Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khakhakhaaaa!!Kuna under 30 ktk hawa?? Naona wote km zimesonga sana
Huyu ni mchapa kazi kweli kweliOfcorse kupenda na kuoa sio dhambi problem inakuja umependa na unaoa mwanamke wa design gani..
Safi kabisa.....afu H yako itakuponzaTeacher kwema Southern highland?
Eendiwoooooooo mamiloo !I'm oredi taken!
Chukua aise jiko tosha iloHuyu ni mchapa kazi kweli kweli
Baada ya masaa 72 nitamtajaNa iwe kweli japo ungemtaja tu akajijua.
Hahahah ngoja nkoleze kicheko mieEendiwoooooooo mamiloo !I'm oredi taken!
Tunajua Pisi kali ni nyie tu JFKasema kapisha nae barabarani 😀
WeeeeTunajua Pisi kali ni nyie tu JF
Nilikuwa sijui kama mie pisi kali 😀😀Tunajua Pisi kali ni nyie tu JF
Nitaua mtu ingawa ile consultancy hukuikamilisha
Sasa bure bure khaaaNitaua mtu ingawa ile consultancy hukuikamilisha
Huo ni ubogazi. Fumba macho tuombeHabari wakuu,
Kuna mlimbwende mmoja humu amenivutia sana, nataka msimu ujao wa mavuno, niweze kutangaza ndoa kabisa.
Huyu mrembo ameiteka sana akili yangu, mpaka uwezo wa kufikiri umepungua; nilipo pishana naye tu barabarani, ilikuwa kidogo tu nigongwe na bajaji.
Kupitia huu uzi, anatakiwa ajitambue yeye tayari ni mke mtarajiwa wa equation x, na ajiandae kwa mipangilio ya familia ya kuwa na watoto wengi hapo baadaye.
Najua atapitia huu uzi, jina lake linaishia na h.
Wakuu nipeni baraka zenu.
Aje na mapambo ya kutoshaMy wangu njoo huku Kuna harusi Unique Flower
Huwezi kujijua bila kuangalia katika kioo na kioo ni sieNilikuwa sijui kama mie pisi kali 😀😀
Mweh asanteee
Wajichannganyeee wasiseme sijawambia nipo nimekaa paleee😂!!Tunajua Pisi kali ni nyie tu JF
Kukutana nao hawa inabidi uwe na silaha. Wakianza ushetani wao tu! Unamuwasha!Me wengi sana humu wamejiita majina ya kike, wanachati kikike kike na wameweka picha nzuri za kuvutia kwenye profile pictures zao.
ONYO:
*Ukikutana na Me akakugeuzia kibao usitulaumu hatukukwambia.
*Shemele nao wapo.
*Mashoga.
USHAURI:
Fikiri kabla ya kutenda.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app