta tu vinaisha..gari kulala pale n mara moja moja sana , this is how you maximize your profit , ikitoka hapo inauma mzigo inarud Moshi, ikishusha inauma tena mzigo mwingine inakuja , iwe nyanya iwe karoti iwe sijui nn unapakia unakuja uza , kazi yako kubwa wewe na dereva zako/wako ni kuhakikisha mnakula vizuri na hawa wenye mizigo huku gari ikifika hamna kukaa hapa mjini na ikiwa kule hamna kukaa labda kama iko service tu

ukienda mbeya nako hvyo hvyo, Nenda uyole kule pakia zako mzigo njoo uza , sema huko kuna mizigo mingi sana ya kuja dsm(ya watu)...mingi mno na ina pesa nzuri tu, uchaguzi ni wako tu
 
Kweli,Ila ni kukomaa tu lakini madereva ni pasua kichwa.anakwambia kapata tani tano kumbe ana tani saba.
Mimi najua sana hii michezo.mzee wangu alikua na maroli tisa lakini sahivi kabaki na mawili tu.
Ila yote kwa yote ukikomaa na hii biashara inakutoa,kikubwa ni kuomba mungu tu.
kua front mkuu, control mzunguko wako wa mzigo ,usiwaachie wao kila kitu.. na kama unagari kuanzia 3 kwa mtazamo wangu fungua tu kampuni
 
Kuna watu mpo vizuri sana, naona uzi huu umekuwa shule tosha kwa sisi ambao bado tuna tambaa kwenye biashara hizi.
Kuna aina mbili za biashara

mosi unaweza safirisha bidhaa zako mwenyewe, mbili bidhaa za watu wengine

mfano , gari inatoka dsm kwenda mikoan huko ikitika hako wakati wa kurudi unanunua bidhaa kule unaleta huku kuja kuuza (mazao ya chakula asilimia kubwa) mfano huko moshi, unapeleka mzigo wakati wa kurudi unaenea west kule unapakia viazi kuleta dsm

gharama za usafiri kuleta huo mzigo kutoka kule hadi hapo sokoni mabibo ni around 1.2mil hadi 1.5 mil (sina uhakika sana) hiyo unaiingiza hivyo hivyo kwenye hesabu lako la gari , lakn pia kwenye viaz kuna faida kati ya lak 5 hadi 1.5 mil inategemea na soko lilivyo so unapiga Huku na Huku, viaz vya west havikaagi hapo sokon, fasta tu vinaisha..gari kulala pale n mara moja moja sana , this is how you maximize your profit , ikitoka hapo inauma mzigo inarud Moshi, ikishusha inauma tena mzigo mwingine inakuja , iwe nyanya iwe karoti iwe sijui nn unapakia unakuja uza , kazi yako kubwa wewe na dereva zako/wako ni kuhakikisha mnakula vizuri na hawa wenye mizigo huku gari ikifika hamna kukaa hapa mjini na ikiwa kule hamna kukaa labda kama iko service tu

ukienda mbeya nako hvyo hvyo, Nenda uyole kule pakia zako mzigo njoo uza , sema huku kuna mizigo mingi sana ya kuja dsm(ya watu)...mingi mno na ina pesa nzuri tu
 
Lakini kwa nini mnawakatisha watu tamaa kwamba R hazifai achani hizo wewe mwambie tu kama ana nunua mtumba achague mzuri tu sasa hizo 113 zenyewe zinapotea saa hizi kuzipata kwenyewe kwa shida
Chif unajua mawazo ya watu yanatofautiana.hakumwambia aache kabisa kufanya biashara ya maroli ila kampa option ya gari litakalomfaa kwa kuanza nalo.

Kwa mfano 113 ama 93D ni gari ambayo inaweza pata breakdown na ukapata fundi haraka na ikawaka fasta hata kama ni ya kushusha injini katikati ya barabara.mafundi wanaozijua hizi gari ni wengi.
Lakini magari ya kisasa yenye mifumo ya umeme kila kona ni inshu kujua tatizo ukipata break down porini huko.
wakati mwingine kujua tatizo mpaka ipimwe na diagnosis machine ndo ujue tatizo.
 
Kuna aina mbili za biashara

mosi unaweza safirisha bidhaa zako mwenyewe, mbili bidhaa za watu wengine

mfano , gari inatoka dsm kwenda mikoan huko ikifika huko wakati wa kurudi unanunua bidhaa kule unaleta huku kuja kuuza (mazao ya chakula asilimia kubwa) mfano huko moshi, unapeleka mzigo wakati wa kurudi unaenda west kule unapakia viazi (wanaviita viaz vya west Kilimanjaro) kuleta dsm

gharama za usafiri kuleta huo mzigo kutoka kule hadi hapo sokoni mabibo ni around 1.2mil hadi 1.5 mil (sina uhakika sana) hiyo unaiingiza hivyo hivyo kwenye hesabu lako la gari (gari yako ila unalipa), lakn pia kwenye viaz kuna faida kati ya lak 5 hadi 1.5 mil inategemea na soko lilivyo so unapiga Huku na Huku(hela ya usafiri umepata+faida ya mzigo uliyoleta) viaz vya west havikaagi hapo sokon, fasta tu vinaisha..gari kulala pale n mara moja moja sana , this is how you maximize your profit , ikitoka hapo inauma mzigo inarud Moshi, ikishusha inauma tena mzigo mwingine inakuja , iwe nyanya iwe karoti iwe sijui nn unapakia unakuja uza , kazi yako kubwa wewe na dereva zako/wako ni kuhakikisha mnakula vizuri na hawa wenye mizigo huku gari ikifika hamna kukaa hapa mjini na ikiwa kule hamna kukaa labda kama iko service tu

