Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

Biashara kichaa hiyo
Nimepata kama mil 100 baada ya kuvuna vanila huko Bukoba. Sasa nahitaji nijiingize kwenye biashara ya usafirishaji na wazo langu ni kununua scania kama kwenye picha.

Nimepanga kuanza na moja kutokana na kiasi nilicho nacho.

Naomba wenye uzoefu, kama biashara ikienda vizuri, kwa mwezi naweza ingiza kiasi gani?View attachment 1484199
 
Mkuu mie nakushauri anza na Fuso Tandam ndio utapiga pesa zaidi. Ninakushauri hivyo kwa kuwa hapa home tuna Scania tatu na Fuso mbili ila Fuso ndio zinapiga kazi kuliko Scania.

Na pia kama ni Scania kwa wewe unaeanza sikushauri kwa kuwa ni usumbufu sana hasa ikishaanza kuchoka. Scania za kukutoa umaskini ni zile model za kizamani.

Na pia wanaokushauri kuhusu magari ya abiria naomba usiwasikilize kabisaa, maana yana changamoto nyingi sana. Mie binafsi nina Nissan Caravan mbili ila ni kichefu chefu kitupu.

NB: Nimekushauri kutokana na uzoefu wangu wa kuishi na hayo magari kwa muda mrefu.
 
Dereva anapeleka mzigo mkoa wa rukwa ikifika wakati wa kurudi anakwambia hamna mzigo.kumbe kapakia tani saba za mahindi anapeleka manzese kushusha.
Si unaweza kufunga security camera ya kisiri ambayo ipo linked na simu unaona live kama gari ina mzigo au la? Ni wazo tu sijawahi kuona lakini naamini kuna technolojia hii.

Mfano: Amazon product ASIN B07CL3M4BY
 
Mkuu mie nakushauri anza na Fuso Tandam ndio utapiga pesa zaid. Ninakushauri hvo kwa kuwa hapa home tuna Scania tatu na Fuso mbili ila Fuso ndio zinapiga kazi kuliko Scania.

Na pia km ni Scania kwa wewe unaeanza sikushauri kwa kuwa ni sumbufu sana hasa ikishaanza kuchoka. Scania za kukutoa umaskini ni zile model za kizaman.

Na pia wanaokushauri kuhusu magari ya abiria naomba usiwasikilize kabisaa, maana yana changamoto nyingi sana. Mie binafsi nina Nissan Caravan mbili ila ni kichefu chefu kitupu.

NB: nimekushauri kutokana na uzoefu wangu wa kuishi na hayo magari kwa muda mrefu.
So kama ni scania apite na 124L sio? tandamu... unanishawish mkuu.. mimi nilikuwa na target ya kuchukua kipisi 94 badala ya tandam
 
so kama ni scania apite na 124L sio ?? tandamu...unanishawish mkuu.. mm nilikua na target ya kuchukua kipis 94 badala ya tandam
113 au 124 mkuu, ila R420 ndio hovyo kabsa, sie moja ilikuwa ikitembea wakat mvua inanyesha inakuwa haifunguki zaid 60kph.

Pia kipisi hata 93 iko bomba saana, ila tu tandam ni bora kulikon kipisi kwa sababu ya masuala ya mizani
 
Gharama za uendeshaji je.. kipisi vs Tandam..mizan inalala wap?
Kama unavyojua kwny utumiaje wa mafuta Fuso inatumia kidogo zaid kulinganisha na kipisi, pia Fuso Tandam inapakia had tani 16 na ikipita mizan sio shida.

Ila kipisi ukipakia tani 16 lazima upigwe faini kwenye mizani, kuna kitu wanaita GVM kama sikosei yaani uzito wa gari ikiwa tupu kwa Kipisi inakuwa nzito zaidi. Ndio maana kwenye mizan inazidi.

Sie sana Tandam zinapiga kazi kwenda kupeleka mahindi huko kwa Usukumani. Gari inakodishwa hadi 1.6 milion kwa trip na ukitoa gharama ya kila ktu hadi kulipa vijana inabaki hadi 1.1 milion.
Na gari ndani ya siku mbili tu inakuwa imeshaenda na kugeuza.

Mkuu mie ni mvivu sana ku-type text ndefu ila nadhani nmejitahidi kadri ya uwezo wangu
 
Ingependeza ziaidi kama mngetuwekea na picha Tandem vs Kipisi
Kama unavyojua kwny utumiaje wa mafuta Fuso inatumia kidogo zaid kulinganisha na kipisi, pia Fuso Tandam inapakia had tani 16 na ikipita mizan sio shida.

Ila kipisi ukipakia tani 16 lazima upigwe faini kwny mizani, kuna kitu wanaita GVT km sikosei yaan uzito wa gari ikiwa tupu kwa Kipisi inakuwa nzito zaid. Ndio maana kwny mizan inazid

Sie sana Tandam zinapga kazi kwenda kupeleka mahindi huko kwa Usukumani. Gari inakodishwa hadi 1.6 milion kwa trip na ukitoa gharama ya kila ktu had kulipa vijana inabaki hadi 1.1 milion.
Na gari ndani ya siku mbili tu inakuwa imeshaenda na kugeuza.

Mkuu mie ni mvivu sana ku-type text ndefu ila nadhan nmejitahid kadri ya uwezo wangu
 
Ingeoendeza ziaidi kama mngetuwekea na picha Tandem vs Kipisi
6345265.jpg

Hio juu ni Fuso Tandam

35849106_1176394425837021_2148106267934064640_n.jpg

Hio juu ndio Scania kipisi ya mizigo.
 
Kama unavyojua kwny utumiaje wa mafuta Fuso inatumia kidogo zaid kulinganisha na kipisi, pia Fuso Tandam inapakia had tani 16 na ikipita mizan sio shida.

Ila kipisi ukipakia tani 16 lazima upigwe faini kwny mizani, kuna kitu wanaita GVT km sikosei yaan uzito wa gari ikiwa tupu kwa Kipisi inakuwa nzito zaid. Ndio maana kwny mizan inazid

Sie sana Tandam zinapga kazi kwenda kupeleka mahindi huko kwa Usukumani. Gari inakodishwa hadi 1.6 milion kwa trip na ukitoa gharama ya kila ktu had kulipa vijana inabaki hadi 1.1 milion.
Na gari ndani ya siku mbili tu inakuwa imeshaenda na kugeuza.

Mkuu mie ni mvivu sana ku-type text ndefu ila nadhan nmejitahid kadri ya uwezo wangu
Upande wa service je?? Tandam vs kipis.. gharama ni sawa au kuna mwenye afadhal?
 
Yaani mimi kila nikimkumbuka yule mama ambaye lori lake lilitumbukia mto wami nakosa hamu kabisa ya magari
Tanzania yapo magari mangapi?? Yote yametumbukia? Biashara zote zina risk mkuu, na zote zina risk za kuhatarisha na kuua mtaji wote, ndio maisha yalivyo, tuna options mbili tu either tufanye au tusifanye.
 
Back
Top Bottom