mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,252
mambo ya Sitti Mtemvu ya nini bwa sheheNaomb kujua hivi inawezekana kurudisha odometer nyuma ili gari ionekane haijatumika sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo ya Sitti Mtemvu ya nini bwa sheheNaomb kujua hivi inawezekana kurudisha odometer nyuma ili gari ionekane haijatumika sana?
Mkuu una experience na Honda HRV?Chukua Honda crv... Ni MASHINE nzuri mno na chenji inabaki.
Ofcorse mafuta...hazina tofauti na brevis &verrosaKwa 9 unapata mkononi.. kama alivosema mshana jr hapo juu siku hizi watu wanazikimbia labda ni ulaji wa mafuta ila kama hutojali mafuta basi we chukua.. kama hupo Dsm na utakuwa unatumia gari kila siku nakushauri chukua IST
wadau vp kuhusu cresta gx100?
Hio mashine ni work horse! Huwa naitumia kwenye mikimiki kama punda!asante sana kwa ushauri mkuu. nalichukua hili dude maana uwa nalipenda sana
Mhh Honda HRV sina uzoefu nayo ila CRV nina uzoefu nayo ni gari nzuri ... Durable na haili sana mafuta....Mkuu una experience na Honda HRV?
Vipi stability yake safari ndefu na unywaji wa mafuta, ukilinganisha na Subaru forester ipo bora?
mtu anaomba ushauri unaongea ukumabe forward ni gari zuri haili mafuta sana kama alteza!!
umeshauza..? au bado unayo? fanya ni pm picha tuta comunicatenjoo uione yangu rangi silver ya 2003 namba cjv na ipo katika hali nzuri na haijawahi kugongwa bei mil 8.
Kwii kwiii kwiii kwiiibe forward ni gari zuri haili mafuta sana kama alteza!!
mafutaIla wengi wanazikimbia siku hizi sijui tatizo nini
fafanua kidogoKaka kopo la castle hilo, achana nalo, full mayai, haina tifauti na baloon, likichoka utauza bei ya mchicha
thanks, nilikuwa natafuta camryKama unatafuta gari ambayo , haili sana mafuta, ina Mwendo , Na ipo stable barabarani hata ukiwa speed 170km/h .
Basi tafuta TOYOTA CAMRY SV 40.
Hii ktk safar ndefu utaipenda , HAPA MJINI WANAZIITA "aliendesha babu hata mjukuu analitumia"
Engine yake Ni 3s/4s , body nzito , Spea cheap ...
Mimi ninayo 1 manual transmission , sasa ina miaka 11, lakini Kama imenunuliwa Jana . Na siiuzi kamwe
Ulijisikiaje mkuu ulipopigwa za mbavu?Kweli mkuu Mshana Jr wese linashuka na inawezekana likashuka zaidi. Tulipigwa sana za mbavu.
imenibidi nicheke kwanza [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]be forward ni gari zuri haili mafuta sana kama alteza!!