Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Abiria haoView attachment 2096703
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Abiria haoView attachment 2096703
Hapo nimeelezea sababu zaidi ya moja na kunukuu baadhi ya wamiliki wanayosema sasa kama na ww n dereva semaKila anaeshindwa biashara ya bus, lawama wanatupiwa madereva wa kitanzania..
Sasa sijui kampuni zenye mafanikio bus zao zinaendeshwa na waturuki?
Darlux madereva walipelekwa mpaka China kwa ajili ya training, lakini bado bus zao zililaza watu njiani! Unajua ni kwanini?
Jifunzeni namna sahihi ya kuendesha hii biashara!! Inashangaza kukuta mmiliki au msimamizi halafu hajui hata vitu ambavyo ni basic sana..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Ww umeielewa vibaya hiyo point halafu un mfano mmoja tu hebu jaribu kupanda gari zifuatazo Nyehunge ABC Kimbinyiko na Shabiby halafu niambie kwenye swala la kutii sheria na kwenda na muda lipojeHyo namba 4 naikataa,,fatilia imekuwaje BM akateka soko la kaskazini alaf uje hapa uongee
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu mimi ni mpiga debe tu hapa sumbawanga!Hapo nimeelezea sababu zaidi ya moja na kunukuu baadhi ya wamiliki wanayosema sasa kama na ww n dereva sema
Hadi nimepatwa hasira aseeeAbiria haoView attachment 2096703
Wewe ndo hujanielewa mkuu,,muangalie sauli,new force,asante rabi,bm,dar fire,kidia,wote wao wana gar zao za masaa,yaan wao wanatembea hata 100-120kph ili gar ikae mbele mkuu,,hizo sheria zako unazotaka zifuatwe hakuna kituWw umeielewa vibaya hiyo point halafu un mfano mmoja tu hebu jaribu kupanda gari zifuatazo Nyehunge ABC Kimbinyiko na Shabiby halafu niambie kwenye swala la kutii sheria na kwenda na muda lipoje
Ya kweli hayo mkuu?Moshi Mpwapwa? Hiyo route akipata abiria wengi ni watatu.