Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Tafute number ya Gala B kabisaa,bwanaharusi akishatoa tamko la huyo H Kama imenidondokea mie tunaanza vikao fasta
Ailililiiiiiiiiiiiiiiiiiii hatimaye kaoaaaaaaaaaa
WiFi niko hapa nimejaa teleeeeee
Wedding we have or we don't?????????
💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Piga keleleee kwa gara akeeeeeeeeee
 
Me wengi sana humu wamejiita majina ya kike, wanachati kikike kike na wameweka picha nzuri za kuvutia kwenye profile pictures zao.

ONYO:

*Ukikutana na Me akakugeuzia kibao usitulaumu hatukukwambia.

*Shemele nao wapo.

*Mashoga.

USHAURI:

Fikiri kabla ya kutenda.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ushauri wako unafanyiwa kazi mkuu
 
Back
Top Bottom