Nataka kununua mabasi ya kusafirisha abiria mkoa mmoja hadi mwingine

Nataka kununua mabasi ya kusafirisha abiria mkoa mmoja hadi mwingine

Kila anaeshindwa biashara ya bus, lawama wanatupiwa madereva wa kitanzania..

Sasa sijui kampuni zenye mafanikio bus zao zinaendeshwa na waturuki?

Darlux madereva walipelekwa mpaka China kwa ajili ya training, lakini bado bus zao zililaza watu njiani! Unajua ni kwanini?

Jifunzeni namna sahihi ya kuendesha hii biashara!! Inashangaza kukuta mmiliki au msimamizi halafu hajui hata vitu ambavyo ni basic sana..

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Hapo nimeelezea sababu zaidi ya moja na kunukuu baadhi ya wamiliki wanayosema sasa kama na ww n dereva sema
 
Hyo namba 4 naikataa,,fatilia imekuwaje BM akateka soko la kaskazini alaf uje hapa uongee

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ww umeielewa vibaya hiyo point halafu un mfano mmoja tu hebu jaribu kupanda gari zifuatazo Nyehunge ABC Kimbinyiko na Shabiby halafu niambie kwenye swala la kutii sheria na kwenda na muda lipoje
 
Humu inabidi kubehave, kumbe tupo na kina bakhresa halafu tunaandika ujinga ujinga
 
Ww umeielewa vibaya hiyo point halafu un mfano mmoja tu hebu jaribu kupanda gari zifuatazo Nyehunge ABC Kimbinyiko na Shabiby halafu niambie kwenye swala la kutii sheria na kwenda na muda lipoje
Wewe ndo hujanielewa mkuu,,muangalie sauli,new force,asante rabi,bm,dar fire,kidia,wote wao wana gar zao za masaa,yaan wao wanatembea hata 100-120kph ili gar ikae mbele mkuu,,hizo sheria zako unazotaka zifuatwe hakuna kitu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom