Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Haya. Natoa mafile Yako hapa yote halafu hadi namba za simu na siku nimesoma jina lako halisi halafu niquote na mkeo jinalake wajionee wenyeweHa ha ha tatizo hizo habari mnazipata kutoka kwenye radio mbao πππ
ha ha ha wakutokea wapiAhh weeeh kumbe unawajukuu?
Equation x harusi lini mkuu?Hapo Ni wewe tu kutangaza ndoa
ili familia yetu ya JF ituchangie,Kama vipi tutaiunganisha owe siku moja na ya EqnX
Jirani mi hii moja yanitosha jiraniii!!Ndoa ya pili inakuita jirani..
Hatuwezani huyo ana wanawake kila wilaya km dereva wa maloriUsimuamini sana huyo! Nadhani alitaka kusema linaishia e! Mwanaume gani asiyependa kukumiliki hapa JF!
Aah weeeeeeh acha masiharaha ha ha wakutokea wapi
Atapelekewa moto hatariAweeeeh usitutanie sie.
Huyo muolewaji jamani naomba apite hapa tumpe ushauri asije rudi hapa analia ety anifikishi kazeeka sana.
Ushazeeka bwanaAtapelekewa moto hatari
Risasi hapana...Jirani mi hii moja yanitosha jiraniii!!
Au Unapenda kusikia nimepigwa risasi Mbili za kichwa nakusedishwa papohapo eeh π???
Nangojea wanakamati wakamilishe michango kwanzaEquation x harusi lini mkuu?
Ni weweee bwanaaaWewe Pullliiiz Nitoe hapo nishaolewa mie!!!
Afu huoni kasema Anaishia na h!!???
Maini huwa hayazeekiUshazeeka bwana
Utanijuza mkuuNangojea wanakamati wakamilishe michango kwanza
Mie who which when!!! Atakua anaota sio buree!π!Ni weweee bwanaaa
Wengi wanakupendekeza, unaonaje tukipindua meza?Atakua anaona sio buree!πππ!
Ili nigundue nini miee nalea wajukuu tu Saivi!Wengi wanakupendekeza, unaonaje tukipindua meza?