ukienda mbeya nako hvyo hvyo, Nenda uyole kule pakia zako mzigo njoo uza , sema huko kuna mizigo mingi sana ya kuja dsm(ya watu)...mingi mno na ina pesa nzuri tu, uchaguzi ni wako tu
Ahsante.
Kama ninakodisha kwako wewe sasa Danpol kutoa viazi huko west kuleta dar.
Nakulipa ndo hiyo 1.2m mpaka 1.5m.
Na ile mizigo ya kuokota njiani inaingia kwenye hesabu yangu au yako?
Na nikikodisha hiyo gari nakulipia dar nikishashusa mzigo wangu au?
 
Kuna watu mpo vizuri sana, naona uzi huu umekuwa shule tosha kwa sisi ambao bado tuna tambaa kwenye biashara hizi.
Tunapeana mawazo tu mkuu, wengine bado hatujawa na mitaji ya kununua hivi vyombo huu mwaka kabla haujapinduka nilipanga sana mwaka huu chombo kiingie , matokeo yake Corona ikani corona kweli kweli, biashara ime under perform than i expected. but haya mambo nalazimika kuyajua na kuendelea kupekua zaid na zaid manake hili lengo kwangu ni lazima litime as long as niko hai , uzuri mmoja nimewah safirisha mazao pia , (Maharage, Viazi kwa sana na mahindi) tulikua share baadae migogoro ya hapa na pale kila mtu akala hamsini zake ukatokea myumbo mkubwa sana, nina jipanga tu saiv nitungue chombo

Just imagine mtu kama Mo , Azania, Bakherasa gari zake zinapeleka bidhaa zao mikoan alafu zinarudi na mizigo .. kuna mtu humu ana semi mbili akipakia cement inaenda mwanza anarud tupu mpaka wazo hapo .. imagine KM 900 na zaid.. huo ujinga hapa , andaa vijana kadhaa kule wakukusanyie dagaa wachafu wale (chakula chakuku) viwanda viko vingi hapa mjini unakuja wauzia unapata pesa yako ya usafiri na faida ya mzigo unaenda pakia zako cement unasepa
 
Chif unajua mawazo ya watu yanatofautiana.hakumwambia aache kabisa kufanya biashara ya maroli ila kampa option ya gari litakalomfaa kwa kuanza nalo.

Kwa mfano 113 ama 93D ni gari ambayo inaweza pata breakdown na ukapata fundi haraka na ikawaka fasta hata kama ni ya kushusha injini katikati ya barabara.mafundi wanaozijua hizi gari ni wengi.
Lakini magari ya kisasa yenye mifumo ya umeme kila kona ni inshu kujua tatizo ukipata break down porini huko.
wakati mwingine kujua tatizo mpaka ipimwe na diagnosis machine ndo ujue tatizo.
Mkuu hata hizo R 420 siku hizi spear ziko kila sehemu siku hizi
 
Ahsante.
Kama ninakodisha kwako wewe sasa Danpol kutoa viazi huko west kuleta dar.
Nakulipa ndo hiyo 1.2m mpaka 1.5m.
Na ile mizigo ya kuokota njiani inaingia kwenye hesabu yangu au yako?
Na nikikodisha hiyo gari nakulipia dar nikishashusa mzigo wangu au?
Huwezi pakia mzigo njian , viaz ni vizito balaa.. unapakia kati ya gunia 100 au 110, gunia unakuta lina kilo 130 hadi 150 , so hapo tayari una tani zako 15 au 16 zinazotakiwa kwenye mizani (wengine wanajua chekecha zinapakia hadi 18) ila ni risk sana, miaka miwili nyuma ninasafirisha fain ilikua dolla 200, saiv sijui n bei gani karibu lak 5 hiyo , njian ni mizigo midogo midogo tu ambayo unaweza mwachia dereva apate pesa ya kuhonga michepuko yake
 
Ahsante.
Kama ninakodisha kwako wewe sasa Danpol kutoa viazi huko west kuleta dar.
Nakulipa ndo hiyo 1.2m mpaka 1.5m.
Na ile mizigo ya kuokota njiani inaingia kwenye hesabu yangu au yako?
Na nikikodisha hiyo gari nakulipia dar nikishashusa mzigo wangu au?
Ukifika dar ipo mizigo inashushwa mingine hua haishushwi inauzwa hapo hapo kwenye gari hadi inaisha

mfano nyanya wanashusha , ndizi wanashusha ila viazi haishushi inauziwa humo humo kwenye gari, siku moja mbili mzigo umeisha
 
Chalii tu mmoja alikua na kamtaji kidogo na proposal nzur kaongea na Sinitruck wakampa Gar 60 za kuanzia za mkopo unapeleka rejesho kila mwezi

hizi program zipo nyingi hata TATA wanazitoa kuanzia bas za abiria mpaka Trucks za mkopo unafanyia kaz kwa mkataba kwa miaka kadhaa au mwaka unalipa mdogo mdogo ndo inakua yakoView attachment 1485008
Ok nikajua ni Riz1 maana naona zinapaki kwenye "SHELI" Zake!!
 
Back
Top Bottom