Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepata kama mil 100 baada ya kuvuna vanila huko Bukoba. Sasa nahitaji nijiingize kwenye biashara ya usafirishaji na wazo langu ni kununua scania kama kwenye picha.
Nimepanga kuanza na moja kutokana na kiasi nilicho nacho.
Naomba wenye uzoefu, kama biashara ikienda vizuri, kwa mwezi naweza ingiza kiasi gani?View attachment 1484199
Usafirishaji wa abiria na usafirishaji wa mizigo ni vitu viwili tofautiUngeanza hata coaster hata 1kwanza. Ujifunze game
Kwanza spare zake ni nyingi hadi kwenye screpa unazipata.Bima sawa.. ila hapo kwenye gharama za matengenezo ndio sijakuelewa kabisa.. nilidhani 113 etc ndio zina gharama zaidi.
Huyo hajui systems za breki chief.Kina dogo aliye kuwemo kwenye ile scania anasema upepo uliisha.
Kwanza spare zake ni nyingi hadi kwenye screpa unazipata.
Pili ni ngumu na roho ya paka ikiwa utazifanyia matengenezo kwa wakati.
Tatu huku mtaani sisi mafundi tunawachinja taratibu ya mazowea.
Achana na P mkuu, huo ndio ushauri wangu
Sham Nunu ni nani maana jamaa ana magari kama YOTE ya Mizigo.Ungekua na mtaji wa Billion plus ningekushauri hata uanze kupambana na kina Sham Nunu
Konda wa hilo lori alisema tatizo ilikuwa upepo si unajua tena malori break zake zinaendana na upepo sasa mtungi ulikuwa tupuIlikuaje break zikagoma kwa yule mama wa mto Wami? Sio uchakavu?
Konda wa hilo lori alisema tatizo ilikuwa upepo si unajua tena malori break zake zinaendana na upepo sasa mtungi ulikuwa tupu
HOWO? Mkuu, hebu acha kumpa jamaa pressure za lazimaChukua Howo unapata ziro kilometer pamoja na unafuu wa spare parts pamoja na mafuta kiduchu kwakila kilometer unayotembea
Howo zina changamoto gani mkuu?HOWO? mkuu, hebu acha kumpa jamaa pressure za lazima
mara mia akachukue scania iliyotembea KM lak 5
Huwezi fananisha gari mpya na used, Howo ni gari nzuri na cost effectiveHOWO? mkuu, hebu acha kumpa jamaa pressure za lazima
mara mia akachukue scania iliyotembea KM lak 5
Hamna gari humo, ukizitumia muda mrefu ni miaka mitano (probably haifiki) kati ya mitatu na mitano... hizi scania, Volvo, benz mjukuu wako anazikuta bado zinapiga route ya DSM-LubumbashiHowo zinachangamoto gani mkuu?
Maisha yake mafupi sana pamoja na upya wake, Scania iliyotembea km lak 5 na Howo mpya kabisa probably zinaweza kaa kwenye level moja for Short time tu ila nina uhakika baada ya miaka 5, HOWO itakuwa juu ya mawe scania hata wazo hilo haina, mjukuu wako ataikutaHuwezi fananisha gari mpya na used ,Howo ni gari nzuri na cost effective