Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
My wangu njoo huku Kuna harusi Unique Flower
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana mkuu, kadi ya mchango nitakupatiaNaomba mwaliko mkuu
Hahaha me nitakuwa mhsibuMy wangu njoo huku Kuna harusi Unique Flower
Vichwa vina mambo mengi mkuu
ahsante mkuu ikiisha ya kwako inafuata yangu.Karibu sana mkuu, kadi ya mchango nitakupatia
Tafute number ya Gala B kabisaa,bwanaharusi akishatoa tamko la huyo H Kama imenidondokea mie tunaanza vikao fastaHahaha me nitakuwa mhsibu
Michango yote ipitie kwangu
Wkend ina mambo mengi mkuuKuna' h' hapo mkuu?
Ailililiiiiiiiiiiiiiiiiiii hatimaye kaoaaaaaaaaaaTafute number ya Gala B kabisaa,bwanaharusi akishatoa tamko la huyo H Kama imenidondokea mie tunaanza vikao fasta
KabisaWkend ina mambo mengi mkuu
Wanakuombea heri mkuuWewe Pullliiiz Nitoe hapo nishaolewa mie!!!
Afu huoni kasema Anaishia na h!!???
Kasema kapisha nae barabarani 😀
🤣🤣💃💃💃💃💃👆 Sexless na wewe unataman wakuoe nini?Kuna under 30 ktk hawa??
HapanaSexless na wewe unataman wakuoe nini?
Nyote mnakaribishwa kuja kupata ubwabwaUkichanga uchange double nipate lift
Tatizo mimba hutashikaHapana
Mie tayari kitambo sana Mkuu niongezee kukuombea kila lenye kheri tu mkuu!Wanakuombea heri mkuu
Teacher kwema Southern highland?Kabisa
Ushauri wako unafanyiwa kazi mkuuMe wengi sana humu wamejiita majina ya kike, wanachati kikike kike na wameweka picha nzuri za kuvutia kwenye profile pictures zao.
ONYO:
*Ukikutana na Me akakugeuzia kibao usitulaumu hatukukwambia.
*Shemele nao wapo.
*Mashoga.
USHAURI:
Fikiri kabla ya kutenda.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app