Nataka kununua mabasi ya kusafirisha abiria mkoa mmoja hadi mwingine

Nataka kununua mabasi ya kusafirisha abiria mkoa mmoja hadi mwingine

Nashauri aina ya bus yutong ruti ifanye ya Dodoma hadi Mtwara au Masasi.Kama inawezekana tafuta basi ambalo lina choo ili kusiwe na tatizo la kusimama Mara kwa Mara abiria wakichimba dawa.Ruti nyingine ni Nachingwea to Morogoro.
Mkuu hapa kuna umuhimu ukatoa maelezo hasa mifano ya kampuni bus la baraka linafanikiwa moro-masasi, maning nice, pia ukadadavua potentiality ya Nachingwea in one? Baraka Ana Bus aina ya HIGHER. briefs kuhusu abiria, Nauli Zake fluctuations za passengers, motivational factors za flow btn Point A na B Predominant livelihood activities kama stimuli ya kibiashara na etc.
 
Yutong barabara ya vumbi ni moto wa kuotea mbali,root ya Isangawana ~ lupa ~ makongorosi ~ chunya to mbeya hiyo sehemu wanapiga hela sana, hiyo barabara kuna abiria wengi kuliko mabasi yaliyopo.
Kuhusu bei wananzengo wataendelea kukujuza.
 
Palipo na nia pana njia

Ni ndoto yangu ya muda mrefu ya kua na kampuni kubwa ya mabasi ya usafirishaji abiria.

Hivyo basi pamoja na maombi yenu ninaomba pia tusaidiane kushirikishana je ni ruti ipi ambayo ina uhitaji mkubwa wa mabasi au ruti ipi ambayo nitapiga hela kisawasawa.

Baada ya mapendekezo nitakuja kuleta mrejesho na kampuni yangu mtaijua.

Hilo la kwanza, jambo la pili, kwa sasa kampuni ipi nzuri ya kuagiza ama kununua mabasi (luxury), je YUTONG, au ZHONGTONG, pia naomba unapotaja ruti ya basi, pia pendekeza njia hio je YTONG itaweza au zingine, pia na bei zake. Na ni namna gani ya kuagiza.

Shukrani.
Ukishamaluza process zote njoo inbox nikupe mchongo wa ruti Babu kubwa,ni ya kijania.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Karibu sana kwenye biashara pasua kichwa na ya uhakika kupata pesa kwa siku.

Ushauri wangu: Anza kujenga moyo wa chuma ili usije kufa kwa stress ndo utafanikiwa saaaana
 
Shukran mkuu, nmechukua ushauri wako
Nmegundua wenye ruti fupi fupi wanafanikiwa sana kwenye business
Mfano kama Shabbiby ama Abood wanakaa kwenye soko kwa muda mrefu kutokana na uwekezaji wao wa ruti ya Dom to Dar sio ndefu ni fupi,basi linapata muda mwingi wa kupumzika na kufanyiwa service,sasa wewe unapeleka chombo Mwanza kinaingia Usiku saa 5,Halafu saa 11 alfajiri chombo ichoicho kinageuza dar kwanini mpaka hapo usifirisike.
 
Palipo na nia pana njia

Ni ndoto yangu ya muda mrefu ya kua na kampuni kubwa ya mabasi ya usafirishaji abiria.

Hivyo basi pamoja na maombi yenu ninaomba pia tusaidiane kushirikishana je ni ruti ipi ambayo ina uhitaji mkubwa wa mabasi au ruti ipi ambayo nitapiga hela kisawasawa.

Baada ya mapendekezo nitakuja kuleta mrejesho na kampuni yangu mtaijua.

Hilo la kwanza, jambo la pili, kwa sasa kampuni ipi nzuri ya kuagiza ama kununua mabasi (luxury), je YUTONG, au ZHONGTONG, pia naomba unapotaja ruti ya basi, pia pendekeza njia hio je YTONG itaweza au zingine, pia na bei zake. Na ni namna gani ya kuagiza.

