BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Nashukuru mkuu, priority ya kwanza nitaanzia huku huku JF.Hongera sana kwa uthubutu . Kwa moyo mkunjufu kabisa bila ya hila yoyote moyoni kwangu nikutakie mafanikio mema kwenye huu uwekezaji naamini utatengeneza ajira nyingi kwa sisi vijana wenzio.
Jambo zuri sana mkuu heri na baraka nyingi zikatangulie kwenye mipango yakoNashukuru mkuu, priority ya kwanza nitaanzia huku huku JF.
Asante mkuu.Mm Sina ushauri bilionea
Nakuombea ununue na nipate Kaz kwenye hyo kampuni mkuu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Asante kwa ushauri.. kumbe ya kichina hayana ishuAchana na hayo mabasi ya kichina, nunua Scania.
Kuna jukwaa la magari hapa JF, nenda huko ukapate mwanga.asante kwa ushauri ..kumbe ya kichina hayana ishu
Nawe mtaalamu wa magarii🤣😂😂🤣Kuna jukwaa la magari hapa JF, nenda huko ukapate mwanga.
Hayo ya kichina yanafaa njia za lami, dar to moro.
Unamuona abood ameyajaza kama njugu,
Asante mkuu! Nmechukua ushauri wako.Nashauri aina ya bus yutong ruti ifanye ya Dodoma hadi Mtwara au Masasi.Kama inawezekana tafuta basi ambalo lina choo ili kusiwe na tatizo la kusimama Mara kwa Mara abiria wakichimba dawa.Ruti nyingine ni Nachingwea to Morogoro.
Sio IST tu hata wheelbarrow siwezi nunua.Umerudi tena hahaahahahah wewe huna uwezo wa kununua hata IST
Hakika........... Unataka kuja na gia za kidukulilo?Sio IST tu hata wheelbarrow siwezi nunua.
Gia za kidukulilo!! ? Ndio gari za aina gani hizo tuambizane gia zake zipojeHakika........... Unataka kuja na gia za kidukulilo?
Asikupange Golden [emoji1662] anamkimbiza SAULI hadi wanapoteana.asante kwa ushauri ..kumbe ya kichina hayana ishu