Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,302
- 2,473
Ikiwa Vanilla inaweza kukupa 100 Million unawazaje kuiacha na kukimbilia ambayo huijui? Nikupe ushauri achana na biashara ya logistic kwa sasa changa hele yako kwa kuiwekeza kwenye kilimo zaidi. Watu mnahangaika na vitu ambavyo hamna ilihali mlivyo navyo mnaviacha... komaa na kilimo ndio karama yako ilipo.Nimepata kama mil 100 baada ya kuvuna vanila huko Bukoba. Sasa nahitaji nijiingize kwenye biashara ya usafirishaji na wazo langu ni kununua scania kama kwenye picha
Nimepanga kuanza na moja kutokana na kiasi nilicho nacho
Naomba wenye uzoefu, kama biashara ikienda vizuri, kwa mwezi naweza ingiza kiasi gani?
View attachment 1484199
Swali la nyongeza 24 June 2020
Vipi biashara ya kusafirisha
Mafuta vs Mizigo