Shukrani.
Weka route ya Sumbawanga-Dodoma via Mbeya and Iringa.

Pia weka njia ya Kigoma-Mbeya via Mpanda and Sumbawanga.

Mwisho weka njia ya Sumbawanga-Songea-Mbinga.

Mwisho weka route ya Mbeya-Sumbawanga- Mpanda.
 
Chukua higer ndo gari zilizopo sokon zinanzia mil 300, root anzisha dodom to songea kuna kipind kulikuwa hakuna hii ruti lkn pia ksakazin anzisha mosh to mpwapwa/kongwa/ ushindan sio mkubwa na pia ni lam tupu, kuhusu uagizaj kuna jamaa namjua huwa anafanya hiyo mishe ya kununua gar na anazileta tz

So kwa kifup biashara ya mabasi usitegemee basi moja, kukuletea mengine, angalau uwe na hata matatu ya kuanzia, kuna mtu alianza na tata moja toka tanga to dar, lilipoanza kusumbua alipaki ikawa hasara mwingine pia alikuwa njombe alikuwa na basi kubwa mbili za dar zinapishana njian, badae moja iliharibika ikawa inapiga moja, abiria walikuja kupukutika kama majan

So jipange kuanzia tatu angalau bila pressure kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo route imeshajaa tena yapo yanaanzia hadi mbinga.

Pia kuna mwamba anapiga Songea Mwanza via Dom.
 
Nashauri aina ya bus yutong ruti ifanye ya Dodoma hadi Mtwara au Masasi.Kama inawezekana tafuta basi ambalo lina choo ili kusiwe na tatizo la kusimama Mara kwa Mara abiria wakichimba dawa.Ruti nyingine ni Nachingwea to Morogoro.
Hizi ruti via wapi?
 
Chukua higer ndo gari zilizopo sokon zinanzia mil 300, root anzisha dodom to songea kuna kipind kulikuwa hakuna hii ruti lkn pia ksakazin anzisha mosh to mpwapwa/kongwa/ ushindan sio mkubwa na pia ni lam tupu, kuhusu uagizaj kuna jamaa namjua huwa anafanya hiyo mishe ya kununua gar na anazileta tz

So kwa kifup biashara ya mabasi usitegemee basi moja, kukuletea mengine, angalau uwe na hata matatu ya kuanzia, kuna mtu alianza na tata moja toka tanga to dar, lilipoanza kusumbua alipaki ikawa hasara mwingine pia alikuwa njombe alikuwa na basi kubwa mbili za dar zinapishana njian, badae moja iliharibika ikawa inapiga moja, abiria walikuja kupukutika kama majan

So jipange kuanzia tatu angalau bila pressure kubwa

Sent using Jamii Forums mobile appk
Karagan iringa dar alikuwa nazo mbili zilipukutika
 
Kwa kuwa mabasi mengi ya Bongo yana siti za 2 by 2 kwa sasa.

Nakushauri jaribu kuleta mabadiliko kwa kuleta mabasi yenye siti za 2 by 1. Yaani upande mmoja wa basi kunakuwa na siti mbili mbili, huku upande mwingine ukiwa siti moja moja. Kampuni ya mabasi ya TAHMEED, baadhi ya mabasi yao yana mfumo huu wa siti.

Abiria wengine kama mimi napenda kupanda mabasi ya TAHMEED kwa kuwa napenda kukaa siti ya peke yangu. Nikiwa safarini huwa sipendi kupiga stori na mtu nisiyemfahamu na pia sipendi kubanana na mtu mwingine, hasa ukizingatia siti za mabasi mengi ni ndogo, japokuwa mimi siyo bonge.

Hata ikibidi abiria anayetaka siti ya peke yake nauli yake iwe juu kidogo. Inakuwa First Class.
Hujui raha ya kukaa na pisi kali siti moja utatamani usifike
 
Hii ni biashara nzuri lakini adui mkubwa wa hii biashara ni kama ifuatavyo
1)madereva wa Tanzania ni wa hovyo kama huamini muulize Sumry
2)unazi na ushabiki wa kijinga
3)usipende ligi wala kushindana na mtu
4)Waambie madereva wako wafate sheria waende na muda
5)Dar-iringa Dar-morogoro Dar-Singida Dom - mikoa ya kusaini Dar-Mbeya tafuta ruti ambazo ni lazima watu wataenda huko.
6)Unazi acha unazi na ushabiki na mambo ya wapiga debe tafuta wasimamizi na dereva mzuri
7) Jitahidi uwe na mafundi wako na gereji yako ya uhakika hakikisha gari inapata sevisi mara kwa mara itaifanya idumu kama unabisha muulize Abood na Kilimanjaro express zile gari zao za zamani tena namba ni A zinapatje nguvu ya kuopiga ruti ndefu kama dar-mwanza
8)Tafuta gari ambayo spea zake zinapatikana kwa urahisi

MAGARI
~scania hizi ni gari imara sana kama huamini muulize city boy ya dar- Karagwe na spea zake zipo na uhakika
~ TATA hapa nazungumzia TATA ultra star bus kama bara bara ni ya vumbi hizi chombo ni hatari na nusu (TATA zote kwa ujumla ni roho ya paka)
~Kuna zile zinachongwa hapa hapa Tanzania na zenyewe ni hatari kama unabisha muulize MAJINJAH na Simba mtoto
~HIGER
~leyland,MAN na IVECO [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama unataka gari za kazi kazi ndio izo roho ya paka izo kazi kazi miaka kama yote kikubwa matunzo

Kama unataka gari luxury sana chukua za wachina
~Asian Star
~Golden dragon
~zhongtong
~Yutong

NB:mimi sio mnazi wa Sauli [emoji2509] wala golden deer [emoji3069] nimetoa ushauri tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Maendeleo hayana chama
 
Abiria hao
FB_IMG_16432259369933236.jpg
 
Hii ni biashara nzuri lakini adui mkubwa wa hii biashara ni kama ifuatavyo
1)madereva wa Tanzania ni wa hovyo kama huamini muulize Sumry
2)unazi na ushabiki wa kijinga
3)usipende ligi wala kushindana na mtu
4)Waambie madereva wako wafate sheria waende na muda
5)Dar-iringa Dar-morogoro Dar-Singida Dom - mikoa ya kusaini Dar-Mbeya tafuta ruti ambazo ni lazima watu wataenda huko.
6)Unazi acha unazi na ushabiki na mambo ya wapiga debe tafuta wasimamizi na dereva mzuri
7) Jitahidi uwe na mafundi wako na gereji yako ya uhakika hakikisha gari inapata sevisi mara kwa mara itaifanya idumu kama unabisha muulize Abood na Kilimanjaro express zile gari zao za zamani tena namba ni A zinapatje nguvu ya kuopiga ruti ndefu kama dar-mwanza
8)Tafuta gari ambayo spea zake zinapatikana kwa urahisi

MAGARI
~scania hizi ni gari imara sana kama huamini muulize city boy ya dar- Karagwe na spea zake zipo na uhakika
~ TATA hapa nazungumzia TATA ultra star bus kama bara bara ni ya vumbi hizi chombo ni hatari na nusu (TATA zote kwa ujumla ni roho ya paka)
~Kuna zile zinachongwa hapa hapa Tanzania na zenyewe ni hatari kama unabisha muulize MAJINJAH na Simba mtoto
~HIGER
~leyland,MAN na IVECO [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama unataka gari za kazi kazi ndio izo roho ya paka izo kazi kazi miaka kama yote kikubwa matunzo

Kama unataka gari luxury sana chukua za wachina
~Asian Star
~Golden dragon
~zhongtong
~Yutong

NB:mimi sio mnazi wa Sauli [emoji2509] wala golden deer [emoji3069] nimetoa ushauri tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Maendeleo hayana chama
Hyo namba 4 naikataa,,fatilia imekuwaje BM akateka soko la kaskazini alaf uje hapa uongee

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Chukua higer ndo gari zilizopo sokon zinanzia mil 300, root anzisha dodom to songea kuna kipind kulikuwa hakuna hii ruti lkn pia ksakazin anzisha mosh to mpwapwa/kongwa/ ushindan sio mkubwa na pia ni lam tupu, kuhusu uagizaj kuna jamaa namjua huwa anafanya hiyo mishe ya kununua gar na anazileta tz

So kwa kifup biashara ya mabasi usitegemee basi moja, kukuletea mengine, angalau uwe na hata matatu ya kuanzia, kuna mtu alianza na tata moja toka tanga to dar, lilipoanza kusumbua alipaki ikawa hasara mwingine pia alikuwa njombe alikuwa na basi kubwa mbili za dar zinapishana njian, badae moja iliharibika ikawa inapiga moja, abiria walikuja kupukutika kama majan

So jipange kuanzia tatu angalau bila pressure kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi Mpwapwa? Hiyo route akipata abiria wengi ni watatu.
 
Hii ni biashara nzuri lakini adui mkubwa wa hii biashara ni kama ifuatavyo
1)madereva wa Tanzania ni wa hovyo kama huamini muulize Sumry
2)unazi na ushabiki wa kijinga
3)usipende ligi wala kushindana na mtu
4)Waambie madereva wako wafate sheria waende na muda
5)Dar-iringa Dar-morogoro Dar-Singida Dom - mikoa ya kusaini Dar-Mbeya tafuta ruti ambazo ni lazima watu wataenda huko.
6)Unazi acha unazi na ushabiki na mambo ya wapiga debe tafuta wasimamizi na dereva mzuri
7) Jitahidi uwe na mafundi wako na gereji yako ya uhakika hakikisha gari inapata sevisi mara kwa mara itaifanya idumu kama unabisha muulize Abood na Kilimanjaro express zile gari zao za zamani tena namba ni A zinapatje nguvu ya kuopiga ruti ndefu kama dar-mwanza
8)Tafuta gari ambayo spea zake zinapatikana kwa urahisi

MAGARI
~scania hizi ni gari imara sana kama huamini muulize city boy ya dar- Karagwe na spea zake zipo na uhakika
~ TATA hapa nazungumzia TATA ultra star bus kama bara bara ni ya vumbi hizi chombo ni hatari na nusu (TATA zote kwa ujumla ni roho ya paka)
~Kuna zile zinachongwa hapa hapa Tanzania na zenyewe ni hatari kama unabisha muulize MAJINJAH na Simba mtoto
~HIGER
~leyland,MAN na IVECO [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama unataka gari za kazi kazi ndio izo roho ya paka izo kazi kazi miaka kama yote kikubwa matunzo

Kama unataka gari luxury sana chukua za wachina
~Asian Star
~Golden dragon
~zhongtong
~Yutong

NB:mimi sio mnazi wa Sauli [emoji2509] wala golden deer [emoji3069] nimetoa ushauri tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Maendeleo hayana chama
Kila anaeshindwa biashara ya bus, lawama wanatupiwa madereva wa kitanzania..

Sasa sijui kampuni zenye mafanikio bus zao zinaendeshwa na waturuki?

Darlux madereva walipelekwa mpaka China kwa ajili ya training, lakini bado bus zao zililaza watu njiani! Unajua ni kwanini?

Jifunzeni namna sahihi ya kuendesha hii biashara!! Inashangaza kukuta mmiliki au msimamizi halafu hajui hata vitu ambavyo ni basic sana..

